Je, ni kwanini gari namba ‘A’, ‘B’ na ‘C’ zinafufuliwa na kurudishwa barabarani kwa kasi sana mwaka 2024?

Je, ni kwanini gari namba ‘A’, ‘B’ na ‘C’ zinafufuliwa na kurudishwa barabarani kwa kasi sana mwaka 2024?

Uzoefu unaonyesha kwamba gari za zamani zina uimara kuliko za sasa.

Linganisha Raum old, na Raum new. Old ipo imara zaidi.

Linganisha Corolla 110 vs Ruminion.

Angalia Spacio old vs new. Old ni poa sana.

Bado kuna mnyama Land Rover

Hata bajaji namba A na B ni imara ukilinganisha na hizi mpya.

Watanzania wengi hujali namba ya usajili kuliko uimara wa chombo.

Wajanja ndiyo hao wanaonunua namba kongwe na kuzitumia.

Old is gold; ukatae ukubali.
 
si sawa na ilivyokuwa mwanzo, kwa sasa hata gari za mkononi kwa tz zipo juu, na watu hawauzi magari yao wanayaboresha tu maisha yanaendelea. huu wakati ni wakushika na kutunza sana ulichonacho, gari iliyokuwa ikiuzwa 10.5 - 11m kwa sasa imepanda hadi 18.5 - 20m ( ist, vits, premio ..... )
Uhalisia ni kufuatilia import data za magari.
 
Back
Top Bottom