Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nikikujibu huwezi kusoma.Kwahiyo tafsiri ya tusi unataka ulete page 7?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikujibu huwezi kusoma.Kwahiyo tafsiri ya tusi unataka ulete page 7?
Binadam usieridhika wewe kila kitu kimekaa vizuri hakina kasoro hata kidogo ila ubongo wa binadamu ndo una kasoro ndo maana unaona dini inakasoro au elimu ina kasoroMuda nao unakimbia sana hio ni kasoro
Jibu kwa sentensi moja. Achana na kuandika insha.Nikikujibu huwezi kusoma.
Nikikujibu huwezi kusoma.Jibu kwa sentensi moja. Achana na kuandika insha.
Huna point mzee. Kama upo East Africa ni muda wa kulala. Kojoa ukalale. Bye.Nikikujibu huwezi kusoma.
Una assume, halafu kabla ya kuuliza upate uhakika, unakimbia na assumption yako ya uongo.Huna point mzee. Kama upo East Africa ni muda wa kulala. Kojoa ukalale. Bye.
Nimekuuliza unajibu kwa kuogopa eti siwezi kusoma. Hizo ni dalili za inferiority complex.Una assume, halafu kabla ya kuuliza upate uhakika, unakimbia na assumption yako ya uongo.
Katika ad hominem attack no less.
Mpaka ukituambia upendo ni nini ndio tutajua kama hauna kasoro.Upendo hauna kasoro
Mkuu,Nimekuuliza unajibu kwa kuogopa eti siwezi kusoma. Hizo ni dalili za inferiority complex.
Huwezi kunipangia wewe. Inferiority complex yako kaa nayo wewe. Wewe niweke tu. Mimi sina issue za kitoto hivyo.Mkuu,
Hupendi ninavyoandika.
Nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona posts zako.
Na wewe fanya hivyo ili usione ninavyoandika.
Sema Mama wesema tuuu😂😂😂😂😂Natamani kutaja ila basi tu
Hewa tunayovuta naona haina kasoro.
Hata uwe wapi hewa ipo na wewe
Wagombanao ndiyo wapatanao akiba ya manenoWewe debe tupu ndio nijali kuni ignore? nilijaribu tu kuelezea jinsi usivyo jiamini na usivyo weza kuhandle pressure,wewe ni mlaini kama pamba tu,umekariri maswali yale yale kwenye kila thd,sijui contradiction,mtu kama wewe hata mje mmejaa Mabehewa 6 hamna madhara yeyote kwangu coz wewe ni hamnazo ila umekariri vimaneno kama Kasuku.
Daaah ushanivuruga mzeeLogical non sequitur.
Nakwambia mwanamme wa miaka 30 leo hawezi kuwa na mama mzazi wake binti mwenye miezi 6 leo.
Kwa sababu mama mzazi wa mtu anatakiwa kuwa mkubwa kuliko huyo mtoto wake.
Wewe unanijibu "Tuambie mama mzazi wa huyo mwanamme ni nani, usipotuambia unatwanga maji kwenye kinu".
Hivi kweli nahitaji kumjua mama mzazi wa mwanamme wa miaka 30 ni nani ili nijue kwamba binti wa miezi 6 hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme wa miaka 30?
Hivi wewe unaelewa kwamba sihitaji kujua jibu sahihi ni lipi ili kujua kwamba jibu fulani si sahihi?
Unaelewa kwamba nikishajua kwamba square root ya 2 ni ndogo kuliko mbili, mtu akiniambia 10 ni square root ya 2, naweza kujua jibu hilo si sahihi bila hata kujua square root ya 2 ni nini?
Unaniambia square root ya 2 ni 10, nakwambia hilo jibu si sahihi, square root ya mbili ni lazima iwe ndogo kuliko 2.
Wewe unanilazimisha nikwambie square root ya 2 ni nini.
Mimi focus yangu ni kuonesha Mungu hayupo, kuonesha 10 si square root ya 2, kuonesha binti wa miezi 6 hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme wa miaka 30.
Tunaweza kuliangalia hilo kwanza logically kabla ya kutafuta mama wa huyu mtu w amiaka 30 ambaye haijalishi ni nani, hawezi kubadilisha the fact kwamba hawezi kuwa huyu binti wa miezi 6?
Tunaweza kukubaliana kwamba 10 haiwezi kuwa square root ya 2 kwanza kabla hatujaenda kutafuta square root ya 2?
Yaaah jamaa namkubali hata mm anareson inayomake sense japo unaweza usielewe Kwa akili ndogosema mwamba nakukubali sana. Huwa unashughulisha sana akili yako. Yaani kwanini hiki kiwe hv na si vile.
Anaetumika kutambua hizo kasoro (Binaadamu) kajaa kasoro tele hivyo kila anachokiona ni lazima kiwe na kasoro.Natafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.
Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.
Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.
Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu
Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.