Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?

Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?

Unashindwa kuelewa kuwa kile unachokifanya chochote kiwe kibaya au kizuri kina malipo yake, sasa mwizi malipo yake unayajua
 
May Be He's Relying on Probability Concept.
 
Hakuna utabiri wowote amewahi kuutoa huyo Lema.

Anachofanya ni KUWAOMBEA MABAYA tu WABAYA wake kwa kujifanya anawatahadhalisha.

Mfano Magu kafa kwa kudharau COVID-19 na siyo kwasababu eti kawadhibiti wapinzani.

Sabaya ni system imemtema nje baada ya aliyekuwa anamlinda kufa. Ila hata sasa anaweza kusamehewa na akarudi kawaida.

Ndugai kapishana tu na Rais na wala hakuna uadui huo mkubwa maana ataendelea kuwa spika mstaafu.
Huu ndio ukweli wenyewe
 
Vyeti feki apewe mafao ya nini kwanza alitakiwa apelekwe mahakama kwa makosa ya udanganyifu
Kwanini hakupelekwa Mahakamani sasa mwenye cheti feki?

Kwa taarifa yako kama ungempeleka mwenye cheti feki Mahakamani, mshtakiwa wa pili angekuwa afisa utumishi aliyempokea. Hizo ndiyo double standards ambazo Mungu hakuzitaka
 
Hakuna utabiri wowote amewahi kuutoa huyo Lema.

Anachofanya ni KUWAOMBEA MABAYA tu WABAYA wake kwa kujifanya anawatahadhalisha.

Mfano Magu kafa kwa kudharau COVID-19 na siyo kwasababu eti kawadhibiti wapinzani.

Sabaya ni system imemtema nje baada ya aliyekuwa anamlinda kufa. Ila hata sasa anaweza kusamehewa na akarudi kawaida.

Ndugai kapishana tu na Rais na wala hakuna uadui huo mkubwa maana ataendelea kuwa spika mstaafu.
Kwahiyo aliondoka kwa COVID 19?
 
Zungumza na ya mbowe dhidi ya chacha wangwe? Juzi juzi mbowe kafiwa na kaka yake kisha baba mdogo, je ni karma ya kumuudhi mungu?
Kifo cha sengodo Mvungi, Mwangosi nk enzi za awamu ya nne zilimfurahisha Huyo Mungu anayemsema?
Kifo ni lazima kwa kiumbe hai yoyote, acheni umbea na uoga.
Hayo ya akina Wangwe na Mwangosi unayajuwa wewe. Ila hii ya Magufuli ni HASIRA za Mungu
 
utabiri wa sabaya umetimia.alimwambia magu sio mungu iko siku haya unayofanya utakuja kulipia hatimaye ubaya, yametimia sasa analipia ubaya wote aliofanya,yaani hapo ni ubaya kwa ubaya bwashe
 
Matendo ya Magufuli yalikuwa ya HOVYO sana na yalikuwa hayamfurahishi Mungu. Kwa mfano anawatoa kazini wenye vyeti FEKI na kuwanyima mafao, huku unambakiza Makonda mwenye cheti feki kama Mkuu wa mkoa.

Unawabomolea nyumba bila kuwalipa watu wa Kimara, halafu nyumba za wasukuma wa Mwanza unasema zisibomolewe.

Watu wanatoa Kodi lakini wana mbunge wa UPINZANI Magufuli anasema hapekeki maendeleo.

Anawanyanga'anya matajiri fedha kwa kisingizio cha ufisadi kisha kuwatupa rumande.

Halafu Jumapili anakwenda Kanisani na kusema "niombeeni". Tukuombee nini shetani mkubwa Magufuli?

Kwa kweli tulimuombea afe. Na ndiyo maana hata Lema akayaona maombi yetu
We jamaa wewe umenifurahisha sana
 
Hata Mm natabiri. Watu wote humu hamtakuwepo 2150
 
Kuna mambo siyo ya kuyaletea mzaha hata kidogo, Wengi yamewakuta na wengine wametwaliwa moja kwa moja kutokana na kile kinachoitwa ndoto anazooteshwa Godbless Lema iwe kwa kutamka hadharani au kutoa meseji kupitia akaunti yake ya twitter

Mwanzoni nilifikiri Godbless Lema anaangalia afya za wahusika yaani physical appearance na kuwatabiria Kifo na majanga, Hii ya kumuangalia mtu jinsi alivyo, anayoongea hata mimi nikiwa na umri wa utoto kabla ya kuanza kujihusisha na dhambi nilikuwa na uwezo wa kujua huyu ana shida na hata Chukua raundi ataondoka moja kwa moja yaani Kwaheri ya kuonana na Nilitamka kwa ndugu na hata wazazi waliona kama ninatisha tisha hivi lakini niliwaambia nimeota ndoto tu kuwa fulani ataondoka soon na yalitokea hivyo

Naongea haya kwa kuwa kuna wakati alimtabiri kiongozi wetu kifo na kusema ameoteshwa, Lema alikamatwa na kufungwa kwa mashtaka ya uchochezi lakini alipotoka jela bado alisema ndoto yake inajirudia rudia kuwa lazima huyo afe kama hajabadilika tabia

Godbless Lema Yeye haogopi anamwambia muhusika moja kwa moja kuwa yatamkuta matatizo mazito na Wengine anawaambia utakufa moja kwa moja, Nikiwaangalia baadhi naona hata afya zao zina mashaka makubwa sana

