KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
OkN mwananchi wa kawaida, umefurahi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkN mwananchi wa kawaida, umefurahi?
Chadomo ndio nini?Huyo ni Chadomo,angekuwa CCM asingethubu kumchafua Rais Kwa maslahi ya kibaraka Lisu
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.
MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.
Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.
Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?
Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.
MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.
Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.
Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?
Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Kwani alikuwa anatishia nyau?Kwa hiyo kawekwa jela ili afe?
Mpeni moyo,ila ataozea jelaJela sio kaburini
Mwanaume yuleMpeni moyo,ila ataozea jela
76 years old 🙃Mwanaume yule
Mama ni mwenye kisasi na roho mbaya. Ona jinsi alivyo na roho ya kushindwa hata kuwasikiliza wamama wakijitokeza na shida za kudhulumiwa na watawala kwenye mikutano yake ya hadhara. Mara nyingi hata ameshindwa kulitaja jina la magufuli kwa chuki kwani yeye anapenda upigaji na wapigaji wa umma.Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.
MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.
Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.
Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?
Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
RubbishNajiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.
MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.
Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.
Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?
Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Ht angekuwa na miaka 90. We ndio unajua umri wake kuliko yeye. Au ulimtuma.Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.
MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.
Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.
Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?
Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Kama wewe ulivyomfanyia Mbowe!Kila Ubaya utalipwa tu
Samia Anahusika kwasababu muhumili wa mahakama hauko huru kwani unapata amri toka Ikulu!!Raisi anahusikaje na mahakama si mwanasheria yule ajitoe!
Tatizo la Dr. Slaa ni usaliti. Amesaliti Kanisa. Akasaliti ndoa. Akasaisaliti CHADEMA. Akawasaliti wana mageuzi. Akaisaliti ccm.Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.
MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.
Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.
Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?
Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
hakuna haja ya kubabaika na kuingilia mambo ya mtu anaeteswa na laana 🐒Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.
MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.
Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.
Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?
Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Hilo liko juu yake... Kuna watu wa usalama na wanazi wa ccm wana nguvu zaidi ya Rais.Huyu mama wa Kizimkazi sio mtu mwenye huruma hata kidogo,chukulia kesi ya ugaidi ya Mbowe uje kwa ya marehemu Ally Kibao umalizie na ya Soka na wenzake uweze kumfahamu