Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Wadau nimejaribu kuwaza endapo haya makampuni mawili yakafanya kile ambacho kila mmoja anafanya.
Je, nani atafungasha virago? Nani atapoteza pambano?
Najiuliza endapo Azam ataonesha UEFA, EPL na Europa ligue
Ama DSTV akionyesha Ligi ya bongo (VPL)
Nani atakimbia?
Je, nani atafungasha virago? Nani atapoteza pambano?
Najiuliza endapo Azam ataonesha UEFA, EPL na Europa ligue
Ama DSTV akionyesha Ligi ya bongo (VPL)
Nani atakimbia?