data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Kufuatilia... Badala atoe order tu.. UpuuziUpdates
Mh. Nape Nnauye ame Twitter, amesema tayari ameshawaelekeza TCRA kufuatilia swala hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufuatilia... Badala atoe order tu.. UpuuziUpdates
Mh. Nape Nnauye ame Twitter, amesema tayari ameshawaelekeza TCRA kufuatilia swala hilo.
TBC kwenye Azam ilikuwa inaonesha vizuri. Ila kwenye Dstv ilikuwa inascratch yaani kama inafifishwa hivi. inaonekana kuna uhuni dstv wanafanya.Sijajua Azam ila DSTV wanaonesha TBC1 japo quality yake mbayaaaaaaaa
Wanataka wateja walipie kifurushi cha Compact yaani hadi siku ya ufunguzi wameshindwa kua na huruma wanawaza hela tu.... elfu 56 umeme wenyewe wa magumashi [emoji1787]TBC kwenye Azam ilikuwa inaonesha vizuri. Ila kwenye Dstv ilikuwa inascratch yaani kama inafifishwa hivi. inaonekana kuna uhuni dstv wanafanya.
Yani niliweka mara moja tu nkakutana na kituko nikarudi channel ya dstv nyingineeTBC kwenye Azam ilikuwa inaonesha vizuri. Ila kwenye Dstv ilikuwa inascratch yaani kama inafifishwa hivi. inaonekana kuna uhuni dstv wanafanya.
Azam TV hata wangesema wataonesha bure kombe la dunia nisingelipia... poor quality of content hafu wanajikuta miungu watu nimekuja likizo bongo na king'amuzi chao nimeking'oa uchafu nyumbani kwangu sitaki mimi..Ndio tatizo la kuwa na mtoa huduma mmoja alieshika soko. Azam kiukweli wapo "too arrogant" na wao hawajapata haki ya kurusha matangazo WC so far.
Wapigwe faini maana sheria ipo wazi.
Mimi ndio maana nilijiapanga kununua DSTV nalipa mwezi mzima Kucheki Super Sport mechi zote 64 maana nilijua kutakuwa na uswahili kitendo cha TBC na ZBC kupata haki ya kurusha mechi hizi.
Jiunge na kifurushi kikubwa ufurahie kombe la dunia kwenye channel za supersports.. unyama mwingi sana.Sijajua Azam ila DSTV wanaonesha TBC1 japo quality yake mbayaaaaaaaa
Tunakula mambo kitajiri zaidi... woyooooooooo... ila nyie umaskini mbaya sana..Dstv tumetulia tuuu kiulaini
Siyo kweli kwa maana Nape leo akiwa pale ofisi za TBC alisema kwamba wameiagiza TCRA wafuatilie ving'amuzi vilivyoiondoa TBC kipindi hikiPossibly wao TBC ndio wametaka waondolewe. Huwezi wewe kua unajua sheria kuliko wao walivyokubaliana kibiashara. Mteja yaani TBC analipa AZAM ili channel yake ionyeshwe, katika makubaliano hayo azam hawezi tu kuondoa channel kwenye huduma kibabe tu tena channel ya serikali
Umewafikiria na wasiokuwa na uwezo wakulipia..?Madhara ya kupenda vya bure...
Mbona mimi nina kifurushi cha 23,000 na nimeangalia leo kupitia Channel yao maalumu kwa World cup? Ana ni leo tu?Wanataka wateja walipie kifurushi cha Compact yaani hadi siku ya ufunguzi wameshindwa kua na huruma wanawaza hela tu.... elfu 56 umeme wenyewe wa magumashi [emoji1787]
Tunakula mambo kitajiri zaidi... woyooooooooo... ila nyie umaskini mbaya
Acha boli litembeee na dstv tz. Kifurushi cha 23k boli limetembea vizuri tuMbona mimi nina kifurushi cha 23,000 na nimeangalia leo kupitia Channel yao maalumu kwa World cup? Ana ni leo tu?
Labda walisikia malalamiko ya wengi waliomba kwenye ufunguzi waangalie kupitia kifurushi hicho lakini pia sikilizia na leo kama wataonesha basi wamebadili gia angani lakini tangazo lao ni hiloMbona mimi nina kifurushi cha 23,000 na nimeangalia leo kupitia Channel yao maalumu kwa World cup? Ana ni leo tu?
... kumbe sababu ndio hiyo? Azam wako sahihi! Watanzania tumezidi kupenda vya bure; kulipia 23,000 hatutaki tunataka tujiegemeze kwenye kisingizio cha local channels ni free!Kama hoja ni hiyo kwanini wamezuia tu kwa watu ambao hajalipua kingamuzi Cha AZAM, ila ambao wamelipia mechi zinaonekana
Nakubaliana na wewe 100% Azam hana maslahi yoyote ya kuiondoa TBC mimi nadhani labda TBC walitaka kitu lakini sioni sababu yoyote ya kibishara kusukuma Azam kufanya hivyo kwa sababu hawana haki za kurusha mashindano kwa hiyo hakuna mgongano wa maslahi.Possibly wao TBC ndio wametaka waondolewe. Huwezi wewe kua unajua sheria kuliko wao walivyokubaliana kibiashara.
Mteja yaani TBC analipa AZAM ili channel yake ionyeshwe, katika makubaliano hayo azam hawezi tu kuondoa channel kwenye huduma kibabe tu tena channel ya serikali
Hakuna la kushangaza TBC hawajahi kuwa na quality ndio maana ni kama bure lakini ukitaka quality ni DSTV unalipa lakini unapata bidhaa katika ubora.TBC wanaonesha Ila Duh quality ni mbovu
Kumbe ni hivi, basi itakuwa hiki kifurushi kitaonyesha mechi kadhaa tu.Labda walisikia malalamiko ya wengi waliomba kwenye ufunguzi waangalie kupitia kifurushi hicho lakini pia sikilizia na leo kama wataonesha basi wamebadili gia angani lakini tangazo lao ni hiloView attachment 2422727
Utaangalia ila sio mechi zote kuna nyingine hutoziona.Mbona mimi nina kifurushi cha 23,000 na nimeangalia leo kupitia Channel yao maalumu kwa World cup? Ana ni leo tu?