Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Je unaambatane naye sehemu zote apitazo; au je unajua wote waliofika msibani hapo? Je ni lazima kila mtu aende?Najiuliza kwanini Job Ndugai ajaenda Msibani?Msiba upo Dodoma, ameshindwa kushiriki na wanafamilia hii? Au nafsi inamsuta alivyoshangilia kutumbuliwa Kwa Mwele?