Je, Ndugai ataenda Msibani kwa Malecela?

Je, Ndugai ataenda Msibani kwa Malecela?

Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.

Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.

Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?

Acha tuone.
Kwani bado yupo hai??
 
Ukimuona au ukisikia kaenda naomba uniTAG
Nadhani ataenda kwa sababu yeye na malecela wamekuwa viongozi wa juu katika taifa letu na ni watu wanaofahamiana na si lazima wawe marafiki, hili la kwenda sababu wote wanatoka mkoa wa Dodoma hapa unaongelea ukabila Sasa. Na kama sababu ni ukabila Basi mwenyeji yeyote wa Dodoma ambaye hataenda mtaje ajadiliwe humu.
 
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.

Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.

Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?

Acha tuone.
Msiba haususiwi ataenda ila hatakaa vile viti vya mbele huyu tutakuwa nae huku nje nje kulinda magari ya wahudhuriaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HV nchi hi kumbe upumbafu ulianza zamani ..unaambiwa malecela amewahi kuwa waziri mkuu na makamu rais pia baadae Tena alivyo kosa vyeo vya juu akawa mgombea wa ubunge ktk jimbo la mtera na ndipo akaja kushindwa ktk kura za maoni na kibajaji

Sasa mshangao wangu kwamba iliwezekanaje makamu rais na wazir mkuu mstahafu aje kupamban jimboni kweli ? Mpk mwisho mwa 2010 ndio mzee alingatuka ngongole San kwa mzee msuya .warioba kina barnab samata kutokuangaika Tena na siasa baada ya kumaliza muda wenu
Si ajabu wazir mkuu kuendelea kuwa mbuge 2025
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]likuwaje uoe bila kujua mkuu lakin Dom kuna makabila 5 mkuu labda uliye is ni wa Dom lakini si wa Dom kati labda wa Dom kaskazini au kusini
Ameoa mrangii hao Ni vichomii
 
[emoji871]Ndugu tulia basi hata uandike vizuri!

[emoji871]Kama hata kupanga maandishi huwezi,akili si ndio huwezi kabisa kuitumia!

[emoji871]Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa visasi vya siasa.

[emoji871]Tatizo Chadema kwenu siasa ni biashara.

[emoji871]Mtu akikaa kijiweni kwenye siasa inakuwa kama amefungiwa duka na TRA.

[emoji871]Hakuna sheria nzuri Duniani maana zote zinaishia kutoa adhabu.
[emoji871]
Achaneni na Mbunge milionea wa Kongwa kwa sasa.
Muacheni ale hela yake kwa amani.
Unaakili gani wewe zaidi yakuremba maelezo?? Unawekaweka maemoji yakiduanzi!!!
Huyo naniiyako nimbunge na analipwa mshahara...
kama amekwambia hataki kuulizwa mwambie ajiuzulu ubunge mkapumzike vyema!!!
Anashikilia jimbo huku haendi kazini wakati enzizake alituhumu sana watu kwa utoro nawengine akafukuza!!
Usitetee upuuzi shabiki andazi mwambie aende kazini angepumzika baada ya vikao!!!
Tamaa mbele.....kaponzeka!!!
 
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.

Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.

Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?

Acha tuone.
Makonda kaenda kwa nin asiende
 
Malechela hakuboronga.

Nyerere tu hakutaka kupotezewa legacy yake kwa gharama za Watanganyika na Wazanzibari.

Alikuwa anasimamia urejeshwaji wa Serikali ya Tanganyika ili kubalance Muungano.
Jifunze pia kuandika vizuri jina la huyo Mzee! Siyo Malechela× ni Malecela√ ! Vitoto vya 2000 vinadhani wanaoandika Malecela wanakosea!
 
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.

Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.

Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?

Acha tuone.
Kwamba atoke urusi aje mvumi kwenye MSIBA!! basi sawa.
 
Back
Top Bottom