Je, nani anaweza kumzidi mwenzake soko kati ya Azam na DStv endapo hili likifanyika?

Je, nani anaweza kumzidi mwenzake soko kati ya Azam na DStv endapo hili likifanyika?

Azam hawezi kuonesha ligi ya uingereza kwani gharama zake ni kubwa mno base yake ya subscribers ni ndogo
Nani kakudanganya,Azam ligi ya uingereza anaitaka leo kesho anaye mzuia DSTV,inasemekana kusini huku mwa jangwa la Sahara mwenye haki ya kuonyesha EPL ni DSTV pekee.

Azam walienda FA na pendekezo la kuonyesha EPL kwa Kiswahili,DSTV nae akawachukua akina Edo,Maulid wa Kitenge wakatangaze kwa Kiswahili.

Hiyo ligi ndio moyo wa DSTV,kama unakumbukumbu kipindi kile G-Sports walivyopewa haki ya kuonyesha mechi zote za EPL,DSTV akawa na hali mbaya sana ashukuru ule mtikisiko wa uchumi ndio ulimtoa G-Sports kwenye soko la sivyo ingekuwa tayari ishafutika Tanzania.

Na kuhusu quality DSTV game zenye quality nzuri ni za EPL na UEFA,La Liga lkn ligi wanazo onyesha za South Africa,Zambia quality yake sawa sawa na Azam na kama hujui mechi za CAF club bingwa na shirikisho zinazo fanyika Africa Mashariki na kati production yote wanafanya Azam.
 
Nani kakudanganya,Azam ligi ya uingereza anaitaka leo kesho anaye mzuia DSTV,inasemekana kusini huku mwa jangwa la Sahara mwenye haki ya kuonyesha EPL ni DSTV pekee.

Azam walienda FA na pendekezo la kuonyesha EPL kwa Kiswahili,DSTV nae akawachukua akina Edo,Maulid wa Kitenge wakatangaze kwa Kiswahili.

Hiyo ligi ndio moyo wa DSTV,kama unakumbukumbu kipindi kile G-Sports walivyopewa haki ya kuonyesha mechi zote za EPL,DSTV akawa na hali mbaya sana ashukuru ule mtikisiko wa uchumi ndio ulimtoa G-Sports kwenye soko la sivyo ingekuwa tayari ishafutika Tanzania.

Na kuhusu quality DSTV game zenye quality nzuri ni za EPL na UEFA,La Liga lkn ligi wanazo onyesha za South Africa,Zambia quality yake sawa sawa na Azam na kama hujui mechi za CAF club bingwa na shirikisho zinazo fanyika Africa Mashariki na kati production yote wanafanya Azam.
Multichoice wamefanya uwekezaji wa zaidi ya 120b za kibongo,sidhani km Azam anaweza kufikia hata robo, watangazaji wa DStv wanakula mishahara minono ,wapo wanaokunja takoni mil40 za kibongo kwa mwezi.... sidhani km Azam wanaeza mlipa baruan muhuza hyo pesa,

Sio kweli kwamba Azam kashindwa kuonesha ligi ya premier kisa kabaniwa na DStv, sababu league ya uingereza ina package sio lazima upewe package nzima, Kuna highlights, interviews, fixtures ndo maana hata tbc anaonesha baadhi ya mechi, km ilivyokuwa kwa G tv ambae alikuwa anaonesha 20% ya mechi za ligi...

Hata package za DStv Zina channels za nguvu ukilinganisha na Azam ambazo nyingi Ni za uarabuni ambazo Ni free to air (FTA) kwa wakazi wa tanga mjini nadhani watakuwa wanajua,kabla ya kuhamia digital channels za mbc(1,2),star movie,star gold,e,zilikuwa zinapatikana free tu..

Kuwapeleka wakina kibonde,Edo kumwembe SA wakatangaze kwa kiswahili ni ushindani wa kibiashara umekuwa mkubwa kumbuka hapo mwanzo DStv ndo alikuwa babalao , alikuwa peke yake kwenye digital satellite ,halafu matangazo ya mpira yalikuwa kireno na kiingereza, ndo wakaongeza na kiswahili..

Kwangu mm naona Azam bado anahitaji kujifunza vingi kupitia DStv
 
Nani kakudanganya,Azam ligi ya uingereza anaitaka leo kesho anaye mzuia DSTV,inasemekana kusini huku mwa jangwa la Sahara mwenye haki ya kuonyesha EPL ni DSTV pekee.

Azam walienda FA na pendekezo la kuonyesha EPL kwa Kiswahili,DSTV nae akawachukua akina Edo,Maulid wa Kitenge wakatangaze kwa Kiswahili.

Hiyo ligi ndio moyo wa DSTV,kama unakumbukumbu kipindi kile G-Sports walivyopewa haki ya kuonyesha mechi zote za EPL,DSTV akawa na hali mbaya sana ashukuru ule mtikisiko wa uchumi ndio ulimtoa G-Sports kwenye soko la sivyo ingekuwa tayari ishafutika Tanzania.

Na kuhusu quality DSTV game zenye quality nzuri ni za EPL na UEFA,La Liga lkn ligi wanazo onyesha za South Africa,Zambia quality yake sawa sawa na Azam na kama hujui mechi za CAF club bingwa na shirikisho zinazo fanyika Africa Mashariki na kati production yote wanafanya Azam.
DStv hawezi kumzuia Azam kama atakuwa ameshinda mnada(bid) na ametimiza vigezo..kama amenyimwa licence ni kuwa hajatimiza vigezo.

