Ndio, nchi tajiri halafu wanaishi katika ufukara wa kutisha., hata wabongo tu wenyewe, wale wa Mbagala kabisa waliozoea kuingia madirishani, hawawezi kuvumilia ufukara wa kutosha unoonekana hapo, tena tunaambiwa ni kawaida hiyo kwao...
Anhaa kumbe unashangaa train endelea kushangaaMimi nimeona tu nchi tajiri inashindilia rumbesa watu wake kwenye treni kama maharage ya Soya, nikashangaa kiwango hiki kikubwa cha ufukara kwa matajiri. Ni hicho tu.., nimeshangaa tu.., ufukara hauna limits kumbe..
Mfumo wa kuishi katika Ufukara wa kutisha, kwamba ndicho wanachotaka?Siyo tu kawaida. Ni mfumo wanauataka kutokana na ratiba za shughuli zao.
Kuna watu hata hapa Dar Wana magari na Bado wanataka watumie usafiri wa umma Kwa sababu zao binafsi.
Pia wapo wenye uwezo wa kujenga nyumba zao lakini wameendelea kupanga maeneo yaliyokaribu na shughuli zao.
Nashangaa matajiri kuishi katika ufukara wa kutisha.Anhaa kumbe unashangaa train endelea kushangaa
Mfumo wa kuishi katika Ufukara wa kutisha, kwamba ndicho wanachotaka?
Kuna watu wanataka kuishi katika ufukara ili hali wana hali nzuri kiuchumi na wanaweza kuondokana na ufukara?
View attachment 2767443
👆🏽Ukimwangalia huyo mwamba hapo, anapenda na ni uamuzi wake wa hiari kuishi katika ufukara na mateso makali namna hiyo, ilihali uchumi wake unamruhusu kujinasua katika hali hiyo ya Ufukara? Billgates anaweza kupanda katika treni ya namna hiyo kwa kupenda, if no, why?
Huko far East wote wako hivyo. Hawanaga muda wa kupotezaJe, hii video clip hapo chini inayoonyesha abiria wakishindiliwa ndani ya treni kama nyanya za masalo huko Japan, ni kweli au ni Comedy video?
View: https://youtube.com/shorts/ITpgR10DftY?si=oYDBAX5Di3WkoSOn
Endelea kushangaa kuna kitu utajifunza na kuachana na upumbavuNashangaa matajiri kuishi katika ufukara wa kutisha.
View attachment 2767467
Mi nadhani tujikite kwenye hoja tu.., mambo ya upumbavu bila kuuonyesha kwa hoja ni kijoja. Kwamba kuna tajiri anaependa kuishi katika ufukara? Hoja ndio hiyo.., tujadili hoja tuEndelea kushangaa kuna kitu utajifunza na kuachana na upumbavu
Hiyo mimi sijui, mimi nazungumzia maisha ya kifukara katika usafiri wa treni kwa nchi tajiri yenye uwezo kiuchumi.Kwahiyo wewe unaona huyo hawezi kumiliki gari?
Ufukara unsupima Kwa kipimo Gani? Unaongelea mtu mmoja mmoja kwamba ltaifa fukara au watu fukara taifa Tajiri?
Duniani kote hakuna mwenye muda wa kupoteza, ila tunazungumzia tu Ufukara kwenye usafiri wa treni kwa nchi tajiri. Kwamba watu hawezi kuwahi kazini katika mazingira yasiyo ya ufukara wa kutisha? Au Norway na Sweden wao wana muda wa kupoteza? Au na wao huwa wanaminywa kama chachandu?Huko far East wote wako hivyo. Hawanaga muda wa kupoteza
Hiyo mimi sijui, mimi nazungumzia maisha ya kifukara katika usafiri wa treni kwa nchi tajiri yenye uwezo kiuchumi.
Kama haujui inakuaje unajua kwamba hayo ni maisha ya kifukara?
View attachment 2767858
Nimejua kupitia video clips mbali za waJapan wakiminywa kama panya ndani ya tren. Au kuminywa kama mahindi ni utajiri?
Hayo mengine sijui. Ila Umeniuliza nimejuaje kuhusu ufukara? Nimekujibu ni kwa kupitia video clip za waJapan wakiminywa.Lakini wewe si ndio ulisema haujui?
Kwahiyo tukiwa level seat kwenye daladala au mwendokasi nchi yetu inakua Tajiri yenye uchumi wa juu?
Japan hakuna masikiniUtamaduni au umasikini?
Ufukara upi hapo hali unaona hilo treni la kisasaMimi siongelei kusimama kwenye usafiricwa umma. Nazungumzia ufukara mkubwa unaoonekana kwenye video clip ndani ya nchi yenye uchumi mkubwa wa kutisha.
Sikujua mtu anaweza akawa tajiri wa kutisha na akaishi katika ufukara wa kutupwa. Imagine hii ingekuwa ni treni ya waAfrika uone jinsi maneno ‘Umasikini’ na ‘Ufukara’ yatakavyotumika.
Wangewaza ngono wasingeendeleajapani wako vizuri mkuu ,hapo wanalundikana kwenye treni ili kufaidi kudungana tu,au unazani dunga dunga wapo bongo tu 🙂 joking, but some time may be true.
Hayo mengine sijui. Ila Umeniuliza nimejuaje kuhusu ufukara? Nimekujibu ni kwa kupitia video clip za waJapan wakiminywa.
Hakuna aliyesema level seat ni kipimo cha utajiri. Bali hoja ni nchi tajiri kuwa na aina ya usafiri wenye ufukara wa kutisha.
Hoja ya Japan ni masikini aisee tutajadili nini Mkuu hauna exposure ndio maana umeandika hivyo...Mbona hoja ipo wazi, mi naona jikite kwenye mada, mambo ya kujichanga ni mengine.., tudeal na hoja yetu tu
Nimewahi ishi Japan. Futa hilo neno ufukara . Ile ni inchi ya kipekee.Mimi siongelei kusimama kwenye usafiricwa umma. Nazungumzia ufukara mkubwa unaoonekana kwenye video clip ndani ya nchi yenye uchumi mkubwa wa kutisha.
Sikujua mtu anaweza akawa tajiri wa kutisha na akaishi katika ufukara wa kutupwa. Imagine hii ingekuwa ni treni ya waAfrika uone jinsi maneno ‘Umasikini’ na ‘Ufukara’ yatakavyotumika.