Je, naweza kufahamu kama Mzazi wangu marehemu aliwahi kufanya kazi Usalama wa Taifa?

Je, naweza kufahamu kama Mzazi wangu marehemu aliwahi kufanya kazi Usalama wa Taifa?

Status
Not open for further replies.

KalistusM

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
235
Reaction score
233
Habari waheshimiwa, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, JE naweza kufahamu kwa njia yeyote kama Mzazi wangu ambaye ni marehemu ( zaidi ya miaka 20 iliyopita) kama alikuwa ni mfanyakazi wa Idara ya Usalama hapa Tanzania. Sawa, mtu anaweza kuuliza kwanini au nini kimepelekea nitake kujua?

Ni kwamba miaka mitano nyuma katika tembea yangu mikoani huko nikafika mkoa wa nyumbani( mkoa ambao baba yangu alizaliwa na kusomea elimu yake ya sekondari) nikabahtika kukutana na mtu ambaye alisoma naye, katika kutambulishana bahati nzuri akasikia jina langu, na ikatokea kweli amemfahamu mzee wangu pamoja na ndugu zangu wengine ndio akadokeza hilo jambo. sikumbuki likuaje lakini akawa amelisema hilo na mimi sikuwa nafahamu chochote. nikaliweka nikasema ntalifatilia na wa kwanza kumuuliza ni Mzazi mwenziye yani mama yangu lakini na yeye hakujua kuhusu hilo ila tu akanieleza tabia za mzee alivyokuwa kwa uchache, Mzee wangu alikuwa ni mhasibu kwa taaluma, na alikuwa akifanya kazi katika shirika la wazungu lililopo hapa Tanzania linalojishughulisha na masuala ya kilimo. Kwa maelezo ya mama ni mtu mwenye kusafiri mara kwa mara, na kwamba alikuwa mtu wa watu sana, na marafiki wengi.

niliona kwa wenzetu shirika la ujasusi wa ndani wa Uingereza MI5 (The Security Service) huwa wanatoa majibu kwa Mzazi au ndugu marehemu kama aliwahi kufanya kazi kwenye shirika lao, ingia hapa (SSQ | MI5 - The Security Service) sehemu ya FACTS OR FINCTIONS. naona sio vibaya nikauliza hapa kwa wenye kujua,ili kama na hapa kwetu linawezekana basi nipate kufahamu.

Screenshot_2016-09-30-14-34-06.png

 
Habari waheshimiwa, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, JE naweza kufahamu kwa njia yeyote kama Mzazi wangu ambaye ni marehemu ( zaidi ya miaka 20 iliyopita) kama alikuwa ni mfanyakazi wa Idara ya Usalama hapa Tanzania. Sawa, mtu anaweza kuuliza kwanini au nini kimepelekea nitake kujua?

Ni kwamba miaka mitano nyuma katika tembea yangu mikoani huko nikafika mkoa wa nyumbani( mkoa ambao baba yangu alizaliwa na kusomea elimu yake ya sekondari) nikabahtika kukutana na mtu ambaye alisoma naye, katika kutambulishana bahati nzuri akasikia jina langu, na ikatokea kweli amemfahamu mzee wangu pamoja na ndugu zangu wengine ndio akadokeza hilo jambo. sikumbuki likuaje lakini akawa amelisema hilo na mimi sikuwa nafahamu chochote. nikaliweka nikasema ntalifatilia na wa kwanza kumuuliza ni Mzazi mwenziye yani mama yangu lakini na yeye hakujua kuhusu hilo ila tu akanieleza tabia za mzee alivyokuwa kwa uchache, Mzee wangu alikuwa ni mhasibu kwa taaluma, na alikuwa akifanya kazi katika shirika la wazungu lililopo hapa Tanzania linalojishughulisha na masuala ya kilimo. Kwa maelezo ya mama ni mtu mwenye kusafiri mara kwa mara, na kwamba alikuwa mtu wa watu sana, na marafiki wengi.

niliona kwa wenzetu shirika la ujasusi wa ndani wa Uingereza MI5 (The Security Service) huwa wanatoa majibu kwa Mzazi au ndugu marehemu kama aliwahi kufanya kazi kwenye shirika lao, ingia hapa (SSQ | MI5 - The Security Service) sehemu ya FACTS OR FINCTIONS. naona sio vibaya nikauliza hapa kwa wenye kujua,ili kama na hapa kwetu linawezekana basi nipate kufahamu.

View attachment 411500

Taja majina yake matatu!! Na mwaka wake wa kuzaliwa au mara ya mwisho alifanya kazi sehemu gani!!!
 
Habari waheshimiwa, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, JE naweza kufahamu kwa njia yeyote kama Mzazi wangu ambaye ni marehemu ( zaidi ya miaka 20 iliyopita) kama alikuwa ni mfanyakazi wa Idara ya Usalama hapa Tanzania. Sawa, mtu anaweza kuuliza kwanini au nini kimepelekea nitake kujua?

