Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
KalistusM, mzee amefariki 20 years ago (RIP). Muache apumzike kwa amani. Hata ukijua alikuwa recruited na TISS inakusaidia nini sasa?
Umeshasema mzee alikuwa mhasibu na aliajiriwa na shirika la wazungu. Huyo babu mwingine aliyehisi mzee alikuwa TISS labda ni kwa kuwa mzee alikuwa anasafiri sana. Nothing more.
Umeshasema mzee alikuwa mhasibu na aliajiriwa na shirika la wazungu. Huyo babu mwingine aliyehisi mzee alikuwa TISS labda ni kwa kuwa mzee alikuwa anasafiri sana. Nothing more.