abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Haya
Mungu Ampe nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu Ampe nguvu
Mwanga huo ubuyuJust check Instagram ya mange kuna clip inatembea waweza ona unayemtafuta
Hakuna watu wanapitia wakati mgumu ktk nchi hii kama Ndugai, Bashiru, Makonda na Polepole.
Pole sana, kama wampenda sana nenda ukalie pamoja nae. Lakini tabia mbovu ya Ndugai na aliyokuwa anajivunia sio swala la majungu.Acha kukariri mambo ya kiswahili. Mnawaza majungu 24/7.
Sabaya na Makonda?Hakuna watu wanapitia wakati mgumu ktk nchi hii kama Ndugai, Bashiru, Makonda na Polepole.
Wachagga Yuko wengi na tumeboronga sana tuSisi wachagga
Acha zako weweWachagga Yuko wengi na tumeboronga sana tu
Mashirika mengi tumeyaua
Msaliti mkuu wa Nyerere bwana kambona alikua mchaggaAcha zako wewe
Ona sasa, Kambona is a true patrotic of this nationMsaliti mkuu wa Nyerere bwana kambona alikua mchagga
Yuko mbali hawezi kuwahi msibani.... AtawakilishwaNdg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.
Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.
Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?
Acha tuone.
In your dreamsOna sasa, Kambona is a true patrotic of this nation
Yaani huyo mwenye 'li-wowo' hata sumu namkorogea!Hakuna watu wanapitia wakati mgumu ktk nchi hii kama Ndugai, Bashiru, Makonda na Polepole.
Aliona nini?Lowassa alikuwa mgogo? Aliiba na akajiuzulu