Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasimama na wewe, atakuja kusema ni heri ile hela ingekaa tu kwa aka akaunti. Attempt ya ujenzi kwa sasa angeiacha kwanza akatafuta biashara ambayo haitambana sana.Wengi wenu hamna experience ya ujenzi, mnafikiri ujenzi ni rahisi, kama hauna usimamizi ni kama unagawa hela zako kwa mafundi. Utaibiwa mpaka mchanga na kokoto site.
The good idea, aanzishe biashara ata mkataba utakapoisha aikute biashara imesimama aendelee nayo. Ukijenga ukiwa hauna source nyingine ya income, ultimately utaiuza hiyo nyumba.
Sababu ya biashara kufa ni nini?Biashara anaijua...kuna jirani yangu mwaka jana wamechukua mkopo wa million 20 wakasema wanafanyia baishara .
Kufupisha story baada ya mwaka baishara imekufa wamebaki na gari. Mkopo wanaendelea kulipa wakiwa nyumba za kupanga.
Watu mnapigwa sana daahKwa iyo 3mil chimba choo kabisa au shimo la taka..Ujenzi ni taratibu 🚶🚶
Jenga kwanza ukitaka kufanya biashara utaiweka nyumba collateral bank utapata mkopo wa kufanya biashara.Miaka yangu 26 ( me)..
1. Kiwanja ninacho 1
2. Bank nina mil 3
3. Tayari nimeshatoka nyumbani kitambo (najitemegea)
3. Nimeajiriwa kwenye N.G.O ( afya) kwa mkataba wa miaka 3.
Je, naweza kuchokoza ujenzi kwa sasa kwenye hicho kiwanja changu au niwaze biashara kwanza na vitega uchumi vingine?
Majukumu
1. Sina mke
2. Sina mtoto
3. Nawaboost wazazi kusomesha mdogo wangu ndio ameanza mwaka wa 1..
4. Kuhonga kwa akili
5. Kuwaboost wana & ndugu pale ninapohitajika