Je, ni kawaida kwa mwanamke kukaa miezi 2 hadi 4 bila kupata hisia za kuwa na mwanaume?

Je, ni kawaida kwa mwanamke kukaa miezi 2 hadi 4 bila kupata hisia za kuwa na mwanaume?

KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
th (5) (1).jpeg
 
Mkuu nieleweshe vizuri apa kwenye uzazi maana yapata mwaka moja na nusu sasa toka ajifungue
Nilishawah kukutana na kesi km hzo nyng na zote ni madawa ya uzazi wa mpango yanatoa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke na mara zote ni mtu wa hasira.fanya utafit atakuwa anatumia dawa za uzaz wa mpango.na usipoangalia utavunja ndoa.muende kwa wataalamu wa masuala ya uzazi atawasaidia
 
Back
Top Bottom