Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua bibilia ndio inasema hivoMungu hakuwahi kuumba majini, bali Maiaika ambao baada ya kuwa wameasi ndiyo wakaitwa majini
Mungu hakuwahi kuumba majini, bali Maiaika ambao baada ya kuwa wameasi ndiyo wakaitwa majini
Joni afugwi wewe Yule sio wanyama hawa wakaida kama mbuziKUMBE SIO RUHUSA KUFUGA MAJINI EE
Jini afugwi wewe Yule sio wanyama hawa wakaida kama mbuzKUMBE SIO RUHUSA KUFUGA MAJINI EE
Viumbe wote, Nguruwe inclusive?Viumbe wote vimeumbwa na allah mwingi wa rehema, ikiwemo watu , majini , miti na kadhalika na hakika lengo kubwa wote tunalijua ni kumuabudu yeye mungu mmoja ambae hana mshirika, hakuzaa wala hakuzaliwa
Mungu kaumba Majini kawaleta duniani, wakaasi na kufanya Uovu, Katuma Malaika wakawa piga, then kaumba binadamu moja ya kiongozi, Wa Majini kaasi (ibilisi, Satan, lucifer etc) yeye na wenzake hawa amini kiumbe dhaifu kama Binadamu anaweza kuwa preferred juu yao, Majini wengine hawakuasi, Kwa Ajili hii sisi Binadamu tumeletwa Duniani kama Test tu kapewa na free will, unamfata Shetani ama mafundisho ya mungu, dunia sio makazi yetu Kutokana na Unachofanya Duniani utapelekwa kwenye makazi yako ya milele.Mimi nikotofauti na hii fikra ambayo pia hapo zamani nlijua ivo kutokana na mapokeo ya kijamii ila kwa siku hizo najuaga Mungu aliumba binadamu ili akatawale dunia na vyote viujazavyo kwa lugha ingine ni kwamba Mungu alitaka kutawala dunia kwa kukaimisha madaraka kwa mwanadamu...nimewakilisha tu
Majini ni viumbe walioasi wakatupwa kwenye ulimwengu Wenye dhiki na wakaanza maisha ya kudanga.Kwahiyo majini wameumbwa na nani mkuu? Maana muumba ni mmoja tu au ndio miungu watatu?
Hizi ni hadith za Qur'an tu na ndiyo maana kila Muislam analilia kufuga majini ili awe anawatuma kuiba kwa kupitia chuma ulete.Mungu kaumba Majini kawaleta duniani, wakaasi na kufanya Uovu, Katuma Malaika wakawa piga, then kaumba binadamu moja ya kiongozi, Wa Majini kaasi (ibilisi, Satan, lucifer etc) yeye na wenzake hawa amini kiumbe dhaifu kama Binadamu anaweza kuwa preferred juu yao, Majini wengine hawakuasi, Kwa Ajili hii sisi Binadamu tumeletwa Duniani kama Test tu kapewa na free will, unamfata Shetani ama mafundisho ya mungu, dunia sio makazi yetu Kutokana na Unachofanya Duniani utapelekwa kwenye makazi yako ya milele.
Kwanini Mungu akuumbe halafu eti akuone unateseka kwa kuinama na kuinuka mara 5 kwa siku, ili umuabudu, kwani usipomuabudu atapungukiwa nini?Hiyo Ni Quran Yako Hakuna Aya Inasema Hivo Au Hujui Kufafanua Unachosoma.Ni Aya Ya Ngap Hyo
Wazungu wameingiaje hapa tena? Jini ni PEPO... Malaika wa Shetani... Ila ndio hivyo tena, Dini ya Alah ina ushirika nao na ni waumini wenzenu.Kuna watu wanashangaa kusikia majini yameumbwa ili kuabudu.!!! Mtu akisikia neno jini akili yake anaipeleka katika mawazo TOFAUTI kabisa ! Kweli wazungu wamewashika watu pabaya na propaganda zao !
Hakuna Jini baya na zuri... hakuna Pepo baya na zuri, hakuna shetani mbaya na mzuri.Kuna Majini Mabaya Na Mazur Kama Quran Inavosema.Kama Tulivyo Wanadamu Kuna Wabaya Na Wazur,
Majini hayajalaaniwa... majini ni ndugu zetu waislam na tunaswali nao msikitini kumuabudu Allah.Mbona muongo ?weka andiko linalosema majini yamelaaniwa .
Mbona hakuna ushahidi kuwa majini yalikuwa yanaishi huko uongo wako unakusaidia nini ?
Ni ajabu ikiwa utamtafsiri jini kutokana na upeo wako au mafundisho ya dini yako.Majini hayajalaaniwa... majini ni ndugu zetu waislam na tunaswali nao msikitini kumuabudu Allah.
Daaah... Mtu anatetea Jini... hii dini inafurahishaga sana sometimes.
Mungu hakutegemei wewe bali wewe ndio unamtegemea yeye, hatumuabudu sababu yeye anatuhitaji sisi bali tunamuabudu sababu sisi tunamhitaji yeye.Kwanini Mungu akuumbe halafu eti akuone unateseka kwa kuinama na kuinuka mara 5 kwa siku, ili umuabudu, kwani usipomuabudu atapungukiwa nini?
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.wanafuga majini kweli,,kasome "suratul jinn" ALLAH anawaambia waislam,hakika ninyi nyote mtaenda motoni kwani mnawaweka majini kati yangu na ninyi,,na majini yanalalamika kwa kusema kwamba,,,,tunashirikiana na wanadamu ktik kutafuta risk!!!
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.Mbona muongo ?weka andiko linalosema majini yamelaaniwa .
Mbona hakuna ushahidi kuwa majini yalikuwa yanaishi huko uongo wako unakusaidia nini ?
Kwani kuna undugu usio na Imani?Mkuu jini anaweza kuwa ndugu yangu katika Imani?
Anaye sema hapo ni Jini.Ndiyo nikuulize hapo.
Anayesema hivyo ni jinn au Allah?
Sasa mbona mnakataa kuwa ni marafiki zenu?Kwani majini ambao hawakudhuru wala kumkufuru Mwenyezi Mungu wana ubaya gani kujenga nao urafiki?