Je, ndio yamenikuta kwenye banda langu la mpira?

Je, ndio yamenikuta kwenye banda langu la mpira?

Hakuna cha uchawi hapo..wewe chakufanya kua tu mbunifu wa kazi yako.

Nb: sisi wenzako kule tunafataga vibe tu kutoka kwa wadau wetu wa soka.
Upoo mkuu aujakufikia tu

Kuna bar 2 hapa mtaan

Ajabu hata mm naruka bar ya kwanza nzuri kilakitu mechi projector. Kubwaa uliza wote tukikaribia tuanfunga macho

Na ina mabinti wazuri
 
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta nakodisha banda liliko lipo wazi msimu wa mwaka jana.

Mtaa ninao kaa kulikuwa na mabanda mawili ya mpira ila msimu huu jamaa mmoja hakufungua kabisa.Kupita kuuliza nikaambiwa jamaaa kashindwa kwahiyo anakodisha pale

Mimi huyo na kiranga changu nikalipia miezi kadhaa na nikanunua azam tv nikafunga nilikuwa na TV yangu inchi 43 home nikataka kuichukua wife akakataa akasema km unafungua mpira TV itakuwa huko muda mwingi tununulie hata TV ndogo

Nikamuona kama miyeyusho nikaenda kununua TV used inch 46 nikafunga fresh

Nikaeka vimatangazo vya uongo uongo basi siku ya mpira ikafika ambayo ilikuwa YANGA VS CBE .ila waliingia watu 7 tu nikarudi na 3500 ts.
Siku ikaisha hivyo na nikajipa moyo kuwa kesho ni SIMBA VS ALAHLY TRIPOL naweza nikatusua lakin pia haikuwa hivyo nikapata watu 8 tu

Nikasema hapa mbona km jau matarajio sio kabisa. Kivumbi hiki

Nikajipa moyo tena kwakuwa ni wiki ya kwanza ngoja tuangalie next game ya yanga vs cbe aman complex

La haula hii ndio ikatia fora kabisa mana walikuja watu wawili tu.

Sasa najiuliza ni kuwa ya mabango haikutosha ?? Au TV inchi 46 bado ni ndogo ?? Mana banda la pili ana inchi 43 tu na kule nyomi ila siwez laumu kwa kuwa ana experience ya muda na yule alienikodisha mimi mwanzo alikuwa na TV ndogo ndio maana nikaona kama Alikuwa anafeli

NACHOOMBA WAZOEFU NA HIZI MAMBO MNISHAURI CHA KUFANYA

dogo niliemuachia banda kaniambia tumefungua banda kitoto sana hatujazunguka kwa waganguzi.

Majirani wengine wakasema mwenzenu kashawai kwa wazee porini kwa hiyo nyie msipoangaika mtakuwa mnalipa kodi na kingamuzi hakuna hela mtapata hapo. Hii kauli imetolewa na watu watatu tofauti hapa mtaani

Chakushangaza kabisa ndugu wa mpinzani wetu kutuambia nyie yule hamumjui kama ni mchawi?

Mimi nilichomwambia dogo ni kuwa game ya simba tunaweka promotion watu 5 wa mwanzo wanaingia bure ili kuhuisha brand mana tunapoelekea ntakata tamaa mapema mno.

Wadau mna maoni gani kwenye mabanda ya mpira je kuna nginjanginja hizi za kurogana mwengine asipate wateja.

Mama mimi sijawai kwenda kwa mganga tangia nizaliwe na sina mpango huo nimeamua kama watu hawatakuja hata kwa bure Bora nifunge banda au nikatafute sehemu ambayo haina kurogana lakini sio kwenda kusema TAWIRE mana mganga anapatiaga kwa kupita mule mule na Ramli zao chonganishi.

Ni hayo wadau
Hilo banda lipo wapi
 
Hahah...

Kuna banda umiza moja hilo tulikuwa tuna majina a.k.a, kuna mtu anaitwa Ferguson, Wenger, Scholes, Viera...

Ukiwa mgeni pale ukamuuliza mtu kwa jina lake halisi unaweza usimpate kabisa...

Banda lina vibe hatari halafu limejengwa kwa mabati tu, chuma kikipigwa yale mabati yanabamizwa mamaeee kama vile parapanda ya kumpokea bwana mawinguni...
Banda umiza lina vibe sana hasa goli likifungwa, kuna wadau wanasimamisha hadi feni kwa kuishika kwa mkono na hawahofii chochote.
 
Kwani hujawahi kuona bar mbili ziko karibu moja inajaa nyingine haijai?
Huyo mwenzio ana wateja wake. Sasa na wewe tafuta wateja wako au mnyang'anye wateja kwa kuwa na kitu bora zaidi sio utopolo ule ule.
Hili ndio anapaswa kufanya aongeze ubunifu...anaweza kuanza kwa kutafuta wapiga kelele wawili wa kuleta amsha amsha bandani, pia aboreshe banda kwa kuliweka kwenye usafi wa hali ya juu.

Hata kwenye kuandika mechi ubaoni aandike na kuongeza maneno ya mbwembwe.
 
Upoo mkuu aujakufikia tu

Kuna bar 2 hapa mtaan

Ajabu hata mm naruka bar ya kwanza nzuri kilakitu mechi projector. Kubwaa uliza wote tukikaribia tuanfunga macho

Na ina mabinti wazuri
Vibe! Vibe! Vibe! Ndio kinachofanya uruke hyo bar uende bar ya jirani. Ukiwa mfanyabiashara hasa wa sehemu za starehe jikite sana kwenye kutengeneza vibe.
 
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta nakodisha banda liliko lipo wazi msimu wa mwaka jana.

Mtaa ninao kaa kulikuwa na mabanda mawili ya mpira ila msimu huu jamaa mmoja hakufungua kabisa.Kupita kuuliza nikaambiwa jamaaa kashindwa kwahiyo anakodisha pale

Mimi huyo na kiranga changu nikalipia miezi kadhaa na nikanunua azam tv nikafunga nilikuwa na TV yangu inchi 43 home nikataka kuichukua wife akakataa akasema km unafungua mpira TV itakuwa huko muda mwingi tununulie hata TV ndogo

Nikamuona kama miyeyusho nikaenda kununua TV used inch 46 nikafunga fresh

Nikaeka vimatangazo vya uongo uongo basi siku ya mpira ikafika ambayo ilikuwa YANGA VS CBE .ila waliingia watu 7 tu nikarudi na 3500 ts.
Siku ikaisha hivyo na nikajipa moyo kuwa kesho ni SIMBA VS ALAHLY TRIPOL naweza nikatusua lakin pia haikuwa hivyo nikapata watu 8 tu

Nikasema hapa mbona km jau matarajio sio kabisa. Kivumbi hiki

Nikajipa moyo tena kwakuwa ni wiki ya kwanza ngoja tuangalie next game ya yanga vs cbe aman complex

La haula hii ndio ikatia fora kabisa mana walikuja watu wawili tu.

Sasa najiuliza ni kuwa ya mabango haikutosha ?? Au TV inchi 46 bado ni ndogo ?? Mana banda la pili ana inchi 43 tu na kule nyomi ila siwez laumu kwa kuwa ana experience ya muda na yule alienikodisha mimi mwanzo alikuwa na TV ndogo ndio maana nikaona kama Alikuwa anafeli

NACHOOMBA WAZOEFU NA HIZI MAMBO MNISHAURI CHA KUFANYA

dogo niliemuachia banda kaniambia tumefungua banda kitoto sana hatujazunguka kwa waganguzi.

Majirani wengine wakasema mwenzenu kashawai kwa wazee porini kwa hiyo nyie msipoangaika mtakuwa mnalipa kodi na kingamuzi hakuna hela mtapata hapo. Hii kauli imetolewa na watu watatu tofauti hapa mtaani

Chakushangaza kabisa ndugu wa mpinzani wetu kutuambia nyie yule hamumjui kama ni mchawi?

Mimi nilichomwambia dogo ni kuwa game ya simba tunaweka promotion watu 5 wa mwanzo wanaingia bure ili kuhuisha brand mana tunapoelekea ntakata tamaa mapema mno.

Wadau mna maoni gani kwenye mabanda ya mpira je kuna nginjanginja hizi za kurogana mwengine asipate wateja.

Mama mimi sijawai kwenda kwa mganga tangia nizaliwe na sina mpango huo nimeamua kama watu hawatakuja hata kwa bure Bora nifunge banda au nikatafute sehemu ambayo haina kurogana lakini sio kwenda kusema TAWIRE mana mganga anapatiaga kwa kupita mule mule na Ramli zao chonganishi.

Ni hayo wadau
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta nakodisha banda liliko lipo wazi msimu wa mwaka jana.

Mtaa ninao kaa kulikuwa na mabanda mawili ya mpira ila msimu huu jamaa mmoja hakufungua kabisa.Kupita kuuliza nikaambiwa jamaaa kashindwa kwahiyo anakodisha pale

Mimi huyo na kiranga changu nikalipia miezi kadhaa na nikanunua azam tv nikafunga nilikuwa na TV yangu inchi 43 home nikataka kuichukua wife akakataa akasema km unafungua mpira TV itakuwa huko muda mwingi tununulie hata TV ndogo

Nikamuona kama miyeyusho nikaenda kununua TV used inch 46 nikafunga fresh

Nikaeka vimatangazo vya uongo uongo basi siku ya mpira ikafika ambayo ilikuwa YANGA VS CBE .ila waliingia watu 7 tu nikarudi na 3500 ts.
Siku ikaisha hivyo na nikajipa moyo kuwa kesho ni SIMBA VS ALAHLY TRIPOL naweza nikatusua lakin pia haikuwa hivyo nikapata watu 8 tu

Nikasema hapa mbona km jau matarajio sio kabisa. Kivumbi hiki

Nikajipa moyo tena kwakuwa ni wiki ya kwanza ngoja tuangalie next game ya yanga vs cbe aman complex

La haula hii ndio ikatia fora kabisa mana walikuja watu wawili tu.

Sasa najiuliza ni kuwa ya mabango haikutosha ?? Au TV inchi 46 bado ni ndogo ?? Mana banda la pili ana inchi 43 tu na kule nyomi ila siwez laumu kwa kuwa ana experience ya muda na yule alienikodisha mimi mwanzo alikuwa na TV ndogo ndio maana nikaona kama Alikuwa anafeli

NACHOOMBA WAZOEFU NA HIZI MAMBO MNISHAURI CHA KUFANYA

dogo niliemuachia banda kaniambia tumefungua banda kitoto sana hatujazunguka kwa waganguzi.

Majirani wengine wakasema mwenzenu kashawai kwa wazee porini kwa hiyo nyie msipoangaika mtakuwa mnalipa kodi na kingamuzi hakuna hela mtapata hapo. Hii kauli imetolewa na watu watatu tofauti hapa mtaani

Chakushangaza kabisa ndugu wa mpinzani wetu kutuambia nyie yule hamumjui kama ni mchawi?

Mimi nilichomwambia dogo ni kuwa game ya simba tunaweka promotion watu 5 wa mwanzo wanaingia bure ili kuhuisha brand mana tunapoelekea ntakata tamaa mapema mno.

Wadau mna maoni gani kwenye mabanda ya mpira je kuna nginjanginja hizi za kurogana mwengine asipate wateja.

Mama mimi sijawai kwenda kwa mganga tangia nizaliwe na sina mpango huo nimeamua kama watu hawatakuja hata kwa bure Bora nifunge banda au nikatafute sehemu ambayo haina kurogana lakini sio kwenda kusema TAWIRE mana mganga anapatiaga kwa kupita mule mule na Ramli zao chonganishi.

Ni hayo wadau
Pole na hongera mkuu kwa kujaribu.
Biashara hiyohiyo na mimi naifanya,nina mwezi na week 2 sasa, kuna wakati zaidi ya mara tatu au nne uwa nafungua hakuna hata mtu anaingia,yaan nawasikia kabisa watu wanapita nje na najua kabisa hawa wanaenda kuangalia mpira.
Uzuri au ubaya mimi bandani hapo nakaa mwenyewe. Mwanzoni ilinitesa sana ila sasa nmeshajifunza kukubaliana nayo.
Kama walivyosema baadhi ya wachangiaji,hakuna mafanikio yanayokuja haraka,jipe muda,acha watu wafahamu kuwa hapo kuna banda,ikizoeleka watakuja tu, binafsi nmeamua kuamini hivyo ili niweze kuendelea kufungua lakini pia inipunguzie huo msongo wa mawazo
 
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta nakodisha banda liliko lipo wazi msimu wa mwaka jana.

Mtaa ninao kaa kulikuwa na mabanda mawili ya mpira ila msimu huu jamaa mmoja hakufungua kabisa.Kupita kuuliza nikaambiwa jamaaa kashindwa kwahiyo anakodisha pale

Mimi huyo na kiranga changu nikalipia miezi kadhaa na nikanunua azam tv nikafunga nilikuwa na TV yangu inchi 43 home nikataka kuichukua wife akakataa akasema km unafungua mpira TV itakuwa huko muda mwingi tununulie hata TV ndogo

Nikamuona kama miyeyusho nikaenda kununua TV used inch 46 nikafunga fresh

Nikaeka vimatangazo vya uongo uongo basi siku ya mpira ikafika ambayo ilikuwa YANGA VS CBE .ila waliingia watu 7 tu nikarudi na 3500 ts.
Siku ikaisha hivyo na nikajipa moyo kuwa kesho ni SIMBA VS ALAHLY TRIPOL naweza nikatusua lakin pia haikuwa hivyo nikapata watu 8 tu

Nikasema hapa mbona km jau matarajio sio kabisa. Kivumbi hiki

Nikajipa moyo tena kwakuwa ni wiki ya kwanza ngoja tuangalie next game ya yanga vs cbe aman complex

La haula hii ndio ikatia fora kabisa mana walikuja watu wawili tu.

Sasa najiuliza ni kuwa ya mabango haikutosha ?? Au TV inchi 46 bado ni ndogo ?? Mana banda la pili ana inchi 43 tu na kule nyomi ila siwez laumu kwa kuwa ana experience ya muda na yule alienikodisha mimi mwanzo alikuwa na TV ndogo ndio maana nikaona kama Alikuwa anafeli

NACHOOMBA WAZOEFU NA HIZI MAMBO MNISHAURI CHA KUFANYA

dogo niliemuachia banda kaniambia tumefungua banda kitoto sana hatujazunguka kwa waganguzi.

Majirani wengine wakasema mwenzenu kashawai kwa wazee porini kwa hiyo nyie msipoangaika mtakuwa mnalipa kodi na kingamuzi hakuna hela mtapata hapo. Hii kauli imetolewa na watu watatu tofauti hapa mtaani

Chakushangaza kabisa ndugu wa mpinzani wetu kutuambia nyie yule hamumjui kama ni mchawi?

Mimi nilichomwambia dogo ni kuwa game ya simba tunaweka promotion watu 5 wa mwanzo wanaingia bure ili kuhuisha brand mana tunapoelekea ntakata tamaa mapema mno.

Wadau mna maoni gani kwenye mabanda ya mpira je kuna nginjanginja hizi za kurogana mwengine asipate wateja.

Mama mimi sijawai kwenda kwa mganga tangia nizaliwe na sina mpango huo nimeamua kama watu hawatakuja hata kwa bure Bora nifunge banda au nikatafute sehemu ambayo haina kurogana lakini sio kwenda kusema TAWIRE mana mganga anapatiaga kwa kupita mule mule na Ramli zao chonganishi.

Ni hayo wadau
Kanchi 43 munaangalia mwezi weka chombo 75 au 80 na spika ya singeli uone vibe lake always ukifanya kitu fanya bora zaidi hiyo 43 inatumwa chai tu .Hiyo ni football kaka inataka kioo kikubwa.
 
Banda umiza ninalotumia hata sio zuri ila lina vibe mno. Navuka 4 star hotel ina ukumbi nje mule sitaki kutazama mpira na wanywa bia hawajui kitu kwenye mpira, navuka banda jingine zuri naenda mbali kukutana na banda limejaa bodaboda. Hao boda wanajua sana ubishani wa mpira, formation, mbinu za kocha, kosa liko wapi, nani atoke sub aingie nani.

Kwa vile sijui mpira huwa napenda niwasikilize wao uko kwingine nikienda huwa simalizi mechi naondoka. Na ambavyo sina team nikienda lile banda huwa nafurahia kuliko nikitazama kwingine. Kwahiyo nahisi ni mazoea tafuta watu wenye ushawishi uwape ofa wavute na wengine.
 
Yaani hadi banda umiza watu wanaroga...

Ndio maana kuna muda unajikuta ushafika banda umiza hata hujui umefikaje na umeacha TV maskani...
Nimecheka sana ... wachawi noma
 
Back
Top Bottom