Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeelewa uzi? sijajizungumzia mimi hata kidogo. kama huna cha kuzungumza pita kimya kimyakwan wewe nawe si usalama wa taifa lazima ulinde taifa lako ...au hujui ilo ...
Sio siasa nakuona ni kama mtu uliyechanganyikiwa baada ya kuchoka kuwa jobless sasa unakumbuka watu waliokufa labda watakusaidia!mkuu haihusiani kabisa, tfadhali naomba usiingize siasa. unaweza ukapita kimya kimya
Anafikiri atapata ajira kiulaini akienda kujitambulisha baba yake alikuwa TISS[emoji87] [emoji87] [emoji87] mkuu punguza mitero ya maisha!!
mkuu unapoteza maanaSio siasa nakuona ni kama mtu uliyechanganyikiwa baada ya kuchoka kuwa jobless sasa unakumbuka watu waliokufa labda watakusaidia!
Wewe unafikiri kwa kujua huyo baba yake alikuwa TISS kutamsaidia nini kama sio kuchanganyikiwa! Au anataka kufuatilia mafao?mkuu unapoteza maana
samahani lakin!
ebu tusiende mbali kwanza... wewe unajua nn kuhusu baba yako?Wewe unafikiri kwa kujua huyo baba yake alikuwa TISS kutamsaidia nini kama sio kuchanganyikiwa! Au anataka kufuatilia mafao?
kama ya mzee wako yana kuhusu wew basi na hapa ungepita kimya kimya kama ulivyombiwaHayakuhusu na wala sina haja ya kuwachosha watu
Kanitumia inbox, maana nimemuiliza shida yake niniKumbe unaanzisha mada na kuchangia mwenyewe kwa Id tofauti tofauti!
Yeye angetaka wengine wasichangie angekaa nayo mwenyewe huko kama tulivyofanya sisi wenginekama ya mzee wako yana kuhusu wew basi na hapa ungepita kimya kimya kama ulivyombiwa
Mmezidi kumsema. Nimemfata inbox kumuuliza kama nia yzke niz hiyo na kama amesoma maana badala ya kumpa majibu mnasema ana tatizo la ajira n.k ndio maana kanibu Mkuu (mmoja), mzee mbona uko na hasira sanaSasa mbona umejibu kama wewe ndio umeambiwa,huna lolote uwe makini unapotumia ID zaidi ya moja ona sasa ulivyoumbuka mimi nafikiri najibishana na watu wengi kumbe ni wewe mwenyewe!
na hiyo ndiyo maana yangu mkuu kwa hyo nilichokiandika ni sawa na unachokielewa tuko pamoja[emoji109] [emoji109] [emoji109]wanashiriki kama marafiki tu au jamaa wengine, kwani kwenye msiba mtu akisema tu ni rafiki, au mwalimu au mfanya biashara mwenzake. au wakasema ni mchango kutoka kwa walimu wenzake. sema hawashiriki rasmi na kama aliyefariki ni mkubwa wanaweza tuma muwakilishi lakini hawajitambulishi. huu ndio uelewa wangu km nimekosea watu watasema
Aiseee!!![emoji15] [emoji15] [emoji15]Sio siasa nakuona ni kama mtu uliyechanganyikiwa baada ya kuchoka kuwa jobless sasa unakumbuka watu waliokufa labda watakusaidia!
[emoji87] [emoji87] [emoji3] [emoji3]Anafikiri atapata ajira kiulaini akienda kujitambulisha baba yake alikuwa TISS
Halafu?ni ukweli tu kama aliwahi kufanya hiyo kazi basi. miaka mitano sasa nimeona niulize niwe na jibu sahihi
nashkuru mzee umenisaidia kiasi fulaniKanitumia inbox, maana nimemuiliza shida yake nini