FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Nina wasiwasi hawa tunaowapa kazi ya kuchapisha pesa zetu wanachapisha na makontena ya ziada na kuyaingiza kwenye mzunguko kimya kimya. Should i be concerned?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewaza ingekuwa Tanzania tumepewa kazi ya kuchapisha noti za Kenya, tungewafanya kitu kibaya sana, sijui tumetumia akili za kichwani au za wapi kuwapa watu wengine kazi ya kuchapisha pesa zetu, halafu tunawalipa pesa hizo hizo walizochapisha kama malipo ya kazi yao, hivi vichwani mwetu kuna funza au ni nini?! 😂Umewaza nini mkuu?
Nimewaza ingekuwa Tanzania tumepewa kazi ya kuchapisha noti za Kenya, tungewafanya kitu kibaya sana, sijui tumetumia akili za kichwani au za wapi kuwapa watu wengine kazi ya kuchapisha pesa zetu, halafu tunawalipa pesa hizo hizo walizochapisha kama malipo ya kazi yao, hivi vichwani mwetu kuna funza au ni nini?! 😂
Imeisha hiyo, akiuliza swali jengine la ki LUMUMBA LUMUMBA ni tag mkuu ni mjibu mimi.Ila unahitaji lessons on ^Basics of Economy and Monetary Policy^
Hata hapa unaweza kutupa hizo lessons, ndio maana na dhima ya jukwaa, isn’t it? Then tujadili katika kuvunja mind set mliyokaririshwa mashuleni, kwa hoja na mantiki.Ila unahitaji lessons on ^Basics of Economy and Monetary Policy^
Sasa hapo kajibu nini, nadhani ndio tunaanza tuImeisha hiyo, akiuliza swali jengine la ki LUMUMBA LUMUMBA ni tag mkuu ni mjibu mimi.
Endapo hujui ni basi gani na liko wapi, ila kama ni za mwendokasi, unajua yalipo kabisa, thamani ipo aisee😁😁Anayechapisha fedha ni sawa na anaye chapisha kitabu Cha tiketi,kitabu Cha tiketi hakina thamani kwa mchapishaji.
Money printing Tanzania mtafanyia wapi?Nina wasiwasi hawa tunaowapa kazi ya kuchapisha pesa zetu wanachapisha na makontena ya ziada na kuyaingiza kwenye mzunguko kimya kimya.., should i be concerned?
Sio kweliAnayechapisha fedha ni sawa na anaye chapisha kitabu Cha tiketi,kitabu Cha tiketi hakina thamani kwa mchapishaji.
Tanzania bank zake zinatoa wapi technology ya security?Money printing Tanzania mtafanyia wapi?
Mitambo na technology ya kuweka security features mnayo?
Aiseee
Sijakuelewa kwa kweliKaka nimekuwa nakusoma muda mrefu tu maandiko yako, sio kweli kwamba hujui kilichopo juu ya hili au matumizi ya dawa, zote za mimea na wanyama na binadamu. Uzi naona umeuandika saa saba usiku
Nani alisema inahitaji uwekezaji mdogo?Umewahi jiuliza kwanini tuna viwanda vya sukari au karatasi lakini sukari au karatasi tunazozalisha hapa kwetu bei iko juu kuliko zinazotoka nje?
Kuchapisha pesa inahitaji uwekezaji mkubwa hasa upande wa teknolojia, ulinzi na usalama. Tukisema tuchapishe hapa usishangae tukatumia Tsh 15,000 au Tsh 20,000 kuchapisha noti ya Tsh 10,000.
Nakubaluana na wewe kwamba kuna vitu tumekubali viendelee kama ilivyokua ikifanyika awali bila kujaribu kuangalia namna gani vinaweza kufanyika kwa njia mbadala kwa ufanisi zaidi.
Sawa sawa na kuchenjulia madini nje ya nchi, ndoto za kuwa na mashine za kuchenjua hapa hapa sijui ziliishia wapi licha ya kuambiwa kwenye baadhi ya makubaliano ilikua kiwanda kijengwe nchini.