Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Real Estates ni kupiga Apartments na maofisi. Sio kujenga kanyumba kamoja kisha unasubiria kodi zije. Halafu nadhani kuna namna ya management ya Real estates.
Donald Trump ni Mogul wa hizo biashara toka enzi. Labda tumuulize
Hahahaha,Sasa mbongo akipata milioni 5 tu hashikiki na baa zote zitamjua Kama ana hela na akili zinavurugika hasikii la muhadhini wala mnadisha swala.Ni kweli kwa hilo wahindi wanapatia sana
Nilifanya kazi benki kati ya mwaka 2013 mpaka 2015 na nilikua na process applications za products fulani ambazo zililazimu kuona salary slips na savings za watu. Nilishangaa kuona wahindi wengi wana hela benki kati ya million 50 mpaka 100 na zaidi lakini kwenye makazi wameandia STAYING WITH PARENTS
Issue we mtanzania wa kawaida hicho kipato unatoa wapiReal Estates ni kupiga Apartments na maofisi. Sio kujenga kanyumba kamoja kisha unasubiria kodi zije. Halafu nadhani kuna namna ya management ya Real estates.
Donald Trump ni Mogul wa hizo biashara toka enzi. Labda tumuulize
Miaka hii kuna nyumba zilijengwa kwa mil. 70 lkn leo hii zinauzwa kwa mil 50 na hazipati wateja.
🤣🤣🤣🤣🤣 wahindi wana hela sana aisee.Hahahaha,Sasa mbongo akipata milioni 5 tu hashikiki na baa zote zitamjua Kama ana hela na akili zinavurugika hasikii la muhadhini wala mnadisha swala.
Ndio shida yani🤩,,,nyumba ya kuishi tu ni baada ya wanao kula dagaa sana.Issue we mtanzania wa kawaida hicho kipato unatoa wapi
Labda uwe mfanya biashara
Mkuu kuna kitu haujui kwenye real estate business.., nayo ni Other Peoples Money.., pia kitu kinaitwa Property Ladder..
Moja hakuna mtu wala sio busara kujenga nyumba kwa cash au pesa yako.. (it takes long kwa return on investment)
Hivyo basi katika hii real estate.., mtu anakopa benki anajenga nyumba hata ikichukua miaka 20 kurudisha ile pesa, hajengi moja..., hio aliyoshajenga anaiombea mkopo benki anajenga nyingine na nyingine na nyingine hii miaka 20 inakuwa sio ya kupata pesa ya kula bali wapangaji ndio wanaomnunulia hizo nyumba.., after the end of 20 years anakuwa amejenga nyumba bila kutumia senti yake hata moja.. (thus other peoples money)... na property ladder unaanza na nyumba moja unakopa unajenga ya pili, tatu, nne n.k.
Cha maana ni Location, Location, Location na sio muda wa kumaliza hio investment.., Walijisemea wachina wote tungetaka kupata kivuli cha miti tunayopanda hakuna mtu angepanda mti..., 20 years in nothing if someone else is paying..
nakuacha na msemo mwingine "As Safe as a House..."
600,000 × 12 = 7.2m kwa mwaka.
150m ÷ 7.2m = 29 years ili pesa yako irudi. Hapo hijaweka hata senti tano ya services and replacements na usumbufu wa wale wapangaji jeuri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Laki si pesa kashasema. Sisi watu weusi hatukosagi sababu aiseeeee.wahindi hela zao za majini, usiwaige
Kama tayari kuna 72M, hata ikiuzwa 180M sioni ubaya. .
Ulaya mtu anakopa nyumba au apartment. Anakuwa analipa riba kwa miaka. Deni lake linabaki like lile. Value ikipanda, anauza na kulipa ile principal na faida juu.
Ile riba inakuwa kama kodi ya nyumba tu.
Unaweza kukuta jamaa ana PhD ya Kiswahili toka Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI)Umekaa ki-academic zaidi.....
Pls try to touch the base/reality
Umemaliza nilichotaka kusema. Kama una malengo maalum mfano kulipia watoto ada huku ukilinda hiyo pesa ni vyema ukawekeza kwenye nyumba. Mfano hapa Tabata kuna mzee ambaye namfahamu alinunua kiwanja miaka kama 17 imepita kwa 10m ni kiwanja kikubwa kwa hapa mjini akajenga nyumba 2 za kupangisha vyumba 2 na sebule self na bado eneo likabaki kubwa. Mwaka jana eneo lililobaki kama 500sqm aliliuza kwa 22m, na kila mwezi anachukua laki 5 kutoka kwenye hizo nyumba.Uwekezaji kwenye real estate, shares au Treasury bill una faida mbili (1) Ni return on investment (2) Appreciation in value of investment. Nyumba kama nyumba utaona hiyo kodi ya TZS 600,000 ni ndogo sana lakini ukiuza hiyo nyumba utapata zaidi mfano hiyo nyumba ya TZS 150,000,000 unaweza ukauza TZS 300,000,000.
Kwa wale tunaowekeza kwa ajili ya elimu ya watoto wetu; bado kuwekeza kwenye nyumba ni bora zaidi kuliko "Fixed deposit" kwani wakati nyumba ikiongezeka thamani kuendana na wakati, Principal amount kwenye Fixed Deposit haiongezeki thamani kinyume chake inapungua thamani (inflation).
Ushauri wangu wekeza kwenye nyumba pesa ambayo huna matumizi nayo yaani mtaji uliozidiki kwenye biashara yako na usiwekeze kwa matazamio ya kuvuna faida
Nyumba ya Laki 6 leo baada ya miaka 5 itakuwa laki 4 kama sio 3[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maisha yanaenda kasi sana Hizi hesabu za kwenye makaratasi achana nazo kabisaa... Watu hawajifunzi kwa Jiwe tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hesabu za Present value na future value lazma zihusike. ROI, ROCE na wenzake
Nyumba ya kupanga ni biashara kichaa bora ujenge lodge ukiwa na location nzuri unaweza kubreak even mapema kiasi.
Ushasema ulayaUlaya wengi wanakufa bila nyumba! Wanaanga moaka mwisho wa maisha yao. Kuwa pesa ya kutosha kwenye akaunti inawatosha... Mambo ya nyumba kufa ama kupona ni yetu Waafrika.
Hahahaha,hawa ndio wale wanajiitaga wazalendo hata watoto wao wakiomba hela ya nauli ya kwenda shule anawaambia watembee kwa miguu.Unaweza kukuta jamaa ana PhD ya Kiswahili toka Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI)