Mr Bundi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 327
- 422
Dstv bei ya vifurushi vyao ikoje mkuuNdio tatizo la kuwa na mtoa huduma mmoja alieshika soko. Azam kiukweli wapo "too arrogant" na wao hawajapata haki ya kurusha matangazo WC so far.
Wapigwe faini maana sheria ipo wazi.
Mimi ndio maana nilijiapanga kununua DSTV nalipa mwezi mzima Kucheki Super Sport mechi zote 64 maana nilijua kutakuwa na uswahili kitendo cha TBC na ZBC kupata haki ya kurusha mechi hizi.