FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Je, kuna uhaba wa magari Japan? especially zike za mizigo na na za abiria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kimepandisha gharama?gharama za kuagiza ni kubwa sana.
Francis ni mikodi tu,Nini kimepandisha gharama?
1. Dora Iko JuuuNini kimepandisha gharama?
Daah, kwa hali ilivyo hivi sasa, itabidi iwe hivyo tu..Hapa mwenyewe nafikiria niipeleke body namba B yangu, ikitoka hapo niipeleke kwa watu wa interior kaziniwe imeisha maana chombo mashine bado kali mzima mnooo
Ni magumu na imara zaidiJe, kuna uhaba wa magari Japan? especially zike za mizigo na na za abiria?
Magari wao wanaya phase out kwa kuuza nje ya Japan na kuya crash machache yanayobakia kisha wanatengeneza mapyaNajiuliza Japan ina magari mengi kiasi gani maana kwa miaka mingi ina feed magari Africa ambako eneo la ardhi ni kubwa kuliko yenyewe ilivyo
Wale wanaonunua gari za c na d show room awapeleki kuzikata scraper...mlemleJe, kuna uhaba wa magari Japan? especially zike za mizigo na na za abiria?
Hakuna namna mzeeDaah, kwa hali ilivyo hivi sasa, itabidi iwe hivyo tu..
Dora ndio nini? huko shule mlienda kusomea kuwa vilaza zaidi?1. Dora Iko Juuu
2. Ushuru wa Tanzania uko juu sana Unapoagiza Gari.....Bei ya Gari na Kodi inafanana au inazidi Kabisa Bei ya kununulia gari + Usafiri.
Mwendo ni huo tu, ni kununua engine tu, tena mswaki, lile block tu, vifaa vingine unahamishia toka engine ya zamaniHahahahah mwenyewe nimepeleka chuma yangu body😁! Jamaa wameona sifa sasa acha biashara ihamie kwenye kununua engine tu ilala. Ikichoka unabadili engine tena.
Hahahahah kumiliki chuma imekuwa anasaMwendo ni huo tu, ni kununua engine tu, tena mswaki, lile block tu, vifaa vingine unahamishia toka engine ya zamani
Japan population ya watu wazima ni around watu milioni 100, hivyo owners wa magari ni wengi na hawatumii magari kwa muda mrefu kama sisi unakuta gari lina miaka 20 tangu litengenezwe ndiyo mtu analinunua na kusema jipya.Najiuliza Japan ina magari mengi kiasi gani maana kwa miaka mingi ina feed magari Africa ambako eneo la ardhi ni kubwa kuliko yenyewe ilivyo