Je, Ndugai ataenda Msibani kwa Malecela?

Je, Ndugai ataenda Msibani kwa Malecela?

Hakuna watu wanapitia wakati mgumu ktk nchi hii kama Ndugai, Bashiru, Makonda na Polepole.
Ni mambo ya kawaida kwenye siasa, hata awamu ya tano kuna watu walipitia maisha magumu kuliko wao sasa hivi.

Imagine unanyimwa fursa ambayo ingelinufaisha taifa halafu akaunti zako zinafungwa wanataka uishije??

Siasa zinamikikimikiki yake mkuu.

Kuna mzee mmoja amewahi kuniambia "Usije kumuonea huruma mwanasiasa."
 
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.

Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.

Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?

Acha tuone.
[emoji871]Kwa hiyo wewe kitu ulichoona cha muhimu kwako leo asubuhi... asubuhi ni kufuatilia maisha binafsi ya Ndugai?

[emoji871]Kwa nini usingeutumia muda wako kuwahi kanisani au msikitini kufanya toba?

[emoji871]Wewe binafsi kuna chochote unachomdai Ndugai?

[emoji871]Watu kama wewe ndio wamejazana huko chadema mmekaa na Roho mbaya mpaka mnakosa usingizi.

[emoji871]Je wewe binafsi ungepitia aliyopitia Ndugai.
Ungeacha kujipa mapumziko?

[emoji871]Mumemuandama sana Ndugai na amewaachia Uspika wenu, sasa mnawashwa washwa nini na kutokuonekana kwake?

[emoji871]Mnatuchosha kwa ujinga wenu.

[emoji871]Pambaneni na hali zenu mhudumie jamii zenu.mambo ya fulani kala nini,kanya choo gani ni umbea umbea usio na tija.

[emoji871]Akheri hiyo hela ya bundle ungeitumia kununua mkate wa wanao ili wanywee chai asubuhi.
Kuliko kumfuatilia mbunge na milionea wa Kongwa.
 
[emoji871]Kwa hiyo wewe kitu ulichoona cha muhimu kwako leo asubuhi... asubuhi ni kufuatilia maisha binafsi ya Ndugai?

[emoji871]Kwa nini usingeutumia muda wako kuwahi kanisani au msikitini kufanya toba?

[emoji871]Wewe binafsi kuna chochote unachomdai Ndugai?

[emoji871]Watu kama wewe ndio wamejazana huko chadema mmekaa na Roho mbaya mpaka mnakosa usingizi.

[emoji871]Je wewe binafsi ungepitia aliyopitia Ndugai.
Ungeacha kujipa mapumziko?

[emoji871]Mumemuandama sana Ndugai na amewaachia Uspika wenu, sasa mnawashwa washwa nini na kutokuonekana kwake?

[emoji871]Mnatuchosha kwa ujinga wenu.

[emoji871]Pambaneni na hali zenu mhudumie jamii zenu.mambo ya fulani kala nini,kanya choo gani ni umbea umbea usio na tija.

[emoji871]Akheri hiyo hela ya bundle ungeitumia kununua mkate wa wanao ili wanywee chai asubuhi.
Kuliko kumfuatilia mbunge na milionea wa Kongwa.
Ulipoihusisha chadema ndoulipoonesha nawewe nimnaa kinaa tuu...
Ccm kibao hawampendi nduguyai...
alafu anapumzika nini?
Kwasheria zaujinga alizopitisha kibabe?
Au kuandama watu kuwafukuza kazi na kutisha watu!!
Kwakazigani yamaana kwa taifa aliyofanya mpaka akapumzike? alopitia hayamtoshi yeye alipitisha watu kwenyemagumu zaidi!!! Tunamtakia shida na njaa huko aliko
 
Chukia mtu kwa tabia zake si kwa sifa za watu wa mkoani kwao. Kwanini huwakubali watu wa Dom?
Tatizo ni kwamba kuna reference; Job Lusinde, Juma Nkamia, Ndugai na wengineo. Matamshi yao yalijaa ukakasi.
 
Unamsahau vipi Mbowe? Lissu je? Sabaya?

Ukija huku chini kuna watu hata kula yao si ya uhakika, kuna watu wanaumwa ila hawawezi mudu gharama za matibabu hivyo mtu anasubiri miujiza....

Kuna graduates mwaka wa tano huu hawana ajira na mishe mtaani hazisomi....

Ndugu, Bashiru na Polepole washakubaliana na hali, na ubunge sio cheo kidogo.
Hakuna watu wanapitia wakati mgumu ktk nchi hii kama Ndugai, Bashiru, Makonda na Polepole.
 
