Je, Ndugai ataenda Msibani kwa Malecela?

Je, Ndugai ataenda Msibani kwa Malecela?

Malechela hakuboronga.

Nyerere tu hakutaka kupotezewa legacy yake kwa gharama za Watanganyika na Wazanzibari.

Alikuwa anasimamia urejeshwaji wa Serikali ya Tanganyika ili kubalance Muungano.
Malecela aliwahi kubadili dini ili apate fedha za udhamini Kutoka Uarabuni ili awanie Urais, ndio kuboronga kwenyewe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hata asipokuja shauri yake yeye mwenyewe Ndugai familia yake inampigia mahesabu ya NUSU BIRIANI NUSU KUKU saa yeyote kuanzia siku anajiuzuru wanasubiri kutundika maturubai kongwa
 
Uwezo wako wa kufikiria na akili yako havijai kijiko cha chai.
(i). To be specific Ndugai kaboronga wapi?
(ii). Mkoa gani ambao viongozi wake wametenda kwa kiwango cha uungu?
Ndugai kaboronga wapi? Wewe unaishi nchi gani? Hivi unawezaje kama kiongozi wa mhimili unaoisimamia serikali ulaumu serikali ya kukopa kopa tu wakati huo wewe unasimamia upitishajo wa mikopo hiyo?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.

Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.

Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?

Acha tuone.
Kwani bado kazirai
 
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.

Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.

Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?

Acha tuone.
Kama ni mzima atakwenda.
 
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.

Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.

Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?

Acha tuone.

Kwani shida iko wapi?
 
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.

Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.

Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?

Acha tuone.
mimi nilimwona P. Makonda , nikajiuliza Kubenea hajamuona
hivi kama hakuomba ruhusa si bunge litumie kile kifungu walichotumia kumwondoa Lisu na J nasari.
 
[emoji871]Kwa hiyo wewe kitu ulichoona cha muhimu kwako leo asubuhi... asubuhi ni kufuatilia maisha binafsi ya Ndugai?

[emoji871]Kwa nini usingeutumia muda wako kuwahi kanisani au msikitini kufanya toba?

[emoji871]Wewe binafsi kuna chochote unachomdai Ndugai?

[emoji871]Watu kama wewe ndio wamejazana huko chadema mmekaa na Roho mbaya mpaka mnakosa usingizi.

[emoji871]Je wewe binafsi ungepitia aliyopitia Ndugai.
Ungeacha kujipa mapumziko?

[emoji871]Mumemuandama sana Ndugai na amewaachia Uspika wenu, sasa mnawashwa washwa nini na kutokuonekana kwake?

[emoji871]Mnatuchosha kwa ujinga wenu.

[emoji871]Pambaneni na hali zenu mhudumie jamii zenu.mambo ya fulani kala nini,kanya choo gani ni umbea umbea usio na tija.

[emoji871]Akheri hiyo hela ya bundle ungeitumia kununua mkate wa wanao ili wanywee chai asubuhi.
Kuliko kumfuatilia mbunge na milionea wa Kongwa.
Utakuwa umepigwa na kitu kizito Agwee.
Sio Kwa povu Hilo bila Shaka utakuwa wa Mkoka au Mbandee
 
[emoji871]Ndugu tulia basi hata uandike vizuri!

[emoji871]Kama hata kupanga maandishi huwezi,akili si ndio huwezi kabisa kuitumia!

[emoji871]Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa visasi vya siasa.

[emoji871]Tatizo Chadema kwenu siasa ni biashara.

[emoji871]Mtu akikaa kijiweni kwenye siasa inakuwa kama amefungiwa duka na TRA.

[emoji871]Hakuna sheria nzuri Duniani maana zote zinaishia kutoa adhabu.
[emoji871]
Achaneni na Mbunge milionea wa Kongwa kwa sasa.
Muacheni ale hela yake kwa amani.
Agwe tulia basi mbona unawashwa
 
Malecela aliwahi kuboronga Nini na wapi?
Ile statement yake 'they can go to hell'.....

Halafu gazeti la Daily News wakaitoa front page.

Lakini hakuna kabila ambalo hakuna kiongozi hata mmoja ambaye hajawahi kufanya kosa.
 
Back
Top Bottom