Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Kuwa Mchagga ni dhambi?Sasa dhambi iko wapi? Kwani ndugai ni mwanafamilia wa malecela? Huyo lissu wenu mmesema amekuwa mwanafamilia wa mbowe, maana tundu alikuwa hakubaliki chadema Hadi apewe uchaga?
Hivi hamuwezi kajadili jambo bila kutaja Wachagga?