Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Upoo mkuu aujakufikia tuHakuna cha uchawi hapo..wewe chakufanya kua tu mbunifu wa kazi yako.
Nb: sisi wenzako kule tunafataga vibe tu kutoka kwa wadau wetu wa soka.
Kuna bar 2 hapa mtaan
Ajabu hata mm naruka bar ya kwanza nzuri kilakitu mechi projector. Kubwaa uliza wote tukikaribia tuanfunga macho
Na ina mabinti wazuri