Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Unaweza kuandika maneno mengi sana haiondoi kuwa unaubishi ambao hauna hata maana.
Jana nilikuuliza swali katika uzi huu #94 ukapotezea tu.

Hupendi kujadiliana na watu GT. Sasa hebu jibu hilo swali kwanza.
Mkuu,

Kwa hivyo nina ubishi usio na maana kwa sababu sijakujibu swali lako? Au?

Unajuaje hilo swali nimeliona, nimelielewa kama ulivyolielewa wewe?

Narejea post #94
 
Mkuu,

Kwa hivyo nina ubishi usio na maana kwa sababu sijakujibu swali lako? Au?

Unajuaje hilo swali nimeliona, nimelielewa kama ulivyolielewa wewe?

Narejea post #94
Nimelikuambia. Na hii ni mara ya tatu. Unalipotezea.
 
Nimelikuambia. Na hii ni mara ya tatu. Unalipotezea.
Mkuu jana si wewe niliyekuambia najadiliana na watu wengi sana na nilikuwa kwenye simu kwa hivyo sikuweza kuona maswali yote, nikaomba namba ya post, ambayo ndiyo kwanza naiona sasa?

Au?
 
Mkuu jana si wewe niliyekuambia najadiliana na watu wengi sana na nilikuwa kwenye simu kwa hivyo sikuweza kuona maswali yote, nikaomba namba ya post, ambayo ndiyo kwanza naiona sasa?

Au?
Si kweli. Umeandika uongo
 
Kinapimwa, lakini kwa kasoro pia, hapo juu nimesema hakuna kisicho na kasoro.

Yani ni kwamba hata kitendo cha kupima kasoro kinaleta kasoro, kusoma ujue kuna kasoro au hakuna kasoro uta disturb unachopima at some level, na kipimo chako kitaleta kasoro.

Kisicho na kasoro ni nothingness, ambayo haipo, kwa sababu ikiwepo tu inakuwa si nothingness tena.

Kwa hivyo hakuna kisicho na kasoro.
Venus Star Swali lako la post #94 unalosema nimelipotezea nililijibu katika post #157.
 
Si kweli. Umeandika uongo
Nimeandika uongo nini sasa, uongo kwamba sikukuambia hivyo au uongo sikuwa kwenye simu?

Be specific please.

Post yako #94 nimeijibu kwa post #157 hapo juu, umeona?

Jibu langu umelinukuu pia, kwa hivyo, kama hukubaliani na jibu langu, sema hukubaliani nalo.

Usiseme swali nimelipotezea, kwa sababu kulipotezea swali ni kama sijalijibu kabisa nimelidharau, kitu ambacho sijafanya.
 
Kifo kina kasoro ndiyo maana kimeshindwa kuua watu wote kwa pamoja.

Kinavizia mmoja mmoja.

Kimeshindwa kufanya kazi yake kinyambisi.
sema mwamba nakukubali sana. Huwa unashughulisha sana akili yako. Yaani kwanini hiki kiwe hv na si vile.
 
Venus Star Swali lako la post #94 unalosema nimelipotezea nililijibu katika post #157.
Hukulijibu. Ulilipotezea. Ngoja nikuulize tena. Mara nyingine. Hapa tunaongelea kasoro. Ukasema kitu ambacho chenye efficiency na stability 100% ndicho hakina kasoro.
Kisha ukasema hivi? Efficiency inapimwa kwa kulinganisha kikubwa na kidogo. Squre root ya 4 itakuwa kubwa kuliko square root ya 3.

So efficiency 100% na stability 100% hapo itapatikana vipi kwa kulinganisha vitu ambavyo siyo uhalisia?
 
Asante Mkuu,

Hiyo shughuli ya critical thinking na abstract thinking na kuangalia ma logical fallacies na ma contradictions wengi huwa wanaikimbia.
Hatutaki kuumiza akili. swali gumu tunaliruka tu.
Tunabaki kukubali tu itavyokuwa ndivyo hivyo hivyo.
 
Nimeandika uongo nini sasa, uongo kwamba sikukuambia hivyo au uongo sikuwa kwenye simu?

Be specific please.

Post yako #94 nimeijibu kwa post #157 hapo juu, umeona?

Jibu langu umelinukuu pia, kwa hivyo, kama hukubaliani na jibu langu, sema hukubaliani nalo.

Usiseme swali nimelipotezea, kwa sababu kulipotezea swali ni kama sijalijibu kabisa nimelidharau, kitu ambacho sijafanya.
Uongo pale uliposema ndio unaiona sasa. Kisha tena comment nyingine unasema uliijibu. Huoni unaandika uongo?
Kubali basi umesema uongo.
 
Kila kitu kama kilivyo kimekamilika. Kwa kawaida kila kitu kinafanya kazi yake kikamilifu. kifo kinafanya kazi yake ya kuua vizuri sana. Shida inakuja vikiingiliwa kwenye kazi zao.
 
Hukulijibu. Ulilipotezea. Ngoja nikuulize tena. Mara nyingine. Hapa tunaongelea kasoro. Ukasema kitu ambacho chenye efficiency na stability 100% ndicho hakina kasoro.
Kisha ukasema hivi? Efficiency inapimwa kwa kulinganisha kikubwa na kidogo. Squre root ya 4 itakuwa kubwa kuliko square root ya 3.

So efficiency 100% na stability 100% hapo itapatikana vipi kwa kulinganisha vitu ambavyo siyo uhalisia?
Kwanza, tofautisha mtu kukujibu swali halafu ukawa hujaridhika na majibu yake na mtu kulipotezea swali.

Mtu kulipotezea swali ni kutoli acknowledge kabisa.

Mfano.

Post 394 kama ungeuliza swali, halafu mimi nisingeigusa kabisa post, hapo ungeweza kusema labda nimepotezea.

Au kama ningegusa post lakini nisitaje kabisa swali lako, hapo ungeweza kusema nimepotezea swali.

Lakini, mtu nimenukuu post, nikajaribu kujibu swali kwa kadiri ya uwezo wangu, wewe hujuridhika na majibu yangu.

Ukisema majibu yangu yana makosa, hukubaliani nayo, nitakuelewa.

Lakini, ukisema swali nimelipotezea, unakuwa unanituhumu kwamba sija li acknowledge swali, wakati nimejitahidi kulijibu kwa kadiri ya uwezo wangu.

Kuhusu efficiency kupimwa kwa kulinganisha kikubwa na kidogo, naomba utumie maneno yangu halisi badala ya kuni paraphrase. Kwa sababu naona hujanielewa.

Naona kama umechukua mfano wangu mmoja unaojaribu kuonesha kwamba mtu anaweza kupima jibu kama ni la kweli au uongo bila hata ya kujua jibu la ukweli ni lipi kwa 100% (habari ya square root ya 2) na kufanya huo mfano kuwa ni definition ya efficiency.

My point was, huhitaji kipimo chenye ufanisi wa 100% ili kujua kwamba efficiency ya system fulani si 100%.

Hilo unalikubali au unalipinga?

Hujitaji macho yenye perfect vision 20/20 ili kujua kwamba hii ndoo imetoboka na inamwaga maji, haina efficiency ya 100% katika kazi ya kubba maji.

Swali lako la kuhoji kama kipimo cha efficiency kina ufanisi wa 1005 lina imply kwamba kipimo cha kupimia efficiency kama hakina efficiency ya 100%, hakiwezi kujua kama kinachopimwa kina efficiency ya 100%.

Hili jambo si kweli, kwa sababu huhitaji macho yenye 20/20 vision, perfect vision, ili kujua ndoo hii haina efficiency ya 1005, ina tobo linamwaga maji.
 
Back
Top Bottom