Je, ni adhabu gani uliyoifanya shuleni ambayo hutoisahau?

Hahahahah [emoji1787],hawaja kupeleka kule kwenye kuibeba dunia au chumba Cha kiza!?
 
Nakumbuka siku wanatangaza viongozi Assembly na Mimi nilikuwa kwa list ila Mimi nilikuwa hostel na rafiki yangu mmoja tumepewa adhabu ya kuchimba shimo la urefu wetu na matron kisa tumechelewa kutoka bwenini asubuhi
 
Kuchimbua kichuguu na kumtoa malaika; kosa ni kuongea kiswahili
 
 
Nakumbuka siku wanatangaza viongozi Assembly na Mimi nilikuwa kwa list ila Mimi nilikuwa hostel na rafiki yangu mmoja tumepewa adhabu ya kuchimba shimo la urefu wetu na matron kisa tumechelewa kutoka bwenini asubuhi

Ulikuwa sister Duu sio?
 
Dah! Kipigo kama hicho nilikipataga nikiwa Form One Kantalamba sema mimi ilikua Smart Area,nilichezea bakora zisizo na idadi kutoka kwa Headmaster huku mabroo wa advance wakiwa wamenishikilia chini kama wanachinja Ng'ombe mpaka fimbo ikachakaaa


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mpaka unakuwa maarufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…