Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Hiyo ni uongo, uongooo 😂Kupiga push-up. Eti walidhani wananikomoa kwa kunipa adhabu ya push up 20. Nilivyomshez nikawapigia buku. Nikataka kuendelea wakaingilia kati kunizuia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni uongo, uongooo 😂Kupiga push-up. Eti walidhani wananikomoa kwa kunipa adhabu ya push up 20. Nilivyomshez nikawapigia buku. Nikataka kuendelea wakaingilia kati kunizuia
Ha ha ha hapana
Chai Tena imepoa!...Mie nilikuwa mtoro sugu.... nilikuwa siendi shule hata mwezi mzima lakini walimu na wanafunzi wenzangu wananiona Kariakoo kwenye mishe zangu. Na bado baadhi ya walimu nilikuwa nawakopesha pesa sasa wakakosa la kunifanya.
Sasa kuna siku nimeenda zangu shule baada ya utoro wa karibia miezi miwili, nimefika class kama kawaida mara anaingia mwalimu mpya wa Physics(Mpya sababu sikuwahi kumuona).
Anadai aliacha notes na anakagua ambao hawajaandika. Kufika kwangu anaona sura ngeni. Ikabidi aniulize wewe umehamia hapa?
Darasa zima likaangua kicheko.[emoji23][emoji23][emoji23] ikabidi awaulize mbona mnacheka, wakamjibu huyo sio mgeni. Yule ticha kwa unoko akaenda kuchukua attendance ili atizame mahudhurio yangu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Bwana wee si akaona nina muda mrefu sijafika shule. Akasema nimfate mpaka ofisini, na bahat nzuri nikamkuta yeye na mwalimu mwingne mgeni wakawa wananiuliza maswali ya kejeli. Na mie nikawa nawajibu kwa dharau.
Si waka-panick wakaamua wafunge mlango kwa ndani ili wanipige. [emoji23][emoji23][emoji23]
Asee niliwagezia kibano niliwabonda hadi wakaanza kupiga kelele za kuomba msaada.
Yani hadi kuja kufunguliwa na ufunguo wa akiba huko nje walimkuta mmoja ameshavimba manundu na mwingne yupo chini ana bleed puani. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila daaah... baadae yake ilipigwa kengele ya emergency na kupelekewa assemble then kupigwa fimbo 6 na kupewa suspension ya mwezi mzima. Na mzazi wangu akaitwa.
Mtaniwia radhi kwa uandishi wangu mbaya.
Anhaaa kaka kuna adhabu mbona , nishapewa suspension karibia na UE pia nishafukuzwa chuo huku nakabiziwa kwa maafande ila Mungu mwema kote nilipita swafi baada ya Mungu kuwatuma malaika zake.[emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi vyuoni kunaadhabu zaidi ya kufukuzwa Chuo?