Nadhani ataenda kwa sababu yeye na malecela wamekuwa viongozi wa juu katika taifa letu na ni watu wanaofahamiana na si lazima wawe marafiki, hili la kwenda sababu wote wanatoka mkoa wa Dodoma hapa unaongelea ukabila Sasa. Na kama sababu ni ukabila Basi mwenyeji yeyote wa Dodoma ambaye hataenda mtaje ajadiliwe humu.
Mkuu nijadilini mimi siendi kwasababu ya ubovu ulio kithiri wa barabara
 
[emoji871]Kwa hiyo wewe kitu ulichoona cha muhimu kwako leo asubuhi... asubuhi ni kufuatilia maisha binafsi ya Ndugai?

[emoji871]Kwa nini usingeutumia muda wako kuwahi kanisani au msikitini kufanya toba?

[emoji871]Wewe binafsi kuna chochote unachomdai Ndugai?

[emoji871]Watu kama wewe ndio wamejazana huko chadema mmekaa na Roho mbaya mpaka mnakosa usingizi.

[emoji871]Je wewe binafsi ungepitia aliyopitia Ndugai.
Ungeacha kujipa mapumziko?

[emoji871]Mumemuandama sana Ndugai na amewaachia Uspika wenu, sasa mnawashwa washwa nini na kutokuonekana kwake?

[emoji871]Mnatuchosha kwa ujinga wenu.

[emoji871]Pambaneni na hali zenu mhudumie jamii zenu.mambo ya fulani kala nini,kanya choo gani ni umbea umbea usio na tija.

[emoji871]Akheri hiyo hela ya bundle ungeitumia kununua mkate wa wanao ili wanywee chai asubuhi.
Kuliko kumfuatilia mbunge na milionea wa Kongwa.
Hilo neno la "kuwashwa washwa" umelitohowa kwa nani?
 
Unamsahau vipi Mbowe? Lissu je? Sabaya?

Ukija huku chini kuna watu hata kula yao si ya uhakika, kuna watu wanaumwa ila hawawezi mudu gharama za matibabu hivyo mtu anasubiri miujiza....

Kuna graduates mwaka wa tano huu hawana ajira na mishe mtaani hazisomi....

Ndugu, Bashiru na Polepole washakubaliana na hali, na ubunge sio cheo kidogo.
Sasa Mbowe na Lissu wana nini cha kupoteza.!??

Hivi unajua polepole angekuwa Waziri now.
 
Kama kuna kabila huwa silikubali ni watu wa dom, na bshati mbaya sana nimeoa dom bila kujua
🤣🤣🤣likuwaje uoe bila kujua mkuu lakin Dom kuna makabila 5 mkuu labda uliye is ni wa Dom lakini si wa Dom kati labda wa Dom kaskazini au kusini
 
Ulipoihusisha chadema ndoulipoonesha nawewe nimnaa kinaa tuu...
Ccm kibao hawampendi nduguyai...
alafu anapumzika nini?
Kwasheria zaujinga alizopitisha kibabe?
Au kuandama watu kuwafukuza kazi na kutisha watu!!
Kwakazigani yamaana kwa taifa aliyofanya mpaka akapumzike? alopitia hayamtoshi yeye alipitisha watu kwenyemagumu zaidi!!! Tunamtakia shida na njaa huko aliko
[emoji871]Ndugu tulia basi hata uandike vizuri!

[emoji871]Kama hata kupanga maandishi huwezi,akili si ndio huwezi kabisa kuitumia!

[emoji871]Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa visasi vya siasa.

[emoji871]Tatizo Chadema kwenu siasa ni biashara.

[emoji871]Mtu akikaa kijiweni kwenye siasa inakuwa kama amefungiwa duka na TRA.

[emoji871]Hakuna sheria nzuri Duniani maana zote zinaishia kutoa adhabu.
[emoji871]
Achaneni na Mbunge milionea wa Kongwa kwa sasa.
Muacheni ale hela yake kwa amani.
 
Hivi kwa nini watu wa Dodoma wakipewa nafasi kubwa za uongozi huwa wanaboronga? Rejea ya Malechela na Ndugai.
Uwezo wako wa kufikiria na akili yako havijai kijiko cha chai.
(i). To be specific Ndugai kaboronga wapi?
(ii). Mkoa gani ambao viongozi wake wametenda kwa kiwango cha uungu?
 
Back
Top Bottom