Wanawake wengi hupenda kuchomwa sindano za matakoni au kuzalishwa na wanaumeKwani ni halali daktari wa kike kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kiume???
Kasomee udaktari uchome sindano mkeo wewe mwenyewe sio kesiHiyo ni dharura, kwa maana ikiwa hakuna namna zaidi ya hiyo na ikiachwa patapatikana madhara makubwa lazima jambo hilo lifanyike hata kama halipo sawa tofauti na mtu kujiamulia tu.
Sio kuchomwa Tu, wakiwa wajawazito wanapimwa ultrasound, huko wanatiwa mpaka madole kwenye uke, yaani mwanamke anapoenda clinic ya uzazi akiwa mjamzito huwa huko wanapimwa mengi. Alafu wanawake wanawapenda wanaume wawahudumie kuliko mwanamke mwezakeWasalaam JF,
Hivi kweli hawana soni ya kushika makalio ya pisi zetu kali? Ukorofi huo[emoji849][emoji849]
Kumezuka wimbi kubwa la kukiuka miiko yq kijinsia hivi kweli ni halali Daktari au Nesi wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike.
Hili ni sawa sawa kweli,? Tafadhari serikali iingilie Kati huu udhalilishaji unavotaka kufanywa kama utamaduni. Tuzingatie maadili sio poa kuwachoma sindano za tako wapenzi hii tabia ikomeshwe haraka sana.
Tuepuke matukio kama ya tarime yasitokee sehemu zingine za nchi.
Tamisemi na wizara ya afya mlitazame hili na likomeshwe haraka sana.
Wekeni mipaka kwenye wapenzi wa watu.
Wadiz
Ndio hapo sasa vijana wajinga sana hawa...11 dec 2022 mke wangu nampeleka labour pale muhi2 saa 8 usiku anapokelewa na Nurse wa kiume ..na akanambia yeye ndio atamuhudumia..Kiroho safi tu nikakaza..Sasa auwawe kisa kashika tako la mgonjwa ,sisi ambao wake zetu wamezalishwa na wanaume tena wameshikwa k zao , so mme muuwa Dk kisha kumchoma sindano mgonjwa kama alikuwa peke yake angefanyaje ,mimi nimedungwa sana sindano na manesi wa kike tuna tunapiga story na mmoja nilimla mbususu
Acheni ulofa watu wa tarime wapumbavu sana nyie
USSR
Hivi hakuna namna ya mgonjwa kuchomwa sindano amevaa au mshipa wa mkono tumalize hili la kutowanyanyapaa wenye wivu!Wasalaam JF,
Hivi kweli hawana soni ya kushika makalio ya pisi zetu kali? Ukorofi huo๐๐
Kumezuka wimbi kubwa la kukiuka miiko yq kijinsia hivi kweli ni halali Daktari au Nesi wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike.
Hili ni sawa sawa kweli,? Tafadhari serikali iingilie Kati huu udhalilishaji unavotaka kufanywa kama utamaduni. Tuzingatie maadili sio poa kuwachoma sindano za tako wapenzi hii tabia ikomeshwe haraka sana.
Tuepuke matukio kama ya tarime yasitokee sehemu zingine za nchi.
Tamisemi na wizara ya afya mlitazame hili na likomeshwe haraka sana.
Wekeni mipaka kwenye wapenzi wa watu.
Wadiz
Hebu fafanua jinsi hilo tukio la Tarime linavyohusiana na maudhui ya uzi wako.Wasalaam JF,
Hivi kweli hawana soni ya kushika makalio ya pisi zetu kali? Ukorofi huo๐๐
Kumezuka wimbi kubwa la kukiuka miiko yq kijinsia hivi kweli ni halali Daktari au Nesi wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike.
Hili ni sawa sawa kweli,? Tafadhari serikali iingilie Kati huu udhalilishaji unavotaka kufanywa kama utamaduni. Tuzingatie maadili sio poa kuwachoma sindano za tako wapenzi hii tabia ikomeshwe haraka sana.
Tuepuke matukio kama ya tarime yasitokee sehemu zingine za nchi.
Tamisemi na wizara ya afya mlitazame hili na likomeshwe haraka sana.
Wekeni mipaka kwenye wapenzi wa watu.
Wadiz
Kama daktari yuko mmoja au hospital madaktari wote wa kiume anachaguaje mfanoMimi mtaalam wa huo upande (medical ethics ) ni hivi;
a) Mgonjwa ana haki ya kuchagua Dr gani amuhudumie ktk level zote za matibabu
b) The basic right is right to life.
Ktk mazingira yetu haki nyingine hazitekelezeki sababu ya ukosefu wa Wataalam na umaskini.
Hivyo chagua privacy ama kifo
Kabisa ushauri mzuri ahamie Afghanistan au Somalia eneo waliko AlshababMchome mwenyewe au kaishi na Taleban au Al Shabab
Kuna kilaza mwingine niliwahi kumsikia akisema, wanataka kuanzisha hospitali za "dini Yao" eti wanawake wao ni WA thamani sanawasitibiwe na watu wa Imani nyingine๐๐๐ nikajiuliza Kuna Cha kuficha kwenye ugonjwa wakati unafanyiwa MATIBABU na mtu mwenye taaluma ya ugonjwa huo bila kujali Imani Wala jinsia yake?Wasalaam JF,
Hivi kweli hawana soni ya kushika makalio ya pisi zetu kali? Ukorofi huo๐๐
Kumezuka wimbi kubwa la kukiuka miiko yq kijinsia hivi kweli ni halali Daktari au Nesi wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike.
Hili ni sawa sawa kweli,? Tafadhari serikali iingilie Kati huu udhalilishaji unavotaka kufanywa kama utamaduni. Tuzingatie maadili sio poa kuwachoma sindano za tako wapenzi hii tabia ikomeshwe haraka sana.
Tuepuke matukio kama ya tarime yasitokee sehemu zingine za nchi.
Tamisemi na wizara ya afya mlitazame hili na likomeshwe haraka sana.
Wekeni mipaka kwenye wapenzi wa watu.
Wadiz
Mimi mtaalam wa huo upande (medical ethics ) ni hivi;
a) Mgonjwa ana haki ya kuchagua Dr gani amuhudumie ktk level zote za matibabu
b) The basic right is right to life.
Ktk mazingira yetu haki nyingine hazitekelezeki sababu ya ukosefu wa Wataalam na umaskini.
Hivyo chagua privacy ama kifo
Yes cuteNi halali mbona huwa wanawazalisha na kupima njia ya mtoto kupita
Kama wanazalisha na wanawake wanawapenda tofauti na wanawake sembuse kuchoma sindano?Wasalaam JF,
Hivi kweli hawana soni ya kushika makalio ya pisi zetu kali? Ukorofi huo๐๐
Kumezuka wimbi kubwa la kukiuka miiko yq kijinsia hivi kweli ni halali Daktari au Nesi wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike.
Hili ni sawa sawa kweli,? Tafadhari serikali iingilie Kati huu udhalilishaji unavotaka kufanywa kama utamaduni. Tuzingatie maadili sio poa kuwachoma sindano za tako wapenzi hii tabia ikomeshwe haraka sana.
Tuepuke matukio kama ya tarime yasitokee sehemu zingine za nchi.
Tamisemi na wizara ya afya mlitazame hili na likomeshwe haraka sana.
Wekeni mipaka kwenye wapenzi wa watu.
Wadiz
umeelewa nilichoandika?Kama daktari yuko mmoja au hospital madaktari wote wa kiume anachaguaje mfano
Wamwache afe? Sababu fani ya udaktari ngumu wanawake wengi huikimbia
Daktari au tabibu yeyote hana mipaka na kiungo chochote cha mwili cha jinsi yoyote ile, iwe ya kike au ya kiume maadamu kasomea na kufanyia mazoezi ya utabibu viungo husika vya mwili vya kike na kiume.Wasalaam JF,
Hivi kweli hawana soni ya kushika makalio ya pisi zetu kali? Ukorofi huo๐๐
Kumezuka wimbi kubwa la kukiuka miiko yq kijinsia hivi kweli ni halali Daktari au Nesi wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike.
Hili ni sawa sawa kweli,? Tafadhari serikali iingilie Kati huu udhalilishaji unavotaka kufanywa kama utamaduni. Tuzingatie maadili sio poa kuwachoma sindano za tako wapenzi hii tabia ikomeshwe haraka sana.
Tuepuke matukio kama ya tarime yasitokee sehemu zingine za nchi.
Tamisemi na wizara ya afya mlitazame hili na likomeshwe haraka sana.
Wekeni mipaka kwenye wapenzi wa watu.
Wadiz
Mchome mwenyewe au kaishi na Taleban au Al Shabab