Je, ni kweli Allah amewaumba binadamu na majini ili wamuabudu?

Je, ni kweli Allah amewaumba binadamu na majini ili wamuabudu?

Mkuu mimi nikiskia story za jini nakaa mbali najua ni adui sasa kuna mtu ndiyo kanipa elimu kuwa majini wana sali sala tano sijaamini
Majinni ni viumbe kama walivyo Bina damu tofaoti yake majinni yanaweza kumuona binadamu lakini binadamu hawezi kuyaona pia majinni yaweza kuishi kuingia popote anapo ishi binadamu ila binadamu awezi kuingia yanapo ishi majinni yana uwezo mkubwa sana yako sawa na upepo au hewa mwanga unaweza zuiya mwanga hewa upepo isiingie ulipo?

Pia majini yanazo tabia kama za watu wapo watu washenzi na majini pia tunapo ongelea kuabudu dunia anae abudu ni muisilamu tu na kitabu chake kinafundisha maana ya kuabudu ndio maana dunia kote ibada ya kuabudu ni 1 tu hatuna tofaoti ya kuabudu kati ya tz na China
 
Mbona hauulizi magonjwa , chuki ,unafiki na majanga ya asili (matetemeko ,mafuriko nk)?

Kama una muamini Mungu anaweza kunipa sababu ipi Mungu unayemuani alete vitu hivyo ?

Ukijibu hilo swali nitakujibu swali lako.
[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581] huyo jamaa ufahamu wake mdogo sana
 
Kwanza hata shetani jinni ujui maana ya haya majina,haya majini yamo kwenye biblia baada ya kutolewa kwenye qur,aan na kuingizwa kwenye biblia wakati watafsiri lani maana yake ujui wapo wakirito wengine upinga kuwa majini sio viumbe ufahamu mdogo tu
Hayo hapo majini, kuasi ndio sifa zao.
Yanatumika katika kutenda dhambi tu, Kama uchawi, kuroga, kuiba, kuua nk.

Haijasikika popote jini linafanya wema kama upo usemeni hapa.

Mambo ya Walawi (Lev) 17:7
Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.
 
Nioneshe hicho kifungu kilichoandika hivyo.

Ufunuo 12:7-10 SUV​

Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku.
 

Ufunuo 12:7-10 SUV​

Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku.
Malaika wewe unafahamu?hili jina malaika linatoka kabila gani?hili tuweze kujua utendaji kazi wake,yesu unae muongelea ni yele alie uwawa na wayahudi kisha kundikwa masalsbani au ni yesu muingine?
 

Ufunuo 12:7-10 SUV​

Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku.
Katika hili bandiko lako, nioneshe wapi walipoandika malaika waliohasi ndio wanaitwa majini.
 
Ni ajabu ikiwa utamtafsiri jini kutokana na upeo wako au mafundisho ya dini yako.

Ushaambiwa dini ni viumbe kama ilivyokuwa binadamu kuna ,wema ,waovu,washirikina ,wapagani nk na wana ulimwengu wa tofauti kabisa .

Ingekuwa ajabu kama ingekuwa tumearishwa tuwaabudu au tuwatumikie.
Jini ni PEPO.. Ni Malaika na wasaidizi wa Shetani.

Hakuna Shetani mbaya na mzuri wala hakuna Pepo baya na zuri. Malaika wa shetani/pepo/jini hajawahi kuwa mzuri.

Amka usingizini, Mudi hapa aliwaingiza chaka.
 
Majinni ni viumbe kama walivyo Bina damu tofaoti yake majinni yanaweza kumuona binadamu lakini binadamu hawezi kuyaona pia majinni yaweza kuishi kuingia popote anapo ishi binadamu ila binadamu awezi kuingia yanapo ishi majinni yana uwezo mkubwa sana yako sawa na upepo au hewa mwanga unaweza zuiya mwanga hewa upepo isiingie ulipo?

Pia majini yanazo tabia kama za watu wapo watu washenzi na majini pia tunapo ongelea kuabudu dunia anae abudu ni muisilamu tu na kitabu chake kinafundisha maana ya kuabudu ndio maana dunia kote ibada ya kuabudu ni 1 tu hatuna tofaoti ya kuabudu kati ya tz na China
Thread 'Aina za majini na kazi zake' Aina za majini na kazi zake mkuu natofautiana na wewe embu soma hapa kwa ndugu mshana jr
 
Lete kwanza maana ya majina haya jini binadamu
Majini ni malaika waasi waliotupwa dunian pamoja na shetani.
Kwahiyo hakuna majini mazuri. Kwanini wanashindwa km ni majini mazuri kurudi kwa Mungu?.
Soma Quran
Al Jinn
72:8 Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo

72:9 Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
 
Hebu tumwangalie Nasi.

مَّا أَصَابَكَ مِنْ حَسَنَةٍ فَمِنَ اللَّهِ ۖ وَمَا أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٍ فَمِن نَّفْسِكَ ۚ وَأَرْسَلْنَاكَ لِلنَّاسِ رَسُولًا ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا

[ AN-NISAAI - 79 ]
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

{Nasi kamtuma mtume kwa watu huku Mwenyezi Mungu akishuhudia}


وَأَنَّا ظَنَنَّا أَن لَّن نُّعْجِزَ اللَّهَ فِي الْأَرْضِ وَلَن نُّعْجِزَهُ هَرَبًا

(AL - JINN - 12)
Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.

