Pre GE2025 Je, ni kwamba Rais hajui kuwa Dkt. Slaa anasota jela kwa makosa yanayo dhaminika?

Pre GE2025 Je, ni kwamba Rais hajui kuwa Dkt. Slaa anasota jela kwa makosa yanayo dhaminika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mtu anaemuonea huruma slaa Huwa simuelewi slaa ni msaliti wakati ana kaharufu ka ubalozi wa kuhongwa alisema tukio la TUNDU LISSU KUPIGWA RISASI ni la kawaida na hakusympthize na TL WALA CHADEMA kipindi kile cha mateso makali ya upinzani chini ya dikteta magufuli wakati sisi tunalia yeye alikuwa anakula halua na juice za ubalozi snitch huyo mwacheni afie jela.
 
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.

MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.

Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.

Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?

Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.

Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Dunia ya hovyo sana, juzi juzi huyu mzee alikuwa anakula maisha Sweden! leo ananyea ndio.

Kizimkazi anamkomoa hasira za kupingwa kwa DP World. Hivi Mwabukusi ameongea lolote kuhusiana na sakata hili la kuminywa haki ya dhamana?
 
Huyo ni Chadomo,angekuwa CCM asingethubu kumchafua Rais Kwa maslahi ya kibaraka Lisu
Mkuu Kuwa makini yana mwisho haya. Jifunze kwa Sabaya na Musiba. Jeuri ile bado ipo?

Unadhani wewe una jeuri kuliko aliyokuwa nayo Nape? Au Makonda?

Mimi nakukumbusha tu kuna maisha umaarufu ukifika mwisho
 
Dunia ya hovyo sana, juzi juzi huyu mzee alikuwa anakula maisha Sweden! leo ananyea ndio.

Kizimkazi anamkomoa hasira za kupingwa kwa DP World. Hivi Mwabukusi ameongea lolote kuhusuana na sakata hili la kuminywa haki ya dhamana?
Ameongea sana, aliandika hadi barua official ya Tanganyika Law Society kulaani dhuluma ya haki DHIDI YA Slaa
 
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.

MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.

Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.

Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?

Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.

Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Slaa hana adabu ana mdomo mchafu iwe fundisho na kwa wengine
 
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.

MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.

Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.

Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?

Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.

Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
So sad 😞
 
Back
Top Bottom