Je ni kosa kuita uhamaji vyama ima uchumia tumbo au umalaya wa kisiasa?

Je ni kosa kuita uhamaji vyama ima uchumia tumbo au umalaya wa kisiasa?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kila ukaribiapo uchaguzi aka uchakachuaji, wachumiatumbo wengi uhama vyama kwa sababu mbali mbali mzuri na mbaya. Japo tunasema ni uhuru kidemokrasia, je huu una tofauti gani na umalaya wa kawaida ambapo huu ni umalaya wa kisiasa uliohalalishwa ili kuvinufaisha au kuvidhoofisha vyama?
 
Waliohama vyama hapa Tanzania ni Wanasiasa wawili tu Augustine Lyatonga Mrema na Edward Ngoyai Lowassa

Hao wengine Simbilisi wahed 🐼😃
 
Back
Top Bottom