Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Mafoa
Mkuu labdaAngalia vizuri Mkuu sio mimi. Kwani huwa wanadaiwa? Kudai nini sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu labdaAngalia vizuri Mkuu sio mimi. Kwani huwa wanadaiwa? Kudai nini sasa
ha ha ha ha ah ah ah hawasomeki nakwambia.Mpm.... Waangalie database kama yupo maana hawa watu bana.... Nilisoma na jamaa olive.. Tukaachana kati kati hapo tukakutana first degree alikua anajinasibu kama afisa maendeleo ya jamii kaja Kuongezea Elimu ila tumemaliza chuo namuona kwenye misafara ya Rais mstaafu nkastuka hivi afisa maendeleo ya jamiii na kaunda suit vinaendanaje
Hapo ni vigumu sana kufahamu mkuu kwani hawa jamaa(TISS) wanapomfunza mtu (shushushu) hawamwajiri kama usalama wa taifa bali huwekwa kwenye kada mbalimbali za taasisi za serikali hata binafsi kulingana na malengo/uhitaji..
mfano wengine unaweza kumkuta ni mwalim, asikari jeshi, polisi, magereza, madaktari nk. sasa hapo hata anapofariki process zote za mazishi hufanywa na taasisi au kada iliyokuwa imemuajiri na sio TISS, haijawahi popote kutokea eti shushushu anazikwa na idara ya usalama wa taifa ( TISS), Jiulize je hakuna wanausalama wanaokufa?
Inawezekana ukabahatika lakini si virahisi kiivo zaidi utaambiwa hawakuwahi kuwa na mtu kama huyo ijapokuwa kweli alikuwa TISS,
Hii ishu unayotaka kuifwatilia inaonekana ni ngumu na itakuumiza akili na wala hautapata ukweli.mkuu sizungumzii mazishi yake, najua wao hawakuziki kama wao kwani hufanya kazi zao kwa siri.
mkuu sihitaji chochote, wala siwazi hilo. nashkuru mungu maisha yangu yanamuelekeoMafoa
Mkuu labda
mkuu bahati mbaya nilikuwa bado akili ndogo, kwa bahati mbaya hakuna hata kimoja nachoweza kukipata katika vitu vyake. kwa ufupi hakuna. kuna briefcase moja mama alinimbia lilikuwa la mzee, la zamani limefungwa kwa namba. na kwa vile mama alisafiri nilishawishika siku moja nikalivunja, kumbe mama aliweka vitu vyake yeye japo alisema la mzee. nilimuelewa vibaya nilijua mzee aliliacha kama lilivyo na halijawahi kufunguliwaHii ishu unayotaka kuifwatilia inaonekana ni ngumu na itakuumiza akili na wala hautapata ukweli.
[emoji53] embu jaribu kuchunguza nyaraka zake alizoziacha.
Na ufuatilie mawasiliano yake iwe mobile phone, computer etc.
Majibu yako kwako ww mwenyewe na huku hautakaa uyapate majibu ya kukuridhisha zaidi ya myth tu.
Ww ndo unayemhua baba ako na familia yako kwa ujumla hivyo sisi hatuifahamu.
mkuu hakuna ninachotaka kupata zaidi ya kujua tu ukweli. sitafuti kufaidika kwa namna yeyoteFunguka usaidiwe anataka uthibitisho ili adai au anataka kupata nini?
Habari waheshimiwa, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, JE naweza kufahamu kwa njia yeyote kama Mzazi wangu ambaye ni marehemu ( zaidi ya miaka 20 iliyopita) kama alikuwa ni mfanyakazi wa Idara ya Usalama hapa Tanzania. Sawa, mtu anaweza kuuliza kwanini au nini kimepelekea nitake kujua?
Ni kwamba miaka mitano nyuma katika tembea yangu mikoani huko nikafika mkoa wa nyumbani( mkoa ambao baba yangu alizaliwa na kusomea elimu yake ya sekondari) nikabahtika kukutana na mtu ambaye alisoma naye, katika kutambulishana bahati nzuri akasikia jina langu, na ikatokea kweli amemfahamu mzee wangu pamoja na ndugu zangu wengine ndio akadokeza hilo jambo. sikumbuki likuaje lakini akawa amelisema hilo na mimi sikuwa nafahamu chochote. nikaliweka nikasema ntalifatilia na wa kwanza kumuuliza ni Mzazi mwenziye yani mama yangu lakini na yeye hakujua kuhusu hilo ila tu akanieleza tabia za mzee alivyokuwa kwa uchache, Mzee wangu alikuwa ni mhasibu kwa taaluma, na alikuwa akifanya kazi katika shirika la wazungu lililopo hapa Tanzania linalojishughulisha na masuala ya kilimo. Kwa maelezo ya mama ni mtu mwenye kusafiri mara kwa mara, na kwamba alikuwa mtu wa watu sana, na marafiki wengi.
niliona kwa wenzetu shirika la ujasusi wa ndani wa Uingereza MI5 (The Security Service) huwa wanatoa majibu kwa Mzazi au ndugu marehemu kama aliwahi kufanya kazi kwenye shirika lao, ingia hapa (SSQ | MI5 - The Security Service) sehemu ya FACTS OR FINCTIONS. naona sio vibaya nikauliza hapa kwa wenye kujua,ili kama na hapa kwetu linawezekana basi nipate kufahamu.
