JahManPeace
JF-Expert Member
- Dec 1, 2019
- 473
- 661
Uumbaji wa Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kiranga umempeleka ignore list kwa sababu hapendi unachoandika?!!Mkuu,
Hupendi ninavyoandika.
Nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona posts zako.
Na wewe fanya hivyo ili usione ninavyoandika.
Utakuwa umemaliza tatizo la kuona maandishi usiyopenda kuyaona.
Sipendi achefukwe, nimemuasa na yeye anipeleke ignore list kwa sababu hapendi ninavyoelezea mambo.Sasa kiranga umempeleka ignore list kwa sababu hapendi unachoandika?!!
Upendo ni hisia za mawazo zenye mvuto sahihi juu ya kitu au jambo fulani.Mpaka ukituambia upendo ni nini ndio tutajua kama hauna kasoro.
Mawazo zenye mvuto!!! Wewe unajua kiswahili kweli?Upendo ni hisia za mawazo zenye mvuto sahihi juu ya kitu au jambo fulani.
Najua kiswahili, ila nimeteleza kidogo. Penye "zenye" weka "yenye".Mawazo zenye mvuto!!! Wewe unajua kiswahili kweli?
Demu wangu ana ulemavu wa miguu, nampenda hivyo hivyo alivyo, ni Mungu kanipa nami ninamshukuruNatafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.
Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.
Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.
Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu
Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
GreatthinkerJe, mapungufu yana upungufu katika upungufu wake? Kwa sababu mapungufu hayajakamilika?
Hivyo, je, kwa kuwa hayajakamilika katika kukamilika, yamekamilika katika upungufu wake?
Au, hayajakamilika hata kwenye upungufu, kwa kuwa yangekamilika kwenye upungufu yasingekuwapo na yasingejulikana kuwa ni mapungufu?
Ukifikiria sana utaona, kitu ambacho hakina mapungufu hakipo. Kipo, lakini, kuwapo kwake kuna maana hakipo.
Kitu hicho ni nothingness, nothingness ni kutokuwepo chochote, hata vacuum in space si nothingness, kwa sababu ina space. Nothingness yenyewe hata space haina. Haina space, haipo kwenye time. Haipo. Inafikirika tu.
Hiyo nothingness haipo. Kwa kuwa kuwapo kwake ni kutokuwapo.Ikiweza kuwapo nje ya hapo tu, inakuwa si nothingness tena.
Hiyo dhana ya nothingness, kinadharia, ndiyo haina makosa. Kwa sababu ina lowet entropy, hauwezi kupunguza entropy hapo. Huwezi kuharibu, ili uharibu, inabidi uitoe kwenye nothingness.
Hiyo nothingness ndiyo haina mapungufu.
Kitabu cha kusoma ni "Why Does The World Exist: An Existential Detective Story" cha Jim Holt.
Mbona vingi. Maji, hewa safi, upendo wa kweli, utajiri halali, elimu halali, ukweli, kifo, haki, usawa na mengine mengi wakiwamo watoto wachangaNatafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.
Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.
Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.
Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu
Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
Kasoro ni kupungukiwa kwa ufanisiNdio maana nimeuliza tangu mwanzo kasoro ni nini? Je, kasoro inapimwa au haipimwi?
evarist chahali Anam refer nani kwa jina hili? Martine Maranje au Yericko Nyerere?Mzee wa mitusi baada ya kuvimbiwa wali maharagwe ya Matombo [emoji16]