nakwede97 JF-Expert Member Joined Aug 9, 2021 Posts 946 Reaction score 2,478 Feb 9, 2025 #21 Nataman niseme Siri moja ila kw Leo acha nipite tu Ila kama anatumia njia za uzaz wa mpango Kuna moja ukitumia haina hisia kwenye suala la sex na hili limewakuta mengi Ila kama sio hiyo basi Kuna siri
Nataman niseme Siri moja ila kw Leo acha nipite tu Ila kama anatumia njia za uzaz wa mpango Kuna moja ukitumia haina hisia kwenye suala la sex na hili limewakuta mengi Ila kama sio hiyo basi Kuna siri
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,119 Feb 9, 2025 #22 To yeye said: Watu wenyewe mwagombana kilasiku hizo feeling azitoe wapi dada wa watu mwee Click to expand... Je ambaye yupo single ?
To yeye said: Watu wenyewe mwagombana kilasiku hizo feeling azitoe wapi dada wa watu mwee Click to expand... Je ambaye yupo single ?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Feb 9, 2025 #23 Pole sana hayanaga muongozo... Cc: Mahondaw
Mjuni Lwambo JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 11,133 Reaction score 12,361 Feb 9, 2025 #24 kwisha said: Ivi nikawaida kwa mwanamke ambaye ameolewa kukaa miezi miwili mpaka 4 uko bila kupata feeling zozote Za kufanya tendo la Ndoa na mume wake ? Click to expand... Ndio ni kawaida.
kwisha said: Ivi nikawaida kwa mwanamke ambaye ameolewa kukaa miezi miwili mpaka 4 uko bila kupata feeling zozote Za kufanya tendo la Ndoa na mume wake ? Click to expand... Ndio ni kawaida.