Je, ni kisa gani cha kweli lakini cha kuogopesha na kusisimua ulichowahi kusimuliwa na mwanamke? Ulijifunza nini kutokana na kisa hicho?

Je, ni kisa gani cha kweli lakini cha kuogopesha na kusisimua ulichowahi kusimuliwa na mwanamke? Ulijifunza nini kutokana na kisa hicho?

Acha ujuaji wa kitoto. Ina maana wewe katika maisha yako haujawahi kusimuliwa na ukasikiliza tatizo la mtu yeyote huku na wewe ukiwa na matatizo yako? Who on earth hasn't come accross any challenges prompting him or her to seek relief from others?
Sawa na vipi ulipowasikiliza ulifanya kipi Cha kuwasaidia..? Mimi sioni Kuna maana yeyote ya kujaza medula oblangata kumbukumbu ya matukio ya watu waliyopitia kwenye maisha. Hiyo ni nonsense Tafuta sana pesa broo ili achana na hivyo vitu ni umbea maana hawajakuluhusu kusema mbele za watu
 
Sawa na vipi ulipowasikiliza ulifanya kipi Cha kuwasaidia..? Mimi sioni Kuna maana yeyote ya kujaza medula oblangata kumbukumbu ya matukio ya watu waliyopitia kwenye maisha. Hiyo ni nonsense Tafuta sana pesa broo ili achana na hivyo vitu ni umbea maana hawajakuluhusu kusema mbele za watu
Duuh! Mbona una gubu sana dadangu? Ni mmeo tu ndiye atakuwa kakuzoea.
 
Back
Top Bottom