Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Mkuu,

Hupendi ninavyoandika.

Nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona posts zako.

Na wewe fanya hivyo ili usione ninavyoandika.

Utakuwa umemaliza tatizo la kuona maandishi usiyopenda kuyaona.
Sasa kiranga umempeleka ignore list kwa sababu hapendi unachoandika?!!
 
Sasa kiranga umempeleka ignore list kwa sababu hapendi unachoandika?!!
Sipendi achefukwe, nimemuasa na yeye anipeleke ignore list kwa sababu hapendi ninavyoelezea mambo.

Ndiyo uungwana.

Mimi sipendi kumchefua. Na tukijibizana nitamchefua zaidi.

Au unaonaje hapo?
 
Demu wangu ana ulemavu wa miguu, nampenda hivyo hivyo alivyo, ni Mungu kanipa nami ninamshukuru
 
Greatthinker
 
Mbona vingi. Maji, hewa safi, upendo wa kweli, utajiri halali, elimu halali, ukweli, kifo, haki, usawa na mengine mengi wakiwamo watoto wachanga
 
Mambo haya ni magumu sana, mwanadamu asiye mkamilifu hawezi kufanya Jambo likawa halina kasoro, sababu hata yeye asili yake ni kutokuwa mkamilifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…