Ni kwamba miaka mitano nyuma katika tembea yangu mikoani huko nikafika mkoa wa nyumbani( mkoa ambao baba yangu alizaliwa na kusomea elimu yake ya sekondari) nikabahtika kukutana na mtu ambaye alisoma naye, katika kutambulishana bahati nzuri akasikia jina langu, na ikatokea kweli amemfahamu mzee wangu pamoja na ndugu zangu wengine ndio akadokeza hilo jambo. sikumbuki likuaje lakini akawa amelisema hilo na mimi sikuwa nafahamu chochote. nikaliweka nikasema ntalifatilia na wa kwanza kumuuliza ni Mzazi mwenziye yani mama yangu lakini na yeye hakujua kuhusu hilo ila tu akanieleza tabia za mzee alivyokuwa kwa uchache, Mzee wangu alikuwa ni mhasibu kwa taaluma, na alikuwa akifanya kazi katika shirika la wazungu lililopo hapa Tanzania linalojishughulisha na masuala ya kilimo. Kwa maelezo ya mama ni mtu mwenye kusafiri mara kwa mara, na kwamba alikuwa mtu wa watu sana, na marafiki wengi.

niliona kwa wenzetu shirika la ujasusi wa ndani wa Uingereza MI5 (The Security Service) huwa wanatoa majibu kwa Mzazi au ndugu marehemu kama aliwahi kufanya kazi kwenye shirika lao, ingia hapa (SSQ | MI5 - The Security Service) sehemu ya FACTS OR FINCTIONS. naona sio vibaya nikauliza hapa kwa wenye kujua,ili kama na hapa kwetu linawezekana basi nipate kufahamu.

View attachment 411500
Kwani ulitaka kujua nini kutokana na mzee wako kama alikuwa TISS?
 
Mkuu sisi ni ndugu na imeandikwa tukae kwa pamoja kwa amani sasa wee unaniogopa kwa mi nang'ata[emoji86] [emoji86]
hamna udugu nyie, ndo mana unaona hata mtoto hajui kuhusu baba yake na kazi zake, Mweeee.
 
Nami naomba majibu "hivi watu wa system huwa wanachizi au kuwehuka?".... Kama ndivyo vipi kuhusu siri?
 
Hapo ni vigumu sana kufahamu mkuu kwani hawa jamaa(TISS) wanapomfunza mtu (shushushu) hawamwajiri kama usalama wa taifa bali huwekwa kwenye kada mbalimbali za taasisi za serikali hata binafsi kulingana na malengo/uhitaji..

mfano wengine unaweza kumkuta ni mwalim, asikari jeshi, polisi, magereza, madaktari nk. sasa hapo hata anapofariki process zote za mazishi hufanywa na taasisi au kada iliyokuwa imemuajiri na sio TISS, haijawahi popote kutokea eti shushushu anazikwa na idara ya usalama wa taifa ( TISS), Jiulize je hakuna wanausalama wanaokufa?

Inawezekana ukabahatika lakini si virahisi kiivo zaidi utaambiwa hawakuwahi kuwa na mtu kama huyo ijapokuwa kweli alikuwa TISS,
 
Hapo ni vigumu sana kufahamu mkuu kwani hawa jamaa(TISS) wanapomfunza mtu (shushushu) hawamwajiri kama usalama wa taifa bali huwekwa kwenye kada mbalimbali za taasisi za serikali hata binafsi kulingana na malengo/uhitaji..

mfano wengine unaweza kumkuta ni mwalim, asikari jeshi, polisi, magereza, madaktari nk. sasa hapo hata anapofariki process zote za mazishi hufanywa na taasisi au kada iliyokuwa imemuajiri na sio TISS, haijawahi popote kutokea eti shushushu anazikwa na idara ya usalama wa taifa ( TISS), Jiulize je hakuna wanausalama wanaokufa?

Inawezekana ukabahatika lakini si virahisi kiivo zaidi utaambiwa hawakuwahi kuwa na mtu kama huyo ijapokuwa kweli alikuwa TISS,

mkuu sizungumzii mazishi yake, najua wao hawakuziki kama wao kwani hufanya kazi zao kwa siri.
 
Mmmh Naanza kukuogopa.....
Mpm.... Waangalie database kama yupo maana hawa watu bana.... Nilisoma na jamaa olive.. Tukaachana kati kati hapo tukakutana first degree alikua anajinasibu kama afisa maendeleo ya jamii kaja Kuongezea Elimu ila tumemaliza chuo namuona kwenye misafara ya Rais mstaafu nkastuka hivi afisa maendeleo ya jamiii na kaunda suit vinaendanaje
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom