Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Eleza kimetokana na nini kama hakuna aliyekiratibu la sivyo hoja yako ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu tu.
Logical non sequitur.

Nakwambia mwanamme wa miaka 30 leo hawezi kuwa na mama mzazi wake binti mwenye miezi 6 leo.

Kwa sababu mama mzazi wa mtu anatakiwa kuwa mkubwa kuliko huyo mtoto wake.

Wewe unanijibu "Tuambie mama mzazi wa huyo mwanamme ni nani, usipotuambia unatwanga maji kwenye kinu".

Hivi kweli nahitaji kumjua mama mzazi wa mwanamme wa miaka 30 ni nani ili nijue kwamba binti wa miezi 6 hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme wa miaka 30?

Hivi wewe unaelewa kwamba sihitaji kujua jibu sahihi ni lipi ili kujua kwamba jibu fulani si sahihi?

Unaelewa kwamba nikishajua kwamba square root ya 2 ni ndogo kuliko mbili, mtu akiniambia 10 ni square root ya 2, naweza kujua jibu hilo si sahihi bila hata kujua square root ya 2 ni nini?

Unaniambia square root ya 2 ni 10, nakwambia hilo jibu si sahihi, square root ya mbili ni lazima iwe ndogo kuliko 2.

Wewe unanilazimisha nikwambie square root ya 2 ni nini.

Mimi focus yangu ni kuonesha Mungu hayupo, kuonesha 10 si square root ya 2, kuonesha binti wa miezi 6 hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme wa miaka 30.

Tunaweza kuliangalia hilo kwanza logically kabla ya kutafuta mama wa huyu mtu w amiaka 30 ambaye haijalishi ni nani, hawezi kubadilisha the fact kwamba hawezi kuwa huyu binti wa miezi 6?

Tunaweza kukubaliana kwamba 10 haiwezi kuwa square root ya 2 kwanza kabla hatujaenda kutafuta square root ya 2?
 
Je, mapungufu yana upungufu katika upungufu wake? Kwa sababu mapungufu hayajakamilika?

Hivyo, je, kwa kuwa hayajakamilika katika kukamilika, yamekamilika katika upungufu wake?

Au, hayajakamilika hata kwenye upungufu, kwa kuwa yangekamilika kwenye upungufu yasingekuwapo na yasingejulikana kuwa ni mapungufu?

Ukifikiria sana utaona, kitu ambacho hakina mapungufu hakipo. Kipo, lakini, kuwapo kwake kuna maana hakipo.

Kitu hicho ni nothingness, nothingness ni kutokuwepo chochote, hata vacuum in space si nothingness, kwa sababu ina space. Nothingness yenyewe hata space haina. Haina space, haipo kwenye time. Haipo. Inafikirika tu.

Hiyo nothingness haipo. Kwa kuwa kuwapo kwake ni kutokuwapo.Ikiweza kuwapo nje ya hapo tu, inakuwa si nothingness tena.

Hiyo dhana ya nothingness, kinadharia, ndiyo haina makosa. Kwa sababu ina lowet entropy, hauwezi kupunguza entropy hapo. Huwezi kuharibu, ili uharibu, inabidi uitoe kwenye nothingness.

Hiyo nothingness ndiyo haina mapungufu.

Kitabu cha kusoma ni "Why Does The World Exist: An Existential Detective Story" cha Jim Holt..
 
Ukiondoa habari za jua kuna scientific fact yoyote? Au sayansi yote ni uongo pia?
With time... Dalton's atomic theory ilikua fact for a very long time,kabla ya kuwa proved wrong, science is a human's understanding of nature
 
With time... Dalton's atomic theory ilikua fact for a very long time,kabla ya kuwa proved wrong, science is a human's understanding of nature
Ilikuwa fact? Halafu ikawa proved wrong?

Unaelewa hata fact ni nini?
 
Ilikuwa fact? Halafu ikawa proved wrong?

Unaelewa hata fact ni nini?
Dalton's atomic theory/law ni Kama hizo paukwa pakawa zako za jua,ya Dalton ilikua zaidi ya hizo za jua
 
Dalton's atomic theory/law ni Kama hizo paukwa pakawa zako za jua,ya Dalton ilikua zaidi ya hizo za jua
Wewe unajua hata hapa JF kuandika hizo shutuma zako dhidi ya sayansi unatumia sayansi?
 
Papuchi aisee, nimehonga ndinga la mil 16 sababu ya kale ka hole tu
 
Hapa unalazimisha.

If nothingness does not exist, how can everything have nothingness?

Kinadharia unaweza kusema hivyo, lakini practically, nothingness and something cannot coexist.

You either have something or you have nothingness (non existence). These two cannot coexist at the same time at the same place.

Because nothingness does not exist. You can't have both existence and non existence.
Aaaah unataka kukataa tu bure mbona ni practical kabisa.

Haikatai kuadd nothing kwa kitu chochote tunachokubaliana kipo. Na hata kuiondoa nothing haikatai.

Mfano mathematically 0 + 1 = 1
Hata 1 - 0 = 1 ileilee! Utasema mathematics is still too abstract?

Haiya twende physically, hata tukipima atomu leo hii tunakuta ndani yake kuna nafasi kubwa tu ya utupu.

Majority of space in atoms is nothingness. And atoms are building blocks of all matter.

Unapata feeling ya wapi nnaelekea Mr. Kiranga?

Spoiler tu ni kwamba: hiyo nothingness unayoiona kwenye atom ndiyo imejazwa na idea, sema tu macho ya sayansi hayatambui wala kupima 'kitu' idea ndo maana yanaconclude tu kirahisi 'it is nothingness in here'

In the grand scale, the cosmos lieth in space, and majority of it is allegedly "empty" space. Apply the thing I said about science being not able to detect or measure idea as is. Apply it to space.
 
Aaaah unataka kukataa tu bure mbona ni practical kabisa.

Haikatai kuadd nothing kwa kitu chochote tunachokubaliana kipo. Na hata kuiondoa nothing haikatai.

Mfano mathematically 0 + 1 = 1
Hata 1 - 0 = 1 ileilee! Utasema mathematics is still too abstract?

Haiya twende physically, hata tukipima atomu leo hii tunakuta ndani yake kuna nafasi kubwa tu ya utupu.

Majority of space in atoms is nothingness. And atoms are building blocks of all matter.

Unapata feeling ya wapi nnaelekea Mr. Kiranga?

Spoiler tu ni kwamba: hiyo nothingness unayoiona kwenye atom ndiyo imejazwa na idea, sema tu macho ya sayansi hayatambui wala kupima 'kitu' idea ndo maana yanaconclude tu kirahisi 'it is nothingness in here'

In the grand scale, the cosmos lieth in space, and majority of it is allegedly "empty" space. Apply the thing I said about science being not able to detect or measure idea as is. Apply it to space.
Vacuum si nothingness.

Vacuum is not nothingness, vacuum takes space.

Space is not nothingness. Nothingness does not even occupy space.

Kwenye atom hakuna nothingness, kuna a lot of empty space. Empty space is not nothingness.

Empty space has energy, it has virtual particles popping in and out of it.

Jaribu kuelewa somo hili.
 
Kifo kina kasoro ndiyo maana kimeshindwa kuua watu wote kwa pamoja.

Kinavizia mmoja mmoja.

Kimeshindwa kufanya kazi yake kinyambisi.
ndio kazi ya utendaji hiyo yule amabaye siku yake imefika hata wakiwa millions ndio maana huyu kifo kila sekunde yupo kinafanya kazi yake kwa ufanisi bila makosa bila kupoteza hata sekunde kilichodesigniwa kinafanya perfeclyl
 
Yeah,so what!?
Unaji contradict bila kujua kwamba unaji contradict.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.

Ningekuona wa maana kama ungeanzisha internet yako ya uchawi ya mabua, halafu ukaisema internet ya sayansi.

Sasa hivi hapa ni kama unayakojolea maji na kusema haya machafu siyataki, halafu unayanywa hayo hayo.

Ukitaka kuichamba sayansi, toka nje ya sayansi uiseme tujue unamaanisha unayoyasema.

Sasa hivi unaonekana kama mtu uliyechanganyikiwa tu.

Hapo hapo unaitumia sayansi, hapo hapo unaisema vibaya sayansi.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa!
 
Vacuum si nothingness.

Vacuum is not nothingness, vacuum takes space.

Space is not nothingness. Nothingness does not even occupy space.

Kwenye atom hakuna nothingness, kuna a lot of empty space. Empty space is not nothingness.

Empty space has energy, it has virtual particles popping in and out of it.

Jaribu kuelewa somo hili.
Duuh!

Haya umenikamata na semantics. Lakini achana nayo kidogo.

Kwani tunakubaliana kwamba there is such a 'thing' as nothingness au kwako ni there is no nothing?
 
Unaji contradict bila kujua kwamba unaji contradict.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.

Ningekuona wa maana kama ungeanzisha internet yako ya uchawi ya mabua, halafu ukaisema internet ya sayansi.

Sasa hivi hapa ni kama unayakojolea maji na kusema haya machafu siyataki, halafu unayanywa hayo hayo.

Ukitaka kuichamba sayansi, toka nje ya sayansi uiseme tujue unamaanisha unayoyasema.

Sasa hivi unaonekana kama mtu uliyechanganyikiwa tu.

Hapo hapo unaitumia sayansi, hapo hapo unaisema vibaya sayansi.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa!
Tatizo huwa husomi ukaelewa,mfano wa dalton na atomic theory unajibu hizo porojo zako,hapa natumia technology...technology ni science in action,una faulu na kufeli,science inajumuisha hizo porojo zako za just halitokuwepo miaka 5b ijayo,ni guess work
 
Duuh!

Haya umenikamata na semantics. Lakini achana nayo kidogo.

Kwani tunakubaliana kwamba there is such a 'thing' as nothingness au kwako ni there is no nothing?
Nothingness ni dhana tu, ambayo tunawez akuifikiria kinadharia, lakini kiuhalisia haipo.

Ni kama infinity, ni kama Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
Ni kama rangi ya wimbo wa taifa.

Ni kama pembetatu duara.

Unaweza kuisema hiyo dhana, lakini kiuhalisia haipo.

Zote ni dhana za kufikirika tu, kiuhalisia na kimantiki haziwezi kuwepo.
 
Nothingness ni dhana tu, ambayo tunawez akuifikiria kinadharia, lakini kiuhalisia haipo.

Ni kama infinity, ni kama Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
Ni kama rangi ya wimbo wa taifa.

Ni kama pembetatu duara.

Unaweza kuisema hiyo dhana, lakini kiuhalisia haipo.

Zote ni dhana za kufikirika tu, kiuhalisia na kimantiki haziwezi kuwepo.
NI dhana, na kila kitu kina dhana yake hata kiti au kichwa.

Kuwa dhana haizuii kuwepo kiuhalisia.

Kuna vimifano vya mabua umeweka hapo mfano pembetatu duara. Hiyo kiuhalisia huwezi kuiweka ukaipima ikiwa hautauongeza uwanda wa kipimo chenyewe (beyond euclidian geometry)

Lakini kitu kama nothingness ni dhana ambayo imeshajithibitisha yenyewe. Kwanza hata kuipima ni ilrelevant.

Ukisema leta ishahidi wake unakuta tayari ndio upo. Yenyewe ipo tofauti na hao wengine kwa sababu kwa tafsiri yake(by definitions) tu it already IS IT.
 
Back
Top Bottom