{Nasi anashindana na Mwenyezi Mungu na kushindwa}

{Tafakari chukua hatua}
 
allah mwenyewe ni jini aliyefukuzwa pamoja na mashetani mengine, 1/3 ya malaika wa Mbinguni waliasi wakafukuzwa na shetani kiongozi wao, angeumba nini? kwenye kitabu cha allah kuna muujiza gani wowote ulishawahi kufanyika tukasema ni mungu wa kweli? Mungu wa Israel alikausha maji ya bahari ya shamu hadi wamisri ambao sio wa dini hiyo wanayo historia hiyo hadi leo, allah alishawahi kukausha hata maji kwenye kibakuli tu? never. mungu gani anayakubali majini? mungu gani anaabudiwa na majini wakati anatakiwa ayaadhibua? seriously?
Nimekuelewa sana mkuu kwahiyo Allah ni luciferi Lofocare?
 
Wanaosema kuna majini mazuri wasome hapo alipoyaorodhesha mtaalamu wa majini Mshana.

Hivi jini Sufiani au Popobawa liwe jema kweli ?
Hapo waliingizwa cha Arusha.
Mkuu mimi siyo mtaalamu ila jini popo bawa siyo aisee ni hatari
 
allah hana uwezo hata wa kuuumba panya tu hata mjusi tu hawezi kuumba. ila Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo, Mungu wa Israel ambaye makoreshi wenyewe walikiri kwamba ndiye wa kweli, ndiye Muumba mbingu na nchi.
Mkuu Allah hana tofauti na Mungu wa Isaka Abrahamu na Yakobo ndiyo mana Abrahamu waislamu wanamwita Ibrahim, yakobo ni Yakubu au Yaqub na Isaka ni Isihaka tofauti ni majina hivyo hivyo mfalme Solomon wao wanamwita Seleman au Suleiman nk
 
Mkuu Allah hana tofauti na Mungu wa Isaka Abrahamu na Yakobo ndiyo mana Abrahamu waislamu wanamwita Ibrahim, yakobo ni Yakubu au Yaqub na Isaka ni Isihaka tofauti ni majina hivyo hivyo mfalme Solomon wao wanamwita Seleman au Suleiman nk
umepotea. allah anasema aliyaumba majini, majini yanamuabudu na yeye anapokea ibada yao, na waumini wa allah wanaweza kushirikiana na majini kwasababu yapo mengine mazuri na mengine mabaya. allah aligeuza Biblia badala ya Isaka mtoto wa Ibrahim kuwa ndiye aliyetolewa sadaka akasema Ishmael ndio alitolewa sadaka na ibrahim, ila alisahau kwamba biblia iliandikwa long before hata mesenja wake hajazaliwa. allah hamtambui Yesu Kristo kama ni Mungu yule yule aliyefanyika mwili ili atukomboe na haamini kwamba huwezi kufika mbinguni bila Yesu Kristo.

kuna mengi sana ningeandika ila uishi ukijua kwa shetani ni mwongo na mjanja sana, anawapofusha macho watu kama wewe waamini kwamba kwasababu neno Mungu kwa kiarabu ni allah, basi yule anayeabudiwa uarabuni ndio huyo anayeabudiwa Israel. bila kujua kuwa cha muhimu ni yupi unayeamini moyoni kuwa ndiye, kwasababu neno Mungu ni generic, ni neno la jumla sana. Ukienda India, kuna miungu zaidi ya milioni, na kila mungu wao kama ukimtamka kwa lugha ya kiarabu utamwita allah. kwa lugha nyingine basi, hata tungesema tukubali kwamba biblia ya kiarabu imemtaja Mungu kama allah, basi yule allah anayeabudiwa uarabuni sio yule anayeabudiwa Israel, ma allah mengi kwelikweli (kwa maana ya lugha) yanayoabudiwa india ambayo mengine ni ng'ombe sio allah yule wa Israel. n.k.

kwahiyo utofauti wa allah wa israel na allah wa uarabuni (kama unataka tutumie neno hilo kote) ni mkubwa unaofanya uthibitisho kwamba sio Mungu yule mmoja. na kamwe usije kujidanganya ati Biblia na kuran ni kitu kimoja,never, wala kwamba Yesu Kristo ndiye Isa bin mariam, never, ni maneno ya ujanjaujanja tu yaliwekwa kuwapoteza watu kama wewe. na umepotea kweli kweli.
 
Kuna majini walio amini na majini walio kufuru/ wao wanaishi ulimwengu wa giza wameumbwa kwa moto sisi tumeumbwa kwa udogo

Majini walio kufuru ndio hutumiwa na binadamu walio kufuru ila majini walio amini atumiwi na mtu wowote

Mungu anasema amemuumba binadamu na majini ili tu tumuabudu yeye ila kuna binadamu baada ya kumuabudu Mungu wamekufuru hivyo hivyo na majini

Na pia kumbuka Mungu amemfanya binadamu kuwa kiongozi wa kila kitu hapa dunian jua hilo

Jua wewe unanguvu ya kutawala kila kitu hata ayo majini unaweza kuyaamrisha utakavyo wewe kwa maana jini anamuogopa sana binadamu mchamungu

Miti mawe wanyama majin na nk
Vyoye hivyo unavitawa wewe na vyote ni vya Mungu

Miguu mikono nguo ulizo vyaa kucha macho hivyo vote ni vyakwako JE wewe NI NANI? jiulize na ukipata jibu utakuwa umejitambua

Jifungue katika fikra hasi ili upate ukombozi wa fikra.
 
Back
Top Bottom