Je, ni kweli bangi inaweza kukinga dhidi ya wachawi?


Umeeleweka vyema sana ndugu
 
Ukiwa maskini unaandamwa na maruerue ya ajabu ajabu kama hayo
 
Hahaha hivi ni kweli sasa mbona nasikiaga yule raisi wa Kenya Mhe .Kenyatta anakulaga wida
Ukiwa na pesa bangi haiwezi kukudhuru. We jaribu kuvuta bangi hujatia kitu tumboni na huna kitu mfukoni Wala deal yoyote inayokaribia ku mature.
Hapo bangi itakutuma ukabake, ukaibe simu, umtukane mzazi nk
 
Hakuna cha vijiwe au aina ya watu kwenye vijiwe. Plain fact ni kwamba bange kama bange haiwezi kuzuia uchawi.

Ukibisha zaidi nenda kwenye hicho kijiwe uwaulize hao wandewa uchawi ni nini na uchawi unafanya vipi kazi.. Ukipata majibu ya kueleweka ya hayo maswali ndio utaelewa vizuri.

Halafu punguzaa.. Ikiwezekana acha kabisa.
 
Nadhani zaidi ya 50% ya maisha ya watanzania ni fix tupu.
Tunaishi uongo tulioambiwa tukiwa wadogo, fiction za imani na fixi za mitandaoni!
 
Kama ni kweli nitatafuta majani ya bangi nitwange ili maji yake ninyunyuzie nyumba yangu kila ninapolala.
 
Nadhani zaidi ya 50% ya maisha ya watanzania ni fix tupu.
Tunaishi uongo tulioambiwa tukiwa wadogo, fiction za imani na fixi za mitandaoni!

Mmmm [emoji848] kwaio kumbe itakuwa ni fix tu
 
Kama ni kweli nitatafuta majani ya bangi nitwange ili maji yake ninyunyuzie nyumba yangu kila ninapolala.

Hahahahaaaa ni kweli kabisa ndugu yangu inabidi ufanye hivyo [emoji23][emoji23]
 
Yaani iko hivyo na ukiwa unafanya kitu muda mwingine ukakosea katika hali ya ubinaadamu tu kama kuna mtu karibu yako anaefahamu kama unatumia hio kitu basi atakwambia tu “acha bange”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] kabisa iko hivyo!
 
Mti wa mbaazi,
 
Sio bange pekee ipo pia mimea na madini pia hawa wapumbavu awakugusi.Nguvu ya uchawi ipo kwenye dawa so KILA dawa ijayo miiko yake Ili itende kazi,ukimeza dawa ukanywa maziwa au pombe dawa haiwezi fanya Kazi.So ukizijua Siri na codes za zao hawawezi kukusumbua.Sababu KILA kitu duniani ni hesabu na kanuni na KILA kanuni Ina ant yaani against.
So wengi wanadhurika na uchawi sababu ukosefu wa maarifa ya kutozijua codes na ethics za kichawi zinafanyaje Kazi.Zipo hata kanuni za kulala wakija usiku hawawezi kukubeba.Mwanadamu anaogopa mvua so majini nayo kuna vitu wanaogopa,hawa wapumbavu sio kwamba wao ni miamba Sana au wananguvu Sana kushinda binadamu sema tu wengi hawana maarifa na kuijua nguvu yao waliopewa na Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…