Dstv wanaonyesha mechi zote 380 za EPL na bei ya leseni sio mchezo.
 
Mkuu fanya tathmini ndogo kwa kuongea na wenye banda umiza.

Siku Yanga au Simba wakicheza mapato yanakuwa ya kueleweka kuliko game za Ulaya. Mimi naona watu wanajaa sana hizi game za ndani, hasa Yanga na Simba.

Labda tu kwa sababu big matches ni nyingi Ulaya, unaweza kupata namba zaidi ukii-sumup kwa mwezi.
Sasa hiyo ndio inaonesha nini? Kwamba Azam ni bora zaidi ya Dstv?
 
Azam akifanya hao uliosema DSTV atafunga biashara kama GOTV.
DSTV ukitoa UCL, EPL na ligi nyingine hakuna cha ziada nakuambia ninayo mwaka wa 6 sasa.
Tena miaka ya hivi karibuni ndo wanajikaanga na mafuta yao wenyewe
Sasa azam ndio wana kipi cha maana ukiondoa vpl labda na local chanel.
Kwangu ukizungumzia dstv sikosi chochote kihusucho entertainment. Documentaries, music & movies
 
Nani kakudanganya,Azam ligi ya uingereza anaitaka leo kesho anaye mzuia DSTV,inasemekana kusini huku mwa jangwa la Sahara mwenye haki ya kuonyesha EPL ni DSTV pekee.

Azam walienda FA na pendekezo la kuonyesha EPL kwa Kiswahili,DSTV nae akawachukua akina Edo,Maulid wa Kitenge wakatangaze kwa Kiswahili.

Hiyo ligi ndio moyo wa DSTV,kama unakumbukumbu kipindi kile G-Sports walivyopewa haki ya kuonyesha mechi zote za EPL,DSTV akawa na hali mbaya sana ashukuru ule mtikisiko wa uchumi ndio ulimtoa G-Sports kwenye soko la sivyo ingekuwa tayari ishafutika Tanzania.

Na kuhusu quality DSTV game zenye quality nzuri ni za EPL na UEFA,La Liga lkn ligi wanazo onyesha za South Africa,Zambia quality yake sawa sawa na Azam na kama hujui mechi za CAF club bingwa na shirikisho zinazo fanyika Africa Mashariki na kati production yote wanafanya Azam.
Wapambane wapate full rights za kuonyesha hizo mechi,Azam kwa EPL wanaonyesha mechi moja moja na huwa hawatabgazi,mfano Jana nimeona mechi ya Man City na thousampton
 
DStv hawezi kumzuia Azam kama atakuwa ameshinda mnada(bid) na ametimiza vigezo..kama amenyimwa licence ni kuwa hajatimiza vigezo.

Dstv wanaonyesha mechi zote 380 za EPL na bei ya leseni sio mchezo.
Ninacho ongea nakijua nina watu watatu niliofanya field TTCL 2012 wapo Azam pale upande wa Technical (Broadcasting Engineer).
 
Nina zote DStv tangu 2007 na Azam mwaka wa 3 sasa,mimi nina uhakika Azam atafungasha. Mbali na mpira Dstv ina vitu vingi vya ziada,Crime and Investigation Channels,M-net channels,Cartoon za watoto option channels zaidi ya kumi,Channels kama History hupati kwa Azam,achilia mbali Channels za Habari kama CNN, Sky News,BBC na nyinginezo.
Ikaja tokea DSTV akaonesha Mpira wa bongo just azam ndio bye bye!!!

DsTV Wana qualy nzuri ya picha zao
 
Ninacho ongea nakijua nina watu watatu niliofanya field TTCL 2012 wapo Azam pale upande wa Technical (Broadcasting Engineer).
Kwahiyo hao jamaa zako waliku-tell azam wamezuiwa na dstv kwa namna gani?
 
Duh! mleta uzi nikadhania unaifananisha DStv na Zuku maana ndio level yake, sababu hata Star Times na DStv kwa soko la bongo, bado Star Times ipo vyema ila Azam ni namba nyengine.
 
Sio kweli nipo mbeya mbalizi 1999 tunatoka hom saa tatu kwenda kuangalia uefa hatujawah kuangalia mech za ligi yetu had azam anakuja je hao watu na mashabiki wa timu za ulaya wengi wametokea wap ikiwa mpira wa bongo kipaumbele?

Na hadi muda huu sijawah na siwez na sitakaa kuangalia mpira wa bongo siupend ni utopolo tu hadi watakapo anza kucheza mpira wa kweli nitaanza kuangalia
Mkuu umewakilisha mawazo yangu. Mpira wa bongo hata niambiwe simba na yanga wanacheza, na kiongilio ni bure na kinywaji juu siendi. Mpira umetawaliwa na usanii wa hali ya juu. Kwa sasa watu wameelekezwa kujadili mpira tu, lakini ukijadili mambo ya nchi hasa kwa approach ya kukosoa, imekula kwako.
 
Azam akionyesha EPL,
DStv atakimbia mji asubuh na mapema sana
 
Mimi nawashauri waanzishe virushi vya wiki wiki bana!! Wengine tunaangalia TV only on weekends bana!!
 
Back
Top Bottom