Uchawi ni sayansi kama sayansi zingine onyefu, Kuna baadhi ya watu wana maruani na viumbe vya kutisha wanatembea navyo huku wao wenyewe hawajijui ambavyo vinawapa nguvu kuona mambo ya hatari na yasiyoweza kuonekana kwa macho haya ya kawaida, Hawa wanapata taarifa ya msiba wako na ugonjwa wako kabla hata wewe huna dalili wala hujui lakini wao hufahamu na wanakuonea huruma

Utabiri upo karne na karne, Hata kwenye maandiko tunaambiwa kuna watu walikuwa na uwezo wa kusoma nyota na maandishi ya ajabu ajabu yasiyokuwa na maana lakini wao walitumia kutoa onyo au kutoa mawazo yao nini kinakwenda kutokea mfano wale Mama Jusi wa mashariki walipoona nyota tu wakahisi kuna kitu tofauti kabisa

Je anachofanya Godbless Lema ni uchawi au utabiri?

Kama ni utabiri kwanini utabiri wake unawakumba wale tu anaowatamkia uovu Wanaofanya na wala atabiri mambo ya Furaha kama mvua kunyesha vizuri na mengine mazuri

Kama ni sayansi ya uchawi kwanini tusimuombee aondokane na hayo maruani ya kutabiri vifo na mambo mabaya

Nimeanza kutishwa baada ya kuona Godbless Lema bado anawang'ang'ania watu fulani na mtu fulani kuwa ataondoka soon, Sasa ndoto hizi zinatufanya wana ccm kuanza kumuogopa maana akikutabiria unaweza ukapata presha kabla ya ndoto kutumia na watu wakatumia ndoto ya Lema kumbe tatizo ni Presha
Warusuni tu watawale nchi, CCM ipumzike japo kwa miaka 5 hayo yote hamtayasikia!
 
Kama lema anaombea mabaya na yanatokea kwanini wewe usiombeee mema kama kuombea rahisi. Angatabiri mzungu ungesikia wazungu balaa, wenye maono bado wapo.
 
Bado Job Ndungai hali tete huko hakojoi ni kujamba maji tu.
 
Kuna mambo siyo ya kuyaletea mzaha hata kidogo, Wengi yamewakuta na wengine wametwaliwa moja kwa moja kutokana na kile kinachoitwa ndoto anazooteshwa Godbless Lema iwe kwa kutamka hadharani au kutoa meseji kupitia akaunti yake ya twitter

Mwanzoni nilifikiri Godbless Lema anaangalia afya za wahusika yaani physical appearance na kuwatabiria Kifo na majanga, Hii ya kumuangalia mtu jinsi alivyo, anayoongea hata mimi nikiwa na umri wa utoto kabla ya kuanza kujihusisha na dhambi nilikuwa na uwezo wa kujua huyu ana shida na hata Chukua raundi ataondoka moja kwa moja yaani Kwaheri ya kuonana na Nilitamka kwa ndugu na hata wazazi waliona kama ninatisha tisha hivi lakini niliwaambia nimeota ndoto tu kuwa fulani ataondoka soon na yalitokea hivyo

Naongea haya kwa kuwa kuna wakati alimtabiri kiongozi wetu kifo na kusema ameoteshwa, Lema alikamatwa na kufungwa kwa mashtaka ya uchochezi lakini alipotoka jela bado alisema ndoto yake inajirudia rudia kuwa lazima huyo afe kama hajabadilika tabia

Godbless Lema Yeye haogopi anamwambia muhusika moja kwa moja kuwa yatamkuta matatizo mazito na Wengine anawaambia utakufa moja kwa moja, Nikiwaangalia baadhi naona hata afya zao zina mashaka makubwa sana

Uchawi ni sayansi kama sayansi zingine onyefu, Kuna baadhi ya watu wana maruani na viumbe vya kutisha wanatembea navyo huku wao wenyewe hawajijui ambavyo vinawapa nguvu kuona mambo ya hatari na yasiyoweza kuonekana kwa macho haya ya kawaida, Hawa wanapata taarifa ya msiba wako na ugonjwa wako kabla hata wewe huna dalili wala hujui lakini wao hufahamu na wanakuonea huruma

Utabiri upo karne na karne, Hata kwenye maandiko tunaambiwa kuna watu walikuwa na uwezo wa kusoma nyota na maandishi ya ajabu ajabu yasiyokuwa na maana lakini wao walitumia kutoa onyo au kutoa mawazo yao nini kinakwenda kutokea mfano wale Mama Jusi wa mashariki walipoona nyota tu wakahisi kuna kitu tofauti kabisa

Je anachofanya Godbless Lema ni uchawi au utabiri?

Kama ni utabiri kwanini utabiri wake unawakumba wale tu anaowatamkia uovu Wanaofanya na wala atabiri mambo ya Furaha kama mvua kunyesha vizuri na mengine mazuri

Kama ni sayansi ya uchawi kwanini tusimuombee aondokane na hayo maruani ya kutabiri vifo na mambo mabaya

Nimeanza kutishwa baada ya kuona Godbless Lema bado anawang'ang'ania watu fulani na mtu fulani kuwa ataondoka soon, Sasa ndoto hizi zinatufanya wana ccm kuanza kumuogopa maana akikutabiria unaweza ukapata presha kabla ya ndoto kutumia na watu wakatumia ndoto ya Lema kumbe tatizo ni Presha
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom