The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Ndio, nchi tajiri halafu wanaishi katika ufukara wa kutisha., hata wabongo tu wenyewe, wale wa Mbagala kabisa waliozoea kuingia madirishani, hawawezi kuvumilia ufukara wa kutosha unoonekana hapo, tena tunaambiwa ni kawaida hiyo kwao...
Siyo tu kawaida. Ni mfumo wanauataka kutokana na ratiba za shughuli zao.
Kuna watu hata hapa Dar Wana magari na Bado wanataka watumie usafiri wa umma Kwa sababu zao binafsi.
Pia wapo wenye uwezo wa kujenga nyumba zao lakini wameendelea kupanga maeneo yaliyokaribu na shughuli zao.