Je, ni kwanini Hamisa Mobetto asiajiriwe kuwa 'air hostess' wa Air Tanzania?

Wanaaajiri watu waliosoma, waliosomea hiyo fani hawaaajiri watu waliosomea umalaya kule Hakuna sehemu ya kujiuzia kule ni Huduma na huyo uliyemtaja amesomea tu Namna Ya Kujiuza naykuwakamua wanaume na kukaaa uchi ndio fani yake mkuu
Khaaaaa!!!!Dadadaaaaadeki walahi
 
Wazimu ni wengi, wanatusumbua..
Kweli Elimu ni Ufunguo wa Maisha.
Bora msomi mmoja kuliko wazimu kijiji kizima.
Hamisa Mobeto atakusaidia nini tofauti na kazi yake ya sasa.
Viherehere!
 

Hana Rangi halisi ya utz ana rangi ya dukani
 
Kuwa Hair Hostess au Air Hostage kunahitaji zaidi ya uzuri.

Elimu, exposure, kujua additional language, sauti nzuri, uwezo wa kuongea au communication skills na umri.

Yule Mbunge hakutaka kusema ukweli. Angeambiwa apeleke ushahidi. Hao wasio na mvuto ni watoto, wajukuu, ndugu wa wakubwa wa serikali na ATCL. Huwezi kukosa vindunje nk.
 
Yule mama aliyesema ma air hostage wana sura mbaya,aliongea hayo naibu spika alikuwa anaongoza mjadala ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…