Kivipi?Umekaa kibinafsi sana
Jibu hoja, usitumie hisia.Komeni kuwaandama single mothers, ni ukosefu wa nidhamu na ni kinyume na utu
Tena unadharau mno....ana Kaz huyo binti wa watuKivipi?
Waache Waangaike, nadhani hawakuzaliwa na mwanamkeKomeni kuwaandama single mothers, ni ukosefu wa nidhamu na ni kinyume na utu
Dharau inatoka wapi sasa. Yah anakibarua chake.Tena unadharau mno....ana Kaz huyo binti wa watu
Kwanini mahari ni ya baba na si ya wote?Dharau inatoka wapi sasa. Yah anakibarua chake.
Upumbavu nao ni hoja inayohitaji majibu? Upumbavu tunakuachia mpumbavu uhangaike na Upumbavu wako wewe mwenyewe.Jibu hoja, usitumie hisia.
Ongeza nyama kidogoUmekaa kibinafsi sana
Àache dharau...binti ana mama kabisa afu anaulizia pa kupeleka mahari....na waliofiwa na wazazi wote si mtawachukua bure sasaOngeza nyama kidogo
Kwanini mahari ni ya baba na si ya wote?
Kama Huna haja ya kujibu bora ukae kimya. Hayo ni maswali ya msingi sana na yajibiwe na watu serious.Upumbavu nao ni hoja inayohitaji majibu? Upumbavu tunakuachia mpumbavu uhangaike na Upumbavu wako wewe mwenyewe.
Be seriously too then upate wa kufanana nao....pole Kwa bintiKama Huna haja ya kujibu bora ukae kimya. Hayo ni maswali ya msingi sana na yajibiwe na watu serious.
Kama baba mzazi hayupo lazima upande wa baba awape mtu yaan shangazi au baba mdogo na mkubwa. Haiwezekani ukoo mzima wa baba hakuna mtu wa kuwakilisha.Àache dharau...binti ana mama kabisa afu anaulizia pa kupeleka mahari....na waliofiwa na wazazi wote si mtawachukua bure sasa
Bas nawe fanya ivo kuliko Kuja kumdharirisha binti na mama ake hukuKama baba mzazi hayupo lazima upande wa baba awape mtu yaan shangazi au baba mdogo na mkubwa. Haiwezekani ukoo mzima wa baba hakuna mtu wa kuwakilisha.
Utapelekaje mahari wakati hakuna yeyote anayewakilisha upande wa baba?Bas nawe fanya ivo kuliko Kuja kumdharirisha binti na mama ake huku
Wape upande wa mama,waliolea binti inatosha....Utapelekaje mahari wakati hakuna yeyote anayewakilisha upande wa baba?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jf Raha sanaÀache dharau...binti ana mama kabisa afu anaulizia pa kupeleka mahari....na waliofiwa na wazazi wote si mtawachukua bure sasa