Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Hivi uliangalia channel namba ngapi?Kumbe ni hivi, basi itakuwa hiki kifurushi kitaonyesha mechi kadhaa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi uliangalia channel namba ngapi?Kumbe ni hivi, basi itakuwa hiki kifurushi kitaonyesha mechi kadhaa tu.
Sikumbuki mkuu, huwa sina tabia ya kukariri namba za channel, hata itv sijui ipo channel namba ngapi. Ila ni special kwa kombe la dunia.Hivi uliangalia channel namba ngapi?
Haina shida, hata hivyo mda wa kukaa home sio sana, mostly weekends au zile mechi za usiku.Utaangalia ila sio mechi zote kuna nyingine hutoziona.
Sio kila mechi ya usiku au mchana utaiona ,wana consider big matches zile, kama hizi za Qatar, Iran k utaziona.Ila zile za magiant hutoziona,haijalishi inanyeshwa mchana au usiku sababu kifurushi chako ni kidogo.Haina shida, hata hivyo mda wa kukaa home sio sana, mostly weekends au zile mechi za usiku.
Huo ni mchezo wa azam tv baada ya kuona tbc inaonesha michuano na ukumbuke tbc ni free channel so haina azam hawatakuwa na maslahi yoyote, walichofanya ni kuifunga ili mlipie kwa za ile 23,000 yao ndo muone! Huo ni wizi wa Azam tvTBC ni waongo sana kudai kuwa wameshinda tenda kutangaza kombe la dunia.
Ikumbukwe national media zote wanapewa free to air hili kombe sasa Rioba anadangaya watu hapa kutaka kupiga hela, TAKUKURU ingilieni kati, TBC wanapata huduma kupitia kodi zetu sasa iweje wauze kuangalia kombe la dunia.
Nadhani itakuwa tatizo la dstv wenyewe maana tbc wameboresha matangazo yao, kitu HDSijajua Azam ila DSTV wanaonesha TBC1 japo quality yake mbayaaaaaaaa
Mbona ukilipia unaziona!!!??Nitajie Channel iliyopata host kutoka Multichoice?
Fifa wana offer television za taifa kuonyesha mechi bure na ndio maana DSTV hajampiga pini TBC.
Ila channel za taifa zinazo onyesha WC ,ukitoa TBC zote Azam kaziblock sababu ni hao DSTV.
Hutoweza kuona mechi zote.Ni kuanzia package ya Compact ndiyo utaona mechi zote 64Mbona mimi nina kifurushi cha 23,000 na nimeangalia leo kupitia Channel yao maalumu kwa World cup? Ana ni leo tu?
Upo sahihi kabisa,hawajabadili ni kuanzia Compact ndiyo utaona mechi zote.Chini ya hapo utaona tu baadhi ya mechiLabda walisikia malalamiko ya wengi waliomba kwenye ufunguzi waangalie kupitia kifurushi hicho lakini pia sikilizia na leo kama wataonesha basi wamebadili gia angani lakini tangazo lao ni hiloView attachment 2422727
Haina shida, TV yenyewe sio sana kwa kweli. Kuna wakati naweka bundle kwa sababu ya cartoon za watoto tu.Sio kila mechi ya usiku au mchana utaiona ,wana consider big matches zile, kama hizi za Qatar, Iran k utaziona.Ila zile za magiant hutoziona,haijalishi inanyeshwa mchana au usiku sababu kifurushi chako ni kidogo.
Kwa sasa unaziona ila ikifuka mda wa mechi huzioni mpaka mechi iishe.Mbona ukilipia unaziona!!!??
Alisema lakini...Mtanikumbuka....Inasikitisha sana
Anadhani anongea na watanzania wa meals 1998, msamehe bure...TBC ni waongo sana kudai kuwa wameshinda tenda kutangaza kombe la dunia.
Ikumbukwe national media zote wanapewa free to air hili kombe sasa Rioba anadangaya watu hapa kutaka kupiga hela, TAKUKURU ingilieni kati, TBC wanapata huduma kupitia kodi zetu sasa iweje wauze kuangalia kombe la dunia.
Watanzania twapenda vya bure bure... kumbe sababu ndio hiyo? Azam wako sahihi! Watanzania tumezidi kupenda vya bure; kulipia 23,000 hatutaki tunataka tujiegemeze kwenye kisingizio cha local channels ni free!
Watu waambiwe ukweli; wajifunze kulipia huduma hakuna vya bure.