Je, ni adhabu gani uliyoifanya shuleni ambayo hutoisahau?

Chai Tena imepoa!...
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi vyuoni kunaadhabu zaidi ya kufukuzwa Chuo?
Anhaaa kaka kuna adhabu mbona , nishapewa suspension karibia na UE pia nishafukuzwa chuo huku nakabiziwa kwa maafande ila Mungu mwema kote nilipita swafi baada ya Mungu kuwatuma malaika zake.
 
Niliwahi mzingua madam flani,, nikapigwa sunspaah after two weeks nikatakiwa nirudi na mzazi,,, Bi mkubwa nikapanda nae assemble akaomba msamaha kwa niaba yangu ,,

Hii iliniadhibu psychologically maana aliongea kwa uchungu machozi yakimlenga lenga,,, nkaacha mafujo japo fimbo na adhabu nyingine hazikusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…