Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Mungu mpe hekima huyu mja wako.AzamTV ni kwa ajili ya mabeki tatu, na 'maamuma' wachache!
Duh aisee kweli maskini akipata matako hulia bwataaaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu mpe hekima huyu mja wako.AzamTV ni kwa ajili ya mabeki tatu, na 'maamuma' wachache!
Very true. Ukiangalia mpira Azam au DSTV uliopo mubashara, hakuna shaka signal ya DSTV ina ubora mkubwa sana.Bei za vifurushi zikabaki constant, Azam atasanda. Ana poor quality.
Asante sana Mkuu kunijuza,sijapata hata muda wa kuangalia kama zipo hizo,mbali ya IDX,waongeze na zingine kama CBS Justice,na za habari za Kimataifa mbali ya AlJazeera! Hapo sasa kutakuwa na ushindani kweli.Mkuu ukiachana m-net hizo nyingine azam anazo history ipo IDX ipo, national geographic ipo nk
Hapo kwenye coverage za mpira hata dstv bado sana nenda kaangalie coverage ya league ya south Africa anayoonyesha ni yakawaida sana, hizo epl,uefa ni matangazo ambayo dstv anapokea yakiwa yametengenezwa na BT sportEndapo Azam ataonesha Ligi mbalimbali duniani
1. Bidding zake ilikuonesha ni ghali sana, itamlazimu kupandisha gharama hata mara tano au mara kumi ili apate faida. Wateja watapotea wenyewe. AZAM atapotea
2. Soko la AZAM lina upana namna gani hapa Africa (East, Southern, Northern na western) ukilinganisha na Dstv? AZAM atapotea
3. Professional na ubora wa vipindi mbalimbali hususani soccer...... AZAM bado sana.
4. Coverage sio kuangalia soko la ndani pekee AZAM na dstv wanatofauti kubwa sana ya coverage, kukubalika,
Mkuu ujue kuna watu hapa waba reply ili mradi0 tuuu wapate reaction points.Mkuu ukiachana m-net hizo nyingine azam anazo history ipo IDX ipo, national geographic ipo nk
haiwezekani kufanyika hivyo peroiod!Wadau nimejaribu kuwaza endapo haya makampuni mawili yakafanya kile ambacho kila mmoja anafanya.
Je, nani atafungasha virago? Nani atapoteza pambano?
Najiuliza endapo Azam ataonesha UEFA, EPL na Europa ligue
Ama DSTV akionyesha Ligi ya bongo (VPL)
Nani atakimbia?
DSTV wako aggressive kisenge yaani, Kwese mwenyewe hata miaka 2 sokoni hajamaliza, kasanda.Azam akifanya hao uliosema DSTV atafunga biashara kama GOTV.
DSTV ukitoa UCL, EPL na ligi nyingine hakuna cha ziada nakuambia ninayo mwaka wa 6 sasa.
Tena miaka ya hivi karibuni ndo wanajikaanga na mafuta yao wenyewe
Quality ya picha mkuu dstv wako juuAzam akifanya hao uliosema DSTV atafunga biashara kama GOTV.
DSTV ukitoa UCL, EPL na ligi nyingine hakuna cha ziada nakuambia ninayo mwaka wa 6 sasa.
Tena miaka ya hivi karibuni ndo wanajikaanga na mafuta yao wenyewe
Kuwa serious basi jamaa yanguWadau nimejaribu kuwaza endapo haya makampuni mawili yakafanya kile ambacho kila mmoja anafanya.
Je, nani atafungasha virago? Nani atapoteza pambano?
Najiuliza endapo Azam ataonesha UEFA, EPL na Europa ligue
Ama DSTV akionyesha Ligi ya bongo (VPL)
Nani atakimbia?
Mkuu ujue kuna watu hapa waba reply ili mradi0 tuuu wapate reaction points.
Msamehe bure hajui alitendalo. Azam yupo njema sana hata kwa bei za vifurushi vinaendana na huduma halisi anazotoa. Yaan akionyesha UCL, EUROPA, EPL atamfukuza dstv asubuhi sana.
Azam kifurushi kinakata local chanels unapata. Dstv kikikata unambulia tbc na hapo hadi watu walivyolalamika.
Azam kifurushi kinakata redio unapata zoote. Dstv redio hata moja hupati kifurushi kikiisha
Afu et uko serious kabisa ynKibongo bongo,
mchawi ni LIGI KUU BARA
Atakaeonyesha ligi ndo atakaekamata soko.
Hizo Uefa, Europa.
Washabiki wachache.
Na Watu washazoea kuangalia kwenye mabanda umiza Miaka na Miaka.