Je, naweza kuanza ujenzi nikiwa hivi?

Je, naweza kuanza ujenzi nikiwa hivi?

Uoga wa kujenga jenga sijui unatoka wapi.

Watu wanaishi maisha duni ila ana mjumba wa milioni 95 au 120.

Ni bora kuishi kwenye nyumba ya milioni 30 ila una uhakika wa cash flow ya kueleweka.

Pesa zipo kwenye biashara tu huko kwingine utapata ya kubadili mboga na kulipa ada.
 
Ushauri wa watu humu wengi ni vitu havina uhalisia wowote wa maisha ya MTANZANIA wa kawaida .... mara Nyumba ni liability,mara Wahindi hawana nyumba hivi vitu vyote ni bushshit unacho takiwa kufanya jiangalie wewe kama binafsi umeplan nini katika maisha yako baadae kuwa mfanyabiashara au kuwa muajiriwa nakusuhi usifate mkumbo tu maana kama unatoka family maskini ukianguka unaweza kuwa ndio moja kwa moja huna back up yoyote nyuma.

Umri ulio kuwa nao 26yrs old hardly unayo miaka 5 tu mbele utahitaji kuwa na family yako hapo ndio maisha halisi unakuja kuyaona.

Ushauri kama unakiwanja na una hela BANK na una kazi kwa sasa nenda kaanze kujenga taratibu wacha kabisa kufikiria biashara kwa sasa concentrate na kazi yako huu ni ushauri tu.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Yaani humu watu wanatisha sana,..fata ushauri huu mtoa mada.
 
Kujenga ishu sana ila ukiweza komaa, mi nilianza na head start kubwa lakini Bado nataabika kumalizia ila ukiamua huwez shindwa,

Muhimu kuliko vyote usisamiz bila ya hvyo ugumu unakuwa x10000 Kuna mtu nilimuamin nilichokuta nikasema ndio hapa watu wanapewa kesi za kuua na kashatumia pesa kibao kwahyo nakomaa mwenyew tu mpaka kieleweke

Yaani now narudia Karibia Kila kitu, nikifikiria tu huu ujinga napata hasira maana ni aibu
 
Miaka yangu 26 ( me)..

1. Kiwanja ninacho 1
2. Bank nina mil 3
3. Tayari nimeshatoka nyumbani kitambo (najitemegea)
3. Nimeajiriwa kwenye N.G.O ( afya) kwa mkataba wa miaka 3.

Je naweza kuchokoza ujenzi kwa sasa kwenye hicho kiwanja changu au niwaze biashara kwanza na vitega uchumi vingine?

Majukumu

1. Sina mke
2. Sina mtoto
3. Nawaboost wazazi kusomesha mdogo wangu ndio ameanza mwaka wa 1..
4. Kuhonga kwa akili
5. Kuwaboost wana & ndugu pale ninapohitajika
Jenga Jengaaa Jenga!!!
 
Kujenga ishu sana ila ukiweza komaa, mi nilianza na head start kubwa lakini Bado nataabika kumalizia ila ukiamua huwez shindwa,

Muhimu kuliko vyote usisamiz bila ya hvyo ugumu unakuwa x10000 Kuna mtu nilimuamin nilichokuta nikasema ndio hapa watu wanapewa kesi za kuua na kashatumia pesa kibao kwahyo nakomaa mwenyew tu mpaka kieleweke

Yaani now narudia Karibia Kila kitu, nikifikiria tu huu ujinga napata hasira maana ni aibu
Shukran mkuu nimekusoma
 
Miaka yangu 26 ( me)..

1. Kiwanja ninacho 1
2. Bank nina mil 3
3. Tayari nimeshatoka nyumbani kitambo (najitemegea)
3. Nimeajiriwa kwenye N.G.O ( afya) kwa mkataba wa miaka 3.

Je, naweza kuchokoza ujenzi kwa sasa kwenye hicho kiwanja changu au niwaze biashara kwanza na vitega uchumi vingine?

Majukumu

1. Sina mke
2. Sina mtoto
3. Nawaboost wazazi kusomesha mdogo wangu ndio ameanza mwaka wa 1..
4. Kuhonga kwa akili
5. Kuwaboost wana & ndugu pale ninapohitajika
Kwa hiyo hela uwezi Jenga nyumba yoyote hile hata msingi haitoshi labda kama unajenga chumba kimoja ila kama unaexperience na kuinvest kwenye biashara yoyote fanya hivyo ila kana huna acha iwe hakiba uku ukiweka akiba kila mwezi mpk mwakani utakuwa umeweka kiasi Cha kuanza ujenzi...

Ujenzi ni gharamaa usilete utani
 
Anza na msing usahau kwa muda.mkataba si ndio umeanza 2023? Ukiweka discipline unaweza kufika mbali.ila angalia usije kujinyima kula kisa kujenga.taratibu tu
Shukran mkuu...! Mkataba umeanza 3 nov 2022.... unaisha 3 Nov 2025
 
Kwa hiyo hela uwezi Jenga nyumba yoyote hile hata msingi haitoshi labda kama unajenga chumba kimoja ila kama unaexperience na kuinvest kwenye biashara yoyote fanya hivyo ila kana huna acha iwe hakiba uku ukiweka akiba kila mwezi mpk mwakani utakuwa umeweka kiasi Cha kuanza ujenzi...

Ujenzi ni gharamaa usilete utani
Sina mpango wa kuanza ujenz nikiwa na mil 3... shida yangu hii pesa 3mil niendelee kusave kwa ajil ya ujenz!... au nianze kujenga kidgo kidgo . au hii mil 3 niingize kwnye biashara na vitega uchum vingine...! Ndipo inshu ilipo!..
 
Sisi wabongo tuna akili mbuzi sana,eti mtu anamshauti mwenzake asijenge kisa tu,wahindi hawajajenga wamepanga.

Mtoa mada,hiyo hela jenga chumba kimoja then amia kama ni karibu na kazini kwako.
 
Sisi wabongo tuna akili mbuzi sana,eti mtu anamshauti mwenzake asijenge kisa tu,wahindi hawajajenga wamepanga.

Mtoa mada,hiyo hela jenga chumba kimoja then amia kama ni karibu na kazini kwako.
Shukran cheaf
 
Sisi wabongo tuna akili mbuzi sana,eti mtu anamshauti mwenzake asijenge kisa tu,wahindi hawajajenga wamepanga.

Mtoa mada,hiyo hela jenga chumba kimoja then amia kama ni karibu na kazini kwako.

Nashangaa sana mifano ya wahindi,hivi wahindi wajenge hapa Tanzania kwani ni kwao![emoji276]
 
Back
Top Bottom