Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stuka mkuu....😜Ivi nikawaida kwa mwanamke ambaye ameolewa kukaa miezi miwili mpaka 4 uko bila kupata feeling zozote Za kufanya tendo la Ndoa na mume wake ?
Nilishawah kukutana na kesi km hzo nyng na zote ni madawa ya uzazi wa mpango yanatoa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke na mara zote ni mtu wa hasira.fanya utafit atakuwa anatumia dawa za uzaz wa mpango.na usipoangalia utavunja ndoa.muende kwa wataalamu wa masuala ya uzazi atawasaidiaMkuu nieleweshe vizuri apa kwenye uzazi maana yapata mwaka moja na nusu sasa toka ajifungue
Inategema na level yake ya stressIvi nikawaida kwa mwanamke ambaye ameolewa kukaa miezi miwili mpaka 4 uko bila kupata feeling zozote Za kufanya tendo la Ndoa na mume wake ?
Really broowSi bora huyo hisia tu, wapo wasioingia mwezini hata kwa miezi 6+. Wanawake ni viumbe complicated sana. No wonder wanaongoza kuugua ugua.