Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Kwanza, tofautisha mtu kukujibu swali halafu ukawa hujaridhika na majibu yake na mtu kulipotezea swali.

Mtu kulipotezea swali ni kutoli acknowledge kabisa.

Mfano.

Post 394 kama ungeuliza swali, halafu mimi nisingeigusa kabisa post, hapo ungeweza kusema labda nimepotezea.

Au kama ningegusa post lakini nisitaje kabisa swali lako, hapo ungeweza kusema nimepotezea swali.

Lakini, mtu nimenukuu post, nikajaribu kujibu swali kwa kadiri ya uwezo wangu, wewe hujuridhika na majibu yangu.

Ukisema majibu yangu yana makosa, hukubaliani nayo, nitakuelewa.

Lakini, ukisema swali nimelipotezea, unakuwa unanituhumu kwamba sija li acknowledge swali, wakati nimejitahidi kulijibu kwa kadiri ya uwezo wangu.

Kuhusu efficiency kupimwa kwa kulinganisha kikubwa na kidogo, naomba utumie maneno yangu halisi badala ya kuni paraphrase. Kwa sababu naona hujanielewa.

Naona kama umechukua mfano wangu mmoja unaojaribu kuonesha kwamba mtu anaweza kupima jibu kama ni la kweli au uongo bila hata ya kujua jibu la ukweli ni lipi kwa 100% (habari ya square root ya 2) na kufanya huo mfano kuwa ni definition ya efficiency.

My point was, huhitaji kipimo chenye ufanisi wa 100% ili kujua kwamba efficiency ya system fulani si 100%.

Hilo unalikubali au unalipinga?

Hujitaji macho yenye perfect vision 20/20 ili kujua kwamba hii ndoo imetoboka na inamwaga maji, haina efficiency ya 100% katika kazi ya kubba maji.

Swali lako la kuhoji kama kipimo cha efficiency kina ufanisi wa 1005 lina imply kwamba kipimo cha kupimia efficiency kama hakina efficiency ya 100%, hakiwezi kujua kama kinachopimwa kina efficiency ya 100%.

Hili jambo si kweli, kwa sababu huhitaji macho yenye 20/20 vision, perfect vision, ili kujua ndoo hii haina efficiency ya 1005, ina tobo linamwaga maji.
Mimi siyo mwana historia wa kuandikiwa maandishi meeeengi. Summarize maandishi yako.
I am a mathematician. Wewe niambie kifupi tu. Efficiency 100% inapimwa na nini? Na nani anasema hii ni 100%?
Je kipimo kinachopima chenyewe hakipimwi?
 
Mimi siyo mwana historia wa kuandikiwa maandishi meeeengi. Summarize maandishi yako.
I am a mathematician. Wewe niambie kifupi tu. Efficiency 100% inapimwa na nini? Na nani anasema hii ni 100%?
Je kipimo kinachopima chenyewe hakipimwi?
Kama huwezi kusoma post za JF, huwezi kusoma kitabu.

Kama huwezi kusoma kitabu, hujafika kiwango cha kujibizana nami, niache tu.

Hunipangii jinsi ya kuandika hata siku moja.
 
Kama huwezi kusoma post za JF, huwezi kusoma kitabu.

Kama huwezi kusoma kitabu, hujafika kiwango cha kujibizana nami, niache tu.

Hunipangii jinsi ya kuandika hata siku moja.
Kwani hapa tunajibizana au tunajadili?
Unaandika maandishi meeengi point zero.
Swali dogo tu unaandika insha. Nikikuuliza maswali magumu si utaandika kitabu chenye kura 100,000.
Answer the question kama umeshindwa sema huwezi.
 
Kwani hapa tunajibizana au tunajadili?
Unaandika maandishi meeengi point zero.
Swali dogo tu unaandika insha. Nikikuuliza maswali magumu si utaandika kitabu chenye kura 100,000.
Answer the question kama umeshindwa sema huwezi.
Si lazima kusoma wala kujibu.
 
Kama huwezi kusoma post za JF, huwezi kusoma kitabu.

Kama huwezi kusoma kitabu, hujafika kiwango cha kujibizana nami, niache tu.

Hunipangii jinsi ya kuandika hata siku moja.
Halafu unasema nothingness haina kasoro? Are you serious? Ulishawahi kuiona nothingness? Kama hujawahi kuiona hiyo nothingness basi hiyo ndiyo kasoro yake.

Achana na kusoma vitabu vya motivation speakers only soma na vitabu vya aina zingine kama:-
1. Metaphysics
2. Cosmology
3. Meditation
4. Physics
5. Mathematics
6. Technology
7. Nanotechnology
nk.
 
Halafu unasema nothingness haika kasoro? Are you serious? Ulishawahi kuiona nothingness? Kama hujawahi kuiona hiyo nothingness basi hiyo ndiyo kasoro yake.

Achana na kusoma vitabu vya motivation speakers only soma na vitabu vya aina zingine kama:-
1. Metaphysics
2. Cosmology
3. Meditation
4. Physics
5. Mathematics
6. Technology
7. Nanotechnology
nk.
Utanipangia jinsi ya kujibu?

Au nijibu ninavyotaka mimi?
 
Utanipangia jinsi ya kujibu?

Au nijibu ninavyotaka mimi?
Majibu yako hayajitoshelezi. Ukiulizwa kiundani zaidi unakuwa mkali. Modern people hawaburuzwi. Leta idea yako then we challenge it ndio maisha. Kama ipo sawa itetee.
 
Majibu yako hayajitoshelezi. Ukiulizwa kiundani zaidi unakuwa mkali. Modern people hawaburuzwi. Leta idea yako then we challenge it ndio maisha. Kama ipo sawa itetee.
Sawa, achana nami basi. Majibu yangu hayatoshelezi.

Si lazima ujadiliane nami.
 
Sawa, achana nami basi. Majibu yangu hayatoshelezi.

Si lazima ujadiliane nami.
Lazima, I will challenge you and I will ask you as long as unaandika kwenye public. Wewe leta maelezo ya maana mbona tutaenda sawa tu?

Kitu gani kina efficiency 100%
 
kasoro zipo kwa Mtazamaji! /mwonaji tu!...LKN km mie binafsi kasoro zako ni neema kwangu!....mfano unamuona mdada mwembambaaaa kumbe anapenda kuwa km alivo ila weye wembamaba wake unaona kasoro!

haya huyu unaona kuwa anaongea sanaaa bila kumeza mate !!..... lkn yeye ndo kipaji anaonsa, nafurahia hivoooo! mpaka amekuwa mwana ccm!asa hapo taatizo liko wapi??....ni kwa mwonaji tu!

Huyu mwingine Amejenga international air port kijijini mwake! kwa kutumia kampuni yake ya ujenzi...yeye kwake ni faida tupu! na fahari ya nyumbani kwao!...wewe unahukumu kuwa kaiba hela!

zipi hizooo?? huna ushahidi!!.....so hizo ni kasoro zako unaona ya wengine tuuuu mpaka unakufa....km mie sina kasoro kabisaaaaa
 
Back
Top Bottom