Je, nchi kuchapisha pesa zake nje ya nchi ni sahihi?

Je, nchi kuchapisha pesa zake nje ya nchi ni sahihi?

Nina wasiwasi hawa tunaowapa kazi ya kuchapisha pesa zetu wanachapisha na makontena ya ziada na kuyaingiza kwenye mzunguko kimya kimya. Should i be concerned?
Katika kampuni waaminifu duniani ni hizo za kuchapisha pesa

Chukulia hata nchi kama marekani pesa zao zinachapushwa nje ya nchi

Hizo kampuni ni chache mno na uaminifu wao ndio mtaji wao mkuu

Haijawahi tokea kitu kama hicho
 
Katika kampuni waaminifu duniani ni hizo za kuchapisha pesa

Chukulia hata nchi kama marekani pesa zao zinachapushwa nje ya nchi

Hizo kampuni ni chache mno na uaminifu wao ndio mtaji wao mkuu

Haijawahi tokea kitu kama hicho
USA inachapisha nje ya nchi?! Naona hujielewi wewe, au bado una hangover?!

Hilo suala la kampuni kuwa waaminifu ni a myth, au mkurugenzi na wafanyakazi wote ni malaika?
 
USA inachapisha nje ya nchi?! Naona hujielewi wewe, au bado una hangover?!

Hilo suala la kampuni kuwa waaminifu ni a myth, au mkurugenzi na wafanyakazi wote ni malaika?
Dola zinachadpishwa uingereza na kampuni binafsi ya familia ya Thomas de Rue ni kampuni ambayo wafanyakazi wake ni wana familia tu na ipo kwa karne nyingi na huchapa pesa za nyingi sana duniani .Siri zote hutunzwa na familia tu .Hawaokotezi kuajiri watu nje ya familia
 
Kuna kiazi mmoja amehoji,
Serikali inachapisha hela, alafu inaziachia kwa watu (inaziingiza kwenye mzunguko) alafu baadaye inaanza kuzitafuta na kukusanya kutoka kwa watu tena,

si hela zikija wachukue zao mapema ndio tusisumbuane tena
Aise shughuri pevu kwakweli duh
 
Dola zinachadpishwa uingereza na kampuni binafsi ya familia ya Thomas de Rue ni kampuni ambayo wafanyakazi wake ni wana familia tu na ipo kwa karne nyingi na huchapa pesa za nyingi sana duniani .Siri zote hutunzwa na familia tu .Hawaokotezi kuajiri watu nje ya familia
Wewe ni muongo!
Screenshot_20220212-122051.png
 
Dola zinachadpishwa uingereza na kampuni binafsi ya familia ya Thomas de Rue ni kampuni ambayo wafanyakazi wake ni wana familia tu na ipo kwa karne nyingi na huchapa pesa za nyingi sana duniani .Siri zote hutunzwa na familia tu .Hawaokotezi kuajiri watu nje ya familia
What?! Unaijua ‘bureau of engraving and printing’ ni kitu gani na ipo nchi gani?
 
Hata hapa unaweza kutupa hizo lessons, ndio maana na dhima ya jukwaa, isn’t it? Then tujadili katika kuvunja mind set mliyokaririshwa mashuleni, kwa hoja na mantiki.
Nenda kasome hiyo siyo elimu ya memkwa Hadi itolewe hapa jukwaani.
Au unataka akupe pia elimu ya kutengeneza mashine za kuchapisha hela hapa jukwaani kwa kujibu thread yako?
Huna elimu labda umri umekuacha somesha watoto wako wasije leta thread kama yako.
 
Nenda kasome hiyo siyo elimu ya memkwa Hadi itolewe hapa jukwaani.
Au unataka akupe pia elimu ya kutengeneza mashine za kuchapisha hela hapa jukwaani kwa kujibu thread yako?
Huna elimu labda umri umekuacha somesha watoto wako wasije leta thread kama yako.
Hii comment yako ni fallacy, hakuna namna inajibika, hata ningetaka kuijibu najibu nini sasa? Uzi tujadili hapa wewe uniambie nikasome google, wewe uliyesoma na tueleze hapa ukichoelewe ili mjadala uendelee kwa mtiririko wa kimantiki.
 
 
^If a government cannot protect herself, if she cannot defend her own freedom and sovereignty, if she cannot help her own people to keep their properties and life, the only logical option for her is to remain a colony^ ~ Anonymous
Kwhyo kumbe taifa lina jinsia ya ke!!!
 
Back
Top Bottom