Je, naweza kufahamu kama Mzazi wangu marehemu aliwahi kufanya kazi Usalama wa Taifa?

Je, naweza kufahamu kama Mzazi wangu marehemu aliwahi kufanya kazi Usalama wa Taifa?

Status
Not open for further replies.
kwan wewe nawe si usalama wa taifa lazima ulinde taifa lako ...au hujui ilo ...
 
nashkuru wote waliotoa mawazo na ushauri wa kunisaidia.
kwan wewe nawe si usalama wa taifa lazima ulinde taifa lako ...au hujui ilo ...
umeelewa uzi? sijajizungumzia mimi hata kidogo. kama huna cha kuzungumza pita kimya kimya
 
Leta majina yake inibox picha yake mkoa wake na mwaka aloyokufa mara ya mwisho alifanyawapi kazi
 
Sasa mbona umejibu kama wewe ndio umeambiwa,huna lolote uwe makini unapotumia ID zaidi ya moja ona sasa ulivyoumbuka mimi nafikiri najibishana na watu wengi kumbe ni wewe mwenyewe!
Mmezidi kumsema. Nimemfata inbox kumuuliza kama nia yzke niz hiyo na kama amesoma maana badala ya kumpa majibu mnasema ana tatizo la ajira n.k ndio maana kanibu Mkuu (mmoja), mzee mbona uko na hasira sana
 
wanashiriki kama marafiki tu au jamaa wengine, kwani kwenye msiba mtu akisema tu ni rafiki, au mwalimu au mfanya biashara mwenzake. au wakasema ni mchango kutoka kwa walimu wenzake. sema hawashiriki rasmi na kama aliyefariki ni mkubwa wanaweza tuma muwakilishi lakini hawajitambulishi. huu ndio uelewa wangu km nimekosea watu watasema
na hiyo ndiyo maana yangu mkuu kwa hyo nilichokiandika ni sawa na unachokielewa tuko pamoja[emoji109] [emoji109] [emoji109]
 
Hata ukijua haitakusaidia heri usijue kabisa kama kuna malipo anayestahili ni mama. Wewe komaa kivyako ndugu never waste your time seeking very fictitious story.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom