Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?


You can predict, Ni akili tu! Mfano: Ndugai anaumwa, Ana stress, akicheza na asipotulia atakufa; Kama mwingine yeyote!

Magufuli alikuwa na battery moyoni, na matatizo kibao na ubishi, angekufa, issue Ni Lema aseme mtu atakufa this month, that is different!
 
Lema hakutabiri mabaya. Sentensi zake zilikua za kuwaonya kwamba "Kama hautajirekebisha..." na walipokiuka yaliwakuta. Na yataendelea kuwakuta
 
Lema hatabiri bali anaonya Luna tofauti kati ya utabiri(unabii/ramli) na maonyo Lema ingelikuwa zamani ni sawa na Nuhu au Yona msilikize ubadilike upone kama Ninawi kataa na uangamie.
 
Una mengi ya kujifunza
 
Una mengi ya kujifunza
Kutoka kwa Lema 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Vijana wa chaggadema mna matatizo makubwa sana.

Ni lini alitabiri vifo vya kina NDESAMBURO, KAKA WA MBOWE na wengine.

Au yeye kazi yake ni kutabiria vifo wabaya wake tu
 
Bwana Lema ni mshenga wa izraili mtoa roho.
 
Kufa ni jambo la lazima, kwakuwa kila binadamu ataonja umauti

Mbowe kafiwa na baba yake mdogo, kisha akafiwa na Kaka yake
Pia Chadema wameondokewa na wazee kadhaa akiwemo Prof Mwesiga Baregu

Mbowe yupo ndani toka July 2021 kesi ya ugaidi

Je maono ya Lema hayakuona haya au alimnong'oneza Mbowe kimya kimya..!??

Anachokifanya Lema ni kuombea vifo watu asiowapenda na sio utabiri

Ishu ya Sabaya ni system ndio imeamua kudili nae, na system hio hio ilioamua kutodili na Makonda, lakn pía ni system hii hii itakayomuachia huru Sabaya.
Ni swala la muda tu
 
Zungumza na ya mbowe dhidi ya chacha wangwe? Juzi juzi mbowe kafiwa na kaka yake kisha baba mdogo, je ni karma ya kumuudhi mungu?
Kifo cha sengodo Mvungi, Mwangosi nk enzi za awamu ya nne zilimfurahisha Huyo Mungu anayemsema?
Kifo ni lazima kwa kiumbe hai yoyote, acheni umbea na uoga.
 
UKWELI kila mtu Mungu anaweza zungumza naye akamwonyesha Mambo tofauti tofauti mtu YEYOTE .pia ktk dunia hakuna jipya...yote haya Ni marudio.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
MATAGA na Sukusu Gang nasikia mmesema 2025 mnaenda na Membe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…