View attachment 411500
Anataka ajue alichokuwa analipwa na TISS ili afuatilie mafao ya marehemu baba yake!Kwani ulitaka kujua nini kutokana na mzee wako kama alikuwa TISS?
nashkuru sana mkuu, nilikuwa mdogo kwa hiyo sikumbuki chochote, ila mambo yote ya mirathi na yanayofanana na hayo yalishakamilishwa. kuhusu msimamizi ndio unanipa mwanga ngoja niulizie nijue kama yupo na hayo mambo ya kabrasha ( kama kweli mkuu kuna kabrasha hizo ntashukuru sana kwa kweli, ila najiuliza ni kwamba kama sijakuelewa vibaya, kweli wanatoa hizo kabrasha? sasa kama itahitaji ruhusa wanajuaje jama huyo waliyemkabidhi hatoyatoa? au na yeye anakuwa ni mtu wa aina gani, umenipa mwanga lakini umenipa na mwasali pia, maana je kama yule msimamizi hajui umuhimu wa hizo kabrasha akatunza vibaya vikapotea. ila nashkuruJe, ni nani alisimamia mirathi ni wewe au kuna mtu maalum aliteuliwa na kupitishwa na mahakama.
Kama yupo msimamizi wa mirathi basi ataweza kupitia kabrasha la marehemu mzee wenu na kila kitu kimeandikwa mle ingawa kunaweza kuwepo kabrasha mbili..
Tatizo linakuja kama hayupo huyo mtu na pia hata kama yupo awe na ruhusa maalum ya kusoma hilo kabrasha.
Halafu hizo kabrasha zipo hard copy na soft copy na hard copy ni classified hivyo haitolewi.
Je mambo kama wasia, mirathi na akiba kwenye mabenki yamemalizwa? Maana kama mafao basi yanapelekwa moja kwa moja kwenye akaunti husika kama ile ya NSSF.
Yupo mtu maalum kwa kazi hiyo.
Vinginevyo wewe chukulia tu marehemu mzee wako alikuwa ni mhasibu kitaaluma na kama kila kitu kimekamilika basi hakuna taarifa zingine pana.
mkuu haihusiani kabisa, tfadhali naomba usiingize siasa. unaweza ukapita kimya kimyaHaya yote kayataka magufuli kwa kuzuia ajira!
kwa nini tunakuwa na dhana hizo, yani wewe huwezi kuhitaji kujua kuhusu mzee wako. mambo yote hayo yalishafinyika nishakuwa mtu na maisha yangu mkuuAnataka ajue alichokuwa analipwa na TISS ili afuatilie mafao ya marehemu baba yake!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] wanadam bhanaNami naomba majibu "hivi watu wa system huwa wanachizi au kuwehuka?".... Kama ndivyo vipi kuhusu siri?
Good sana upo vizuri mkuu!!Hapo ni vigumu sana kufahamu mkuu kwani hawa jamaa(TISS) wanapomfunza mtu (shushushu) hawamwajiri kama usalama wa taifa bali huwekwa kwenye kada mbalimbali za taasisi za serikali hata binafsi kulingana na malengo/uhitaji..
mfano wengine unaweza kumkuta ni mwalim, asikari jeshi, polisi, magereza, madaktari nk. sasa hapo hata anapofariki process zote za mazishi hufanywa na taasisi au kada iliyokuwa imemuajiri na sio TISS, haijawahi popote kutokea eti shushushu anazikwa na idara ya usalama wa taifa ( TISS), Jiulize je hakuna wanausalama wanaokufa?
Inawezekana ukabahatika lakini si virahisi kiivo zaidi utaambiwa hawakuwahi kuwa na mtu kama huyo ijapokuwa kweli alikuwa TISS,
nashkuru sana mkuu, nilikuwa mdogo kwa hiyo sikumbuki chochote, ila mambo yote ya mirathi na yanayofanana na hayo yalishakamilishwa. kuhusu msimamizi ndio unanipa mwanga ngoja niulizie nijue kama yupo na hayo mambo ya kabrasha ( kama kweli mkuu kuna kabrasha hizo ntashukuru sana kwa kweli, ila najiuliza ni kwamba siajkuelewa viabaya, kweli wanatoa hizo kabrasha? sasa kama itahitaji ruhusa wanajuaje jama huyo waliyemkabidhi hatoyatoa? au na yeye anakuwa ni mtu wa aina gani, umenipa mwanga lakini umeniap namwasai, maana je kama yule msimamizi hajui umuhimu wa hizo kabrasha. ila nashkuru
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mkuu wee si umeambiwa afisa??Mpm.... Waangalie database kama yupo maana hawa watu bana.... Nilisoma na jamaa olive.. Tukaachana kati kati hapo tukakutana first degree alikua anajinasibu kama afisa maendeleo ya jamii kaja Kuongezea Elimu ila tumemaliza chuo namuona kwenye misafara ya Rais mstaafu nkastuka hivi afisa maendeleo ya jamiii na kaunda suit vinaendanaje
[emoji87] [emoji87] [emoji87] mkuu punguza mitero ya maisha!!Haya yote kayataka magufuli kwa kuzuia ajira!