Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Nyumba ya kuishi muhimu mana usijekuwa mpangaji milele...

Ila kwa ajili ya kujiongezea kipato ni bora kwa sasa kudeal na huduma zinazohitajika na kuingiza pesa walau kila siku mfano chakula na usafiri
 
Nitarudi kuchukua madini

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba sio biashara inayolipa sasa hivi. Hats ukijenga guest hamna wageni wa kulala. Unaweza kupata wageni 2 au 3 na gharma ya uendeshaji haipungui iko fixed. Guest nyingi zimefungwa au zinaendeshwa kwa hasara tupu. Japan wamefika mahali Serikali inawapa wananchi nyumba za bure .vizazi vimekuwa vikijenga tangu karne kadhaa sasa imefika mahali idadi ya nyumba imezidi watu. Ndio maana hata utajiri wa Trump hauongezeki kwa sababu biashara ya majengo aliachiwa na baba yake tena nyumba zake ni prime area kama k/koo au msasani lakini bado anasttuggle vijana zuckerburg wanatoboa kwa sababu ya nature ya biasjata inayoenda na kizazi husika.
 
Wahindi hawaangaiki Kujenga mapagala Mapinga na Mbweni. Wanajibana nyumba za NHC/Msajili huku akaunti zimetuna. Mbongo anajenga squatter Buza kutwa kulalamika maisha magumu, anapeleka mtoto shule za kayumba mwishowe mtoto anakuja kuwa Mpiga debe, dereva wa daladala, kibarua viwanda vya wajindi au saidia Fundi
 
Wahindi hawaangaiki Kujenga mapagala Mapinga na Mbweni. Wanajibana nyumba za NHC/Msajili huku akaunti zimetuna. Mbongo anajenga squatter Buza kutwa kulalamika maisha magumu, anapeleka mtoto shule za kayumba mwishowe mtoto anakuja kuwa Mpiga debe, dereva wa daladala, kibarua viwanda vya wajindi au saidia Fundi
hahahahaha umewaponda wabongo sana
 
Nyumba ni biashara ya kustaafu ili kupata uhakika wa hela ya kula na si kupata profit.
 
Hapan Arusha dar na ddoma na mwanza nyumba sinalipa haswa
 
Nyumba ya kuishi muhimu mana usijekuwa mpangaji milele...

Ila kwa ajili ya kujiongezea kipato ni bora kwa sasa kudeal na huduma zinazohitajika na kuingiza pesa walau kila siku mfano chakula na usafiri
ukiwa mpangaji milele kuna shida gani?
 
Ndachuwa,
Only real estate and Government Bonds can do the rest is un sertain. Shares can depressiet from the primary or secondary value.

With stocks you must know when to HOLD and when to FOLD!!! It is not like bank saving accounts!!!!
 
Back
